Msanii wa Marekani T.I. kutumbuiza Serengeti Fiesta Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Ephraim Mafuru akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafala ya kumtangaza msanii wa Marekani TI ambaye atashiriki tamasha la Fiesta litakalofanyika mwezi ujao jijini Dar es Salaam.
Mwanamuziki wa Kimarekani katika miondoka ya Hip-hop ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki, mwigizaji na mwekezaji, Clifford Joseph Harris Jr, alimaarufu kama T.I. amethibitishwa rasmi na kampuni ya Serengeti Breweries Ltd (SBL)kama...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
Picha za msanii T.I alipowasili nchini tayari kutumbuiza Serengeti Fiesta 2014
Msanii wa kimataifa wa muziki wa Hip pop, Clifford Harris, T I akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa JK Nyerere, tayari kwa onyesho na Serengeti Fiesta 2014, linalofanyika leo Leaders Club jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s72-c/1.jpg)
Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rIH0WR7WlvY/VEJ3RwGPZGI/AAAAAAAGrdI/URaG4XbjidI/s1600/3.jpg)
10 years ago
GPLBACKSTAGE YA SERENGETI FIESTA 2014 DAR
10 years ago
GPLSERENGETI FIESTA 2014 YAFUNIKA DAR
10 years ago
GPLDAVIDO AKAMUA SERENGETI FIESTA DAR
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Serengeti Fiesta ‘Super Nyota Divas’ kutua Dar
WASANII wa kike 15 (Super Nyota Divas) waliopatikana katika Tamasha la Serengeti Fiesta kutoka mikoa mbalimbali nchi wanatarajiwa kutua jijini Dar es Salaam kushuhudia shoo ya msanii wa Marekani T.i...
10 years ago
GPLDIAMOND, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA SIKU YA MSANII DAR
10 years ago
TheCitizen21 Oct
AFRICA: Idols fascinate thousands at latest Serengeti Fiesta in Dar
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T2ELnONc5F0/Vh-RiFn5BdI/AAAAAAAIAEA/DdA1vGL48bs/s72-c/IMG_2533.jpg)
MSANII WA NCHINI KENYA KUTUMBUIZA IJUMAA HII JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-T2ELnONc5F0/Vh-RiFn5BdI/AAAAAAAIAEA/DdA1vGL48bs/s640/IMG_2533.jpg)