Yamoto Band wanatamani mafanikio ya Diamond.
WASANII wa bendi ya Yamoto Band wameweka wazi kwamba hakuna msanii asiyependa kuwa na mafanikio kama ya Nasib Abdul (Diamond) anayezidi kung’ara katika muziki wake.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Yamoto Band: Tunatamani mafanikio ya Diamond
Na Mwandishi Wetu
WASANII wa bendi ya Yamoto Band wameweka wazi kwamba hakuna msanii asiyependa kuwa na mafanikio kama ya Nasib Abdul (Diamond) anayezidi kung’ara katika muziki wake. Kauli hiyo waliitoa jana walipotembelea Kampuni ya New Habari (2006) Ltd iliyopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, ambayo huchapisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa, Dimba na The African. “Ukweli ni kwamba, hakuna asiyependa kuwa na mafanikio makubwa kama anayopata Diamond katika muziki na hali hiyo ndiyo...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Yamoto Band yapamba ‘Birthday’ ya Diamond
BENDI inayokuja kwa kasi katika muziki wa Dansi Ya Moto juzi, ilikonga nyoyo katika siku ya kuzaliwa ya msanii maarufu, Nasseb Abdul ‘Diamond’ iliyofanyika ukumbi wa Gorden Jubelee Tower, Jijini...
10 years ago
GPLDIAMOND, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA SIKU YA MSANII DAR
10 years ago
Bongo512 Jun
Godfather kuongoza video ya Yamoto Band, Diamond aigharamia
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Sauti Sol, Skylight Band na Yamoto Band wapagawisha wakazi wa Dar BEAUTY and MUSIC Night!
Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar.
Petit Man (katikati) akishow love na wasanii wa bongo flava waliotumbuiza kwenye usiku huo maalum Kulia ni Mirror na Kushoto ni msanii wa bongo flava Jordan.
Mwanadada mrembo akishow love mbele ya camera yetu.
Petit Man Wakuache aking’ara kwenye Red Carpet.
Mirror na msanii mwenzake Jordan wakishow love...
10 years ago
Dewji Blog29 Aug
SautiSol, Yamoto Band, Skylight Band na wengine kibao kupamba BEAUTY & MUSIC NIGHT kesho Escape One
#LIPALA DANCE Itachezeka kisawa sawa hapo kesho!
Tiketi zinapatikana kwenye vituo vifuatavyo
9 years ago
We Were Not Bribed By Diamond17 Aug
Yamoto Band
AllAfrica.com
Famous Tanzanian band Yamoto has refuted reports that it was "bribed" by Diamond Platnumz to release a dis-track for his ex-girlfriend Wema Sepetu. During an interview with Word Is in Mombasa last week, the young crooners said that it was purely their ...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/N2NivL9JMd4/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-eLuEfSpbbjA/VPLSkoC7h5I/AAAAAAAAC6s/G2Gv0yLqcqI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-01%2Bat%2B08.48.46.png)
YAMOTO BAND LIVE IN LONDON
![](http://4.bp.blogspot.com/-eLuEfSpbbjA/VPLSkoC7h5I/AAAAAAAAC6s/G2Gv0yLqcqI/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-01%2Bat%2B08.48.46.png)