Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota Senegal kutua Simba

Simba iko mbioni kumsajili mshambuliaji mpya raia wa Senegal, Papa Niang anayetarajiwa kutua nchini leo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAGWIJI WA FC BARCELONA KUTUA NCHINI KUPAMBANA NA NYOTA WA TANZANIA

 Mshambuliaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya Taifa ya Uholanzi Patrick Kluivert alizungumzia ujio wa magwiji FC Barcelona nchini mwezi wa tatu mbele ya waandishi wa habari kwenye mgahawa wa Sports Lounge uliopo jijini Dar Es Salaam ,Pembeni ya Kluivert ni mwenyekiti wa DRFA Ndugu Almas Kasongo. Magwiji hao wa Barcelona wanataraji kucheza na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye uwanja wa Taifa mnamo mwezi wa machi tarehe 28. Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Dar Es Salaam,Almasi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serengeti Fiesta ‘Super Nyota Divas’ kutua Dar

WASANII wa kike 15 (Super Nyota Divas) waliopatikana katika Tamasha la Serengeti Fiesta kutoka mikoa mbalimbali nchi wanatarajiwa kutua jijini Dar es Salaam kushuhudia shoo ya msanii wa Marekani T.i...

 

10 years ago

Michuzi

MAGWIJI WA FC BARCELONA KUTUA NCHINI KUPAMBAMBANA NA NYOTA WA TANZANIA MACHI 28

 Mshambuliaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya Taifa ya Uholanzi Patrick Kluivert alizungumzia ujio wa magwiji FC Barcelona nchini mwezi wa tatu mbele ya waandishi wa habari kwenye mgahawa wa Sports Lounge uliopo jijini Dar Es Salaam ,Pembeni ya Kluivert ni mwenyekiti wa DRFA Ndugu Almas Kasongo. Magwiji hao wa Barcelona wanataraji kucheza na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye uwanja wa Taifa mnamo mwezi wa machi tarehe 28. Mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Dar Es Salaam,Almasi...

 

10 years ago

Vijimambo

Kaseja asilimia 90 kutua Simba

Kipa Juma Kaseja, anakaribia kurejea kwenye klabu yake ya zamani ya Simba baada ya uongozi wa klabu hiyo ya Wekundu wa Msimbazi kupanga kukutana na meneja wa mchezaji huyo leo kwa ajili ya kufanya mazungumzo ya kutaka kumsajili, imeelezwa jana jijini Dar es Salaam.

Simba imeamua kufanya mazungumzo ya kumsajili Kaseja kutokana na ripoti ya Kocha Mkuu, Mzambia Patrick Phiri, iliyoeleza kuwa inahitaji kupata kipa mzoefu ambaye ataisaidia timu kupata matokeo mazuri.

Akizungumza na gazeti hili jana...

 

9 years ago

Mtanzania

Olunga mashakani kutua Simba

40FBFEF7E486A9775FA2A703837AF071*Gor Mahia wataja dau kubwa, Kerr asema hajaona alichofanya Chalenji

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MPANGO wa klabu ya Simba kumnasa Straika wa Gor Mahia, Michael Olunga, umeingia mushkeli baada ya klabu yake kuitaka Simba ilipe dola 200,000 (zaidi ya Sh milioni 400 za Tanzania), kitu ambacho ni kigumu kwa klabu ya Wekundu hao wa Msimbazi kulipa kwa sasa.

Simba ilianza kumfukuzia Olunga tangu kwenye michuano ya Kagame, iliyofanyika hapa nchini kwa Azam kuwa mabingwa, lakini walishindwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wawili Simba ‘wauzwa’ Senegal

Washambuliaji wawili raia wa Senegal walioshindwa majaribio kwenye klabu ya Simba, Papa Niang na Pape N’daw wamewataja Awadh Juma na Simon Sserunkuma kuwa ni wachezaji tishio.

 

10 years ago

GPL

Simba yafuata straika Senegal

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe. Hans Mloli,Dar es Salaam
SIMBA wanajua kuwa wakifanya mchezo katika nafasi ya straika, basi msimu ujao watafulia zaidi.
Ili kuonyesha hawataki utani wameamua kusaka straika wa uhakika katika nchi tano ikiwemo Senegal pamoja Ghana kwa upande wa Afrika Magharibi. Pamoja na nchi hizo mbili, Simba wataendelea kusaka mshambuliaji mkali katika nchi za Burundi, Kenya na...

 

9 years ago

Habarileo

Ndayisenga yuko tayari kutua Simba

MSHAMBULIAJI wa Burundi, Kevin Ndayisenga amesema kwamba yuko tayari kurejea Simba wakati wowote iwapo timu hiyo itafikia makubaliano na meneja wake, Dennis Kadito.

 

11 years ago

GPL

Mchezaji bora Ivory Coast kutua Simba Jumatano

kiungo mpya wa Simba, Pierre Kwizera, Na Hans Mloli
YULE kiungo anayesubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi na mashabiki wa Simba, Pierre Kwizera, anatarajiwa kutua nchini keshokutwa Jumatano. Lakini habari njema ni kwamba mchezaji huyo raia wa Burundi anayekipiga kwenye timu ya Afad Abdijan, ametajwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Ivory Coast, maarufu kama Ligue 1 iliyomalizika takriban wiki mbili zilizopita huku ndoo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani