Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yamoto Band yapamba ‘Birthday’ ya Diamond

BENDI inayokuja kwa kasi katika muziki wa Dansi Ya Moto juzi, ilikonga nyoyo katika siku ya kuzaliwa ya msanii maarufu, Nasseb Abdul ‘Diamond’ iliyofanyika ukumbi wa Gorden Jubelee Tower, Jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TMK WANAUME, TIP TOP CONNECTION, MASHAUZI CLASSIC NA YAMOTO BAND KUIPAMBA BIRTHDAY PARTY YA MHE. TEMBA LEO

Amani Temba 'Mhe. Temba'. MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka Kundi la TMK Wanaume Family, Amani Temba 'Mhe. Temba' leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.  Yamoto Band. Sherehe hiyo itafanyika leo saa 3 usiku katika Ukumbi wa Equator Grill ulioko Mtoni jijini Dar ambapo burudani zitashushwa kutoka kwa Tmk Wanaume Family, Tip Top Connection, Mashauzi Classic na Yamoto Band. … ...

 

10 years ago

Mtanzania

Yamoto Band: Tunatamani mafanikio ya Diamond

Na Mwandishi Wetu

WASANII wa bendi ya Yamoto Band wameweka wazi kwamba hakuna msanii asiyependa kuwa na mafanikio kama ya Nasib Abdul (Diamond) anayezidi kung’ara katika muziki wake. Kauli hiyo waliitoa jana walipotembelea Kampuni ya New Habari (2006) Ltd iliyopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, ambayo huchapisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa, Dimba na The African. “Ukweli ni kwamba, hakuna asiyependa kuwa na mafanikio makubwa kama anayopata Diamond katika muziki na hali hiyo ndiyo...

 

10 years ago

CloudsFM

Yamoto Band wanatamani mafanikio ya Diamond.

WASANII wa bendi ya Yamoto Band wameweka wazi kwamba hakuna msanii asiyependa kuwa na mafanikio kama ya Nasib Abdul (Diamond) anayezidi kung’ara katika muziki wake.

Kauli hiyo waliitoa jana walipotembelea Kampuni ya New Habari (2006) Ltd iliyopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, ambayo huchapisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa, Dimba na The African. “Ukweli ni kwamba, hakuna asiyependa kuwa na mafanikio makubwa kama anayopata Diamond katika muziki na hali hiyo ndiyo inayotupa hamasa...

 

10 years ago

Bongo5

Godfather kuongoza video ya Yamoto Band, Diamond aigharamia

Muongozaji wa video za muziki wa Afrika Kusini, Godfather ataongoza video ya wimbo mpya wa kundi la Yamond Band ‘Cheza Kimadoido’ na Diamond ndiye atakayeigharamikia. Meneja wa kundi hilo, Said Fella, amesema Yamoto Band watasafiri Jumatatu kuelekea nchini Afrika Kusini kushoot video hiyo. “Wiki ijayo tunatarajia kufanya video mpya ya Yamoto Band na Godfather atakuwa […]

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA SIKU YA MSANII DAR

Msanii Diamond (mwenye shati nyeupe) akiwa na Yamoto Band. Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kwenye hafla hiyo. WANAMUZIKI Diamond na  Yamoto Band wanatarajiwa kutumbuiza katika tamasha la Siku ya Msanii litakalofanyika  Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo katika ukumbi wa…

 

10 years ago

Dewji Blog

Sauti Sol, Skylight Band na Yamoto Band wapagawisha wakazi wa Dar BEAUTY and MUSIC Night!

DSC_0437

Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar.

DSC_0429

Petit Man (katikati) akishow love na wasanii wa bongo flava waliotumbuiza kwenye usiku huo maalum Kulia ni Mirror na Kushoto ni msanii wa bongo flava Jordan.

DSC_0424

Mwanadada mrembo akishow love mbele ya camera yetu.

DSC_0427

Petit Man Wakuache aking’ara kwenye Red Carpet.

DSC_0434

 Mirror na msanii mwenzake Jordan wakishow love...

 

10 years ago

Dewji Blog

SautiSol, Yamoto Band, Skylight Band na wengine kibao kupamba BEAUTY & MUSIC NIGHT kesho Escape One

#LIPALA DANCE Itachezeka kisawa sawa hapo kesho!

IMG-20140829-WA0001

Tiketi zinapatikana kwenye vituo vifuatavyo

IMG-20140829-WA0002

IMG-20140829-WA0000

 

10 years ago

Bongo Movies

Birthday ya Wema jana: Diamond amnunulia gari jipya kama zawadi ya birthday

Jumapili ya September 28 ilikuwa ni siku ya kuzaliwa mrembo aliyebeba taji la Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. katika kusheherekea siku hiyo mpenzi wake Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz alithibitisha kwa vitendo kuwa mapenzi yao bado yako imara, kwa kumnunulia zawadi ya gari jipya aina ya Nissan.

wema6

Picha ya gari hilo la rangi nyeusi iliambaatana na ujumbe mzuri ambao Diamond alimwandikia wema kupitia akaunti yake ya Instagram yenye followers 236,841.

“Nlitama nikupe vingi, wenda...

 

9 years ago

We Were Not Bribed By Diamond

Yamoto Band


Yamoto Band - We Were Not Bribed By Diamond
AllAfrica.com
Famous Tanzanian band Yamoto has refuted reports that it was "bribed" by Diamond Platnumz to release a dis-track for his ex-girlfriend Wema Sepetu. During an interview with Word Is in Mombasa last week, the young crooners said that it was purely their ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani