Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serengeti Fiesta ‘Super Nyota Divas’ kutua Dar

WASANII wa kike 15 (Super Nyota Divas) waliopatikana katika Tamasha la Serengeti Fiesta kutoka mikoa mbalimbali nchi wanatarajiwa kutua jijini Dar es Salaam kushuhudia shoo ya msanii wa Marekani T.i...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

USAILI WA SERENGETI FIESTA SUPER NYOTA DIVAZ DIVAZ UNAOFANYIKA PANDE ZA JEMBE NI JEMBE,MWANZA

Usaili wa Dance la Fiesta na Serengeti Fiesta Super Nyota Divaz ukifanyika pande za Jembe ni Jembe,jijini Mwanza hapa majaji wakiwasaili washiriki waliofika eneo hilo.Mmoja wa washiriki wa Serengeti Fiesta Super Nyota Divaz akiimba kwenye usaili.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Amina Issa aibuka Serengeti Super Nyota Diva Shinyanga

Shindano la Serengeti Super Nyota Diva Shinyanga mwaka 2014 limemalizika kwa Amina Issu kuibuka mshindi na kuwapiku wenzake tisa waliokuwa kwenye kinyang’anyiro hicho. DJ Fetty akimpongeza mshindi wa Shinyanga Super Nyota Diva 2014 Shindano hilo lililokuwa na majaji watatu lilikuwa na raundi tatu mpaka kumpata mshindi huyo ambaye ataungana na wenzake wa mikoa mingine kwenda […]

 

10 years ago

GPL

USAHILI WA SERENGETI SUPER NYOTA DIVA WAFANA NDANI YA SUNCIRRO CLUB

MCHUJO wa kumpata mshindi wa Serengeti Fiesta Super Nyota Diva kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, umefanyika leo mchana ndani ya Ukumbi wa Suncirro Shekilango, ambapo tayari vijana mbalimbali wamejitokeza kuchuana na hatua ya kwanza tayari imemalizika kwa kupata washindi 5, ambao watachuana ili kuhakikisha anapatikana mshindi mmoja atakayeingia kwenye fainali za shindano hilo ambalo linatarajiwa kufanyika Ijumaa hii ndani ya...

 

10 years ago

GPL

BACKSTAGE YA SERENGETI FIESTA 2014 DAR

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma 'Diamond' akifanya yake. Nasibu Abdul Juma 'Diamond' (katikati) akiwa na walinzi wake.…

 

10 years ago

GPL

DAVIDO AKAMUA SERENGETI FIESTA DAR

Msanii kutoka Nigeria, David Adedeji Adeleke 'Davido' akamua kwenye tamasha la Fiesta Leaders Club jijini Dar. Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platinumzakifanya makamuzi na Davido (kulia).…

 

10 years ago

GPL

SERENGETI FIESTA 2014 YAFUNIKA DAR

Rapa kutoka nchini Marekani, Clifford Harris,'T.I' akitoa burudani kwenye tamasha la Fiesta Leaders Club jijini Dar usiku wa kuamkia leo. Nyomi baada ya kukongwa nyoyo na T.I usiku wa kuamkia leo Ledears Club.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Msanii wa Marekani T.I. kutumbuiza Serengeti Fiesta Dar

DSC_1441

Mkurugenzi Mkuu wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Ephraim Mafuru akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafala ya kumtangaza msanii wa Marekani TI ambaye atashiriki tamasha la Fiesta litakalofanyika mwezi ujao jijini Dar es Salaam.

Mwanamuziki wa Kimarekani katika miondoka ya Hip-hop ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki, mwigizaji na mwekezaji, Clifford Joseph Harris Jr, alimaarufu kama T.I. amethibitishwa rasmi na kampuni ya Serengeti Breweries Ltd (SBL)kama...

 

10 years ago

TheCitizen

AFRICA: Idols fascinate thousands at latest Serengeti Fiesta in Dar

>The 2014 Serengeti Fiesta concert has ended in Dar es Salaam Region with a bang at the Leaders Club grounds.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani