DIAMOND, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA SIKU YA MSANII DAR
Msanii Diamond (mwenye shati nyeupe) akiwa na Yamoto Band. Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kwenye hafla hiyo. WANAMUZIKI Diamond na Yamoto Band wanatarajiwa kutumbuiza katika tamasha la Siku ya Msanii litakalofanyika Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo katika ukumbi wa…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycEJULYsndGQmcWFDIflHG6Yo8keUhWv-oe5WFQK0uhbSW2OhMeB44rCgA4gB95*v-1uoZwzwYUZUknDUZaH9WpJ/YAMOTOBAND40.jpg?width=650)
BURUDANI YA NGUVU TOKA KWA YAMOTO BAND SIKU YA MSANII
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Sauti Sol, Skylight Band na Yamoto Band wapagawisha wakazi wa Dar BEAUTY and MUSIC Night!
Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar.
Petit Man (katikati) akishow love na wasanii wa bongo flava waliotumbuiza kwenye usiku huo maalum Kulia ni Mirror na Kushoto ni msanii wa bongo flava Jordan.
Mwanadada mrembo akishow love mbele ya camera yetu.
Petit Man Wakuache aking’ara kwenye Red Carpet.
Mirror na msanii mwenzake Jordan wakishow love...
10 years ago
MichuziErick na Fred Omondi kutumbuiza Siku Ya Msanii
![](http://3.bp.blogspot.com/-hP1nocqZma8/VEDYHZQjAoI/AAAAAAAGrJ8/6fvu2wDUplY/s1600/Eric-Omondi.jpg)
Mratibu wa Siku Ya Msanii, Justin Jones...
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Bitchuka, Sikinde kutumbuiza Siku ya Msanii kesho
NA MWANDISHI WETU
MWANAMUZIKI mahiri nchini, Hassan Rehani Bitchuka, leo ataongoza kikosi kamili cha bendi ya Mlimani Park Orchestra kutoa burudani katika onyesho la kazi za wasanii katika viwanja vya Makumbusho, Posta, jijini Dar es Salaam.
Maonyesho hayo ni sehemu ya shamrashamra za kuelekea Tuzo za Siku ya Msanii, iliyozinduliwa juzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, ambaye aliwakilishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene.
Mlimani...
10 years ago
GPL27 Oct
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Yamoto Band: Tunatamani mafanikio ya Diamond
Na Mwandishi Wetu
WASANII wa bendi ya Yamoto Band wameweka wazi kwamba hakuna msanii asiyependa kuwa na mafanikio kama ya Nasib Abdul (Diamond) anayezidi kung’ara katika muziki wake. Kauli hiyo waliitoa jana walipotembelea Kampuni ya New Habari (2006) Ltd iliyopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, ambayo huchapisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa, Dimba na The African. “Ukweli ni kwamba, hakuna asiyependa kuwa na mafanikio makubwa kama anayopata Diamond katika muziki na hali hiyo ndiyo...
10 years ago
CloudsFM16 Apr
Yamoto Band wanatamani mafanikio ya Diamond.
WASANII wa bendi ya Yamoto Band wameweka wazi kwamba hakuna msanii asiyependa kuwa na mafanikio kama ya Nasib Abdul (Diamond) anayezidi kung’ara katika muziki wake.
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Yamoto Band yapamba ‘Birthday’ ya Diamond
BENDI inayokuja kwa kasi katika muziki wa Dansi Ya Moto juzi, ilikonga nyoyo katika siku ya kuzaliwa ya msanii maarufu, Nasseb Abdul ‘Diamond’ iliyofanyika ukumbi wa Gorden Jubelee Tower, Jijini...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YB6gSgADomI/VO2XxUKr6VI/AAAAAAADats/t5_Sz2a7n2I/s72-c/Jestina%2Bakiwatambulisha%2Bbendi%2Bya%2BYamoto%2BKwa%2BMh%2BBalozijpg.jpg)
SIKU YAMOTO BAND WALIVYOTEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA UK
![](http://2.bp.blogspot.com/-YB6gSgADomI/VO2XxUKr6VI/AAAAAAADats/t5_Sz2a7n2I/s1600/Jestina%2Bakiwatambulisha%2Bbendi%2Bya%2BYamoto%2BKwa%2BMh%2BBalozijpg.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-m5ICI7AdInc/VO2XxZ5PnPI/AAAAAAADatw/paqzH060Tro/s1600/Meneja%2Bwa%2Bbendi%2Bya%2BYamoto%2Bakitoa%2Bmachache.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Onrrmii8dXE/VO2XxcOiJZI/AAAAAAADat0/Ch2vUy5rWAk/s1600/Mh%2BBalozi%2Bakibadilishana%2Bmawazo%2Bna%2Bbendi%2Bya%2BYamoto.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aGLssx55Ppo/VO2XyuSYieI/AAAAAAADauE/vjAgX3gBOZQ/s1600/Mh%2Bbalozi%2Bkatika%2Bpicha%2Bya%2Bpamoja%2Bna%2BYamoto.jpg)