Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA SIKU YA MSANII DAR

Msanii Diamond (mwenye shati nyeupe) akiwa na Yamoto Band. Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kwenye hafla hiyo. WANAMUZIKI Diamond na  Yamoto Band wanatarajiwa kutumbuiza katika tamasha la Siku ya Msanii litakalofanyika  Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo katika ukumbi wa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BURUDANI YA NGUVU TOKA KWA YAMOTO BAND SIKU YA MSANII

Kundi la Yamoto Band wakitoa burudani Siku ya Msanii usiku wa leo Mlimani City jijini Dar.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Sauti Sol, Skylight Band na Yamoto Band wapagawisha wakazi wa Dar BEAUTY and MUSIC Night!

DSC_0437

Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar.

DSC_0429

Petit Man (katikati) akishow love na wasanii wa bongo flava waliotumbuiza kwenye usiku huo maalum Kulia ni Mirror na Kushoto ni msanii wa bongo flava Jordan.

DSC_0424

Mwanadada mrembo akishow love mbele ya camera yetu.

DSC_0427

Petit Man Wakuache aking’ara kwenye Red Carpet.

DSC_0434

 Mirror na msanii mwenzake Jordan wakishow love...

 

10 years ago

Michuzi

Erick na Fred Omondi kutumbuiza Siku Ya Msanii

MSANII wa vichekesho kutoka Kenya, Fred Omondi akisaini mkataba wa kufanya onyesho la Siku Ya Msanii katika ofisi za Siku Ya Msanii, Mikocheni Dar es Salaam, pembeni ni Mratibu wa Siku Ya Msanii, Justin Jones Kussaga. Picha zingine ni Erick Omondi

WACHEKESHAJI maarufu kutoka nchini Kenya, Erick Omondi na Fred Omondi wamealikwa kutumbuiza katika Tamasha la Siku Ya Msanii litakalofanyika Jumamosi ijayo kwenye ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.


Mratibu wa Siku Ya Msanii, Justin Jones...

 

9 years ago

Mtanzania

Bitchuka, Sikinde kutumbuiza Siku ya Msanii kesho

Bitchuka,NA MWANDISHI WETU

MWANAMUZIKI mahiri nchini, Hassan Rehani Bitchuka, leo ataongoza kikosi kamili cha bendi ya Mlimani Park Orchestra kutoa burudani katika onyesho la kazi za wasanii katika viwanja vya Makumbusho, Posta, jijini Dar es Salaam.

Maonyesho hayo ni sehemu ya shamrashamra za kuelekea Tuzo za Siku ya Msanii, iliyozinduliwa juzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, ambaye aliwakilishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene.

Mlimani...

 

10 years ago

Mtanzania

Yamoto Band: Tunatamani mafanikio ya Diamond

Na Mwandishi Wetu

WASANII wa bendi ya Yamoto Band wameweka wazi kwamba hakuna msanii asiyependa kuwa na mafanikio kama ya Nasib Abdul (Diamond) anayezidi kung’ara katika muziki wake. Kauli hiyo waliitoa jana walipotembelea Kampuni ya New Habari (2006) Ltd iliyopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, ambayo huchapisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa, Dimba na The African. “Ukweli ni kwamba, hakuna asiyependa kuwa na mafanikio makubwa kama anayopata Diamond katika muziki na hali hiyo ndiyo...

 

10 years ago

CloudsFM

Yamoto Band wanatamani mafanikio ya Diamond.

WASANII wa bendi ya Yamoto Band wameweka wazi kwamba hakuna msanii asiyependa kuwa na mafanikio kama ya Nasib Abdul (Diamond) anayezidi kung’ara katika muziki wake.

Kauli hiyo waliitoa jana walipotembelea Kampuni ya New Habari (2006) Ltd iliyopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, ambayo huchapisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa, Dimba na The African. “Ukweli ni kwamba, hakuna asiyependa kuwa na mafanikio makubwa kama anayopata Diamond katika muziki na hali hiyo ndiyo inayotupa hamasa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yamoto Band yapamba ‘Birthday’ ya Diamond

BENDI inayokuja kwa kasi katika muziki wa Dansi Ya Moto juzi, ilikonga nyoyo katika siku ya kuzaliwa ya msanii maarufu, Nasseb Abdul ‘Diamond’ iliyofanyika ukumbi wa Gorden Jubelee Tower, Jijini...

 

10 years ago

Vijimambo

SIKU YAMOTO BAND WALIVYOTEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA UK

 Mratibu wa safari nzima ya Yamoto Band Bi. Jestina George (kushoto) akiwatambulisha vijana hao wa kundi la Mkubwa na Wanae kwa Balozi wa Tanzania ncihini Uingereza Mhe. Peter Kalage siku ya Ijumaa Februari 20, 2015 Bi. Jestina George alipowapeleka vijina hao Ubalozini hapo. Meneja wa Yamoto Band (wapili toka kushoto)akiongea jambo na Mhe. Balozi Peter Kalage. Mhe. Balozi Peter Kalage akiongea mawili matatu na vijana hao. Yamoto Band wakiwa na meneja wao wakipata picha ya pamoja na Mhe....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani