Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BURUDANI YA NGUVU TOKA KWA YAMOTO BAND SIKU YA MSANII

Kundi la Yamoto Band wakitoa burudani Siku ya Msanii usiku wa leo Mlimani City jijini Dar.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIAMOND, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA SIKU YA MSANII DAR

Msanii Diamond (mwenye shati nyeupe) akiwa na Yamoto Band. Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kwenye hafla hiyo. WANAMUZIKI Diamond na  Yamoto Band wanatarajiwa kutumbuiza katika tamasha la Siku ya Msanii litakalofanyika  Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo katika ukumbi wa…

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band waleta homa ya burudani ndani ya Jiji la Dar, njoo utibiwe Thai Village Ijumaa hii kwa burudani ya nguvu

DSC_0001

Sam Mapenzi akiamsha amsha Taratibuuuuuuu ndani ya Thai Village.

DSC_0002

Winfrida Richard akiimba kwa sauti nyororooooo kabisaaaa amsha amsha kwa mashabiki ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0003

Sam Mapenzi kushoto akiwa na Winfrida Richard wakitoa vocal za ukweli kuwapa raha mashabiki wao ndani ya Thai Village.

DSC_0004

DSC_0008

Aneth Kushaba AK47  toka kulia akiongoza makamuzi ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0011

Joniko Flower kushoto  akiongoza makamuzi ya sebene kaliii akipewa sapoti na Sony Masamba.

DSC_0014

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band washeherekea funga mwezi na mashabiki wao kwa burudani ya nguvu, kesho jumamosi tukutane Nyama Choma Festival

1

Joniko Flower  (kulia) akiongoza mashambulizi huku akipewa tafu ya kutoshaaa na Aneth Kushaba (katikati) na Sony Masamba (kushoto).

Kama ilivyo kawaida ya Bendi yako Matata na inayokimbiza Tanzania kwa sasa Ijumaa ya Tarehe 31.11.2014 walipiga bonge moja la show pale Masaki Thai Village, Show hiyo iliandaliwa maalumu kuwashukuru mashabiki wao wanaowapiga sapoti ya nguvu kwenye show zao za kila Mwisho wa wiki.Kama Kawaida Mlangoni ulikuwa ukiingia unapata Glass moja Ya Tequila.Ratiba Yetu...

 

10 years ago

Michuzi

MANGO GARDEN NYEUPE WIKI HII, BURUDANI NI MOJA TU …YAMOTO BAND NA MASHAUZI LEO USIKU

Kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi, ukumbi wa Mango Garden Kinondoni unapitisha wikiendi bila burudani yoyote na badala yake onyesho la Yamoto Band na Mashauzi Classic leo usiku ndio show pekee wiki hii katika ukumbi huo. 
Kesho Ijumaa  Malaika Band ambao hupiga hapo Mango kila Ijumaa, watakuwa Arusha mjini. Twanga Pepeta ambao hupiga Mango Garden kila Jumamosi, Jumamosi hii watakuwa Wenge Garden Ukonga.
Bendi ya FM Academia ambayo huibuka Mango Garden na kufukia viraka vya bendi...

 

10 years ago

Vijimambo

SKYLIGHT BAND WAENDELEA KUTOA BURUDANI YA NGUVU JIJI DAR, NI IJUMAA HII TENA

Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar es Salaam Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti na Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 pamoja na Kisura mwingine wa Skylight Band anayefamika kwa jina la Baby. Tukutane baadae tupunguze stress za wiki nzima kwa burudani iliyoenda shule na sehemu ya watu wastaarabu kama kawaida na mtonyo wetu ule ule getini.Msanii...

 

10 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND WAENDELEA KUTOA BURUDANI YA NGUVU JIJI DAR, NI IJUMAA HII TENA‏

Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akiimba kwa hisia kali mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 akiimba uku akipewa support ya nguvu na Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge( wa kwanza kushoto), Sam Mapenzi (wa pili kutoka kulia) pamoja na John Music ndani ya kiota cha Thai...

 

10 years ago

Vijimambo

SIKU YAMOTO BAND WALIVYOTEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA UK

 Mratibu wa safari nzima ya Yamoto Band Bi. Jestina George (kushoto) akiwatambulisha vijana hao wa kundi la Mkubwa na Wanae kwa Balozi wa Tanzania ncihini Uingereza Mhe. Peter Kalage siku ya Ijumaa Februari 20, 2015 Bi. Jestina George alipowapeleka vijina hao Ubalozini hapo. Meneja wa Yamoto Band (wapili toka kushoto)akiongea jambo na Mhe. Balozi Peter Kalage. Mhe. Balozi Peter Kalage akiongea mawili matatu na vijana hao. Yamoto Band wakiwa na meneja wao wakipata picha ya pamoja na Mhe....

 

11 years ago

Dewji Blog

Baada ya kuporomosha burudani ya nguvu Eid Mosi, leo Skylight Band kama kawaida ndani ya Thai Village njoo usikosee!

Digna Mbepera (wa kwanza kushoto)akiimba kwa hisia kaliiiii ndani ya kiota cha maraha na burudani Thai Village Masaki,Kulia kwake ni Aneth Kushaba akimpa sapoti ya ukweli.Kila ijumaa Skylight Band wanakuwa Thai Village wakitoa burudani ya nguvu yenye kukonga roho yako kwa muziki mzuri na uliopangiliwa sawa sawa, Ijumaa ya leo kama kawaida njoo ufurahi na ukutane na marafiki wapya.

Mary Lucos mwadada mwenye sauti tamu na nyororo akiimba kwa raha zake kuwapa burudani mashabiki wake.

Aneth...

 

11 years ago

GPL

BAADA YA KUPOROMOSHA BURUDANI YA NGUVU EID MOSI, LEO SKYLIGHT BAND KAMA KAWAIDA NDANI YA THAI VILLAGE NJOO USIKOSEE!‏

Mary Lucos mwadada mwenye sauti tamu na nyororo akiimba kwa raha zake kuwapa burudani mashabiki wake. Aneth Kushaba a.k.a AK47 au Le meneja her self akiimba kwa furaha kabisa ndani ya Thai Village…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani