Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bitchuka, Sikinde kutumbuiza Siku ya Msanii kesho

Bitchuka,NA MWANDISHI WETU

MWANAMUZIKI mahiri nchini, Hassan Rehani Bitchuka, leo ataongoza kikosi kamili cha bendi ya Mlimani Park Orchestra kutoa burudani katika onyesho la kazi za wasanii katika viwanja vya Makumbusho, Posta, jijini Dar es Salaam.

Maonyesho hayo ni sehemu ya shamrashamra za kuelekea Tuzo za Siku ya Msanii, iliyozinduliwa juzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, ambaye aliwakilishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene.

Mlimani...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Erick na Fred Omondi kutumbuiza Siku Ya Msanii

MSANII wa vichekesho kutoka Kenya, Fred Omondi akisaini mkataba wa kufanya onyesho la Siku Ya Msanii katika ofisi za Siku Ya Msanii, Mikocheni Dar es Salaam, pembeni ni Mratibu wa Siku Ya Msanii, Justin Jones Kussaga. Picha zingine ni Erick Omondi

WACHEKESHAJI maarufu kutoka nchini Kenya, Erick Omondi na Fred Omondi wamealikwa kutumbuiza katika Tamasha la Siku Ya Msanii litakalofanyika Jumamosi ijayo kwenye ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.


Mratibu wa Siku Ya Msanii, Justin Jones...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA SIKU YA MSANII DAR

Msanii Diamond (mwenye shati nyeupe) akiwa na Yamoto Band. Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kwenye hafla hiyo. WANAMUZIKI Diamond na  Yamoto Band wanatarajiwa kutumbuiza katika tamasha la Siku ya Msanii litakalofanyika  Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo katika ukumbi wa…

 

9 years ago

Dewji Blog

Roberto kufanya ziara ya kimuziki ya siku mbili nchini, kutumbuiza leo Escape One na kesho Dodoma

IMG_8097

Meneja Mawasiliano wa Freconic Ideaz, Krantz Mwantepele (kushoto), akizungumza katika mkutano  na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha msanii maarufu kutoka nchini Zambia, Roberto Amarula (wa tatu kushoto) anayetarajiwa kutumbuiza leo katika fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar kabla ya kuelekea Dodoma kwenye tamasha la Instagram Party kesho Jumamosi.

IMG_8033

Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic Ideaz, Fred Ngimba akizungumzia kuhusu ziara ya Roberto Amarula nchini.

IMG_8049

Mwanamuziki na...

 

11 years ago

GPL

SEMINA SIKU YA MSANII KUFANYIKA KESHO

SEMINA ya wasanii mbalimbali iliyoandaliwa na Kamati ya Siku Ya Msanii itafanyika kesho Alhamisi katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Mjini Dar es Salaam. Ofisa Uhusiano wa Siku Ya Msanii, Petter Mwendapole alisema maandalizi yote kwa ajili ya semina hiyo yamekamilika na kwamba wasanii 400 mpaka jana walikuwa wameshajiandikisha. “Lengo letu ni kuwaelimisha wasanii katika kazi zao, lakini pia kuweza kuwapa nafasi ya kupata...

 

11 years ago

Michuzi

Msondo, Sikinde ngoma nzito TCC Club kesho

Baadhi ya Wanamuziki wa Bendi ya Msondo Ngoma 
 Magwiji wa muziki wa dansi nchini, Msondo Ngoma Music Band ‘Mambo Hadharani’ na Mlimani Park Orchestra “Sikinde Ngoma Ya Ukae” kesho mchana watachuana vikali katika viwanja vya TCC Club  Chang’ombe, Temeke.
Mpambano huo wa Nani Mtani Jembe ni kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Idd el Fitri na pia litaamua ni bendi ipi kali kati yao.
Mratibu wa mchuano huo, Joseph Kapinga amesema pambano hilo litaanza saa nane alasiri hadi majogoo.
Kapinga alisema...

 

11 years ago

Michuzi

Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.


  Mwanamuziki kutoka nchini Marekani ajulikanae kwa jina la Kisanii T.I akizungumza na Waandishi wa Habari jioni ya leo kwenye moja ya ukumbi wa Sea Cliff hotel jijini Dar kuhusiana na onesho lake la kwanza atakalotumbuiza katika viwanja vya leaders Club,jijini Dar katika tamasha la Fiesta 2014,ambalo hufanyika kila mwaka mara moja,chini ya waandaji bingwa wa burudani hapa nchini kampuni ya Prime Time Promotions Lts sambamba na Clouds Media Group.. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Msanii wa Marekani T.I. kutumbuiza Serengeti Fiesta Dar

DSC_1441

Mkurugenzi Mkuu wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Ephraim Mafuru akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafala ya kumtangaza msanii wa Marekani TI ambaye atashiriki tamasha la Fiesta litakalofanyika mwezi ujao jijini Dar es Salaam.

Mwanamuziki wa Kimarekani katika miondoka ya Hip-hop ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki, mwigizaji na mwekezaji, Clifford Joseph Harris Jr, alimaarufu kama T.I. amethibitishwa rasmi na kampuni ya Serengeti Breweries Ltd (SBL)kama...

 

10 years ago

Michuzi

MSANII WA NCHINI KENYA KUTUMBUIZA IJUMAA HII JIJINI DAR

 Msanii wa mziki wa Hip hop wa nchini Kenya ambaye pia ni Daktari nchini humo, Francis Hamis ( a.k.a Frash) akizungumza leo katika mkutano uliofanyika katika ukumbi uliopo katika jengo la VIVA Tower na waandishi wa habari kuhusiana na kutumbuiza kesho Ijumaa ambapo baada ya kutumbuiza atatembelea vituo kadhaa vya watoto yatima hapa jijini Dar es Salaam ataanza na kituo cha Trust youth Care pia mesema kuwa kiingilio kitakuwa ni shilingi elfu 10 kwa kabla ya saa  sita usiku na baada  ya saa...

 

10 years ago

Michuzi

Nani Mtani Jembe ya Msondo, Sikinde siku ya Krismasi TCC CLUB


BAADA ya mechi ya Nani Mtani Jembe kati ya Simba na Yanga kwa mchezo wa soka, Wafalme wa muziki wa dansi nchini bendi pizani za Msondo Ngoma na  Mlimani Park Orchestra (Wana Sikinde Ngoma ya Ukae) nao watakuwa na Mtani jembe yao   siku ya Krismasi katika viwanja vya TCC Club Chang’ombe.
Mpambano huo wa Mtani Jembe umeandaliwa na Keen Arts na Bob Entertainment.Mratibu wa mchuano huo Joseph Kapinga amesema pambano hilo litakuwa la kusherekea sikukuu ya Krismasi na kufunga mwaka 2014.Mpambano na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani