SEMINA SIKU YA MSANII KUFANYIKA KESHO
![](http://api.ning.com:80/files/TzObvhxOuaemLfAcvlmBtUXafhT-ElWGiTKAux0UAM0SaREj7P0cgxkSPseKHracCXH3Y*8c135d1f9RvMOJtQ5x9cjQG7nG/SYMFINALFLYER.jpg?width=650)
SEMINA ya wasanii mbalimbali iliyoandaliwa na Kamati ya Siku Ya Msanii itafanyika kesho Alhamisi katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Mjini Dar es Salaam. Ofisa Uhusiano wa Siku Ya Msanii, Petter Mwendapole alisema maandalizi yote kwa ajili ya semina hiyo yamekamilika na kwamba wasanii 400 mpaka jana walikuwa wameshajiandikisha. “Lengo letu ni kuwaelimisha wasanii katika kazi zao, lakini pia kuweza kuwapa nafasi ya kupata...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSIKU YA MSANII TANZANIA KUFANYIKA OKTOBA 25 DAR
10 years ago
MichuziSIKU YA MSANII KUFANYIKA OKTOBA 25 MLIMANI CITY JIJINI DAR
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Bitchuka, Sikinde kutumbuiza Siku ya Msanii kesho
NA MWANDISHI WETU
MWANAMUZIKI mahiri nchini, Hassan Rehani Bitchuka, leo ataongoza kikosi kamili cha bendi ya Mlimani Park Orchestra kutoa burudani katika onyesho la kazi za wasanii katika viwanja vya Makumbusho, Posta, jijini Dar es Salaam.
Maonyesho hayo ni sehemu ya shamrashamra za kuelekea Tuzo za Siku ya Msanii, iliyozinduliwa juzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, ambaye aliwakilishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene.
Mlimani...
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Siku ya msanii kufanyika Jumamosi ijayo Mlimani City Jijini Dar
Ofisa Uhusiano wa Siku ya Msanii Tanzania (SYM), Bw. Peter Mwendapole akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Siku ya Msanii Tanzania itakayofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City siku ya tarehe 25 Oktoba, 2014 jijini Dar es Salaam.
Na Beatrice Lyimo- Maelezo.
KAMATI ya Siku ya Msanii Tanzania (SYM) imetangaza rasmi majina ya wasanii watakaotumbuiza katika maadhimisho ya siku hiyo itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City uliopo jijini Dar Es Salaam.
Akizingumza na...
10 years ago
VijimamboBBQ NA MTANANGE WA MUUNGANO KUFANYIKA. WALKER MILLS SIKU YA JUMAMOSI PBZ KUKABIDHI JEZI KESHO
Mechi ya Muungano itakayochezwa Jumamosi April 25, 2015 kati ya timu ya Tanzania Bara na Tanzania Visiwani chini ya udhamini wake People's Bank of Zanzibar(PBZ) ambao ndio wa dhamini mechi hii tangia mwaka jana.
Mechi inatarajiwa kuanza saa 12 jioni na kutakua na BBQ kuanzia saa nane mchana hapo hapo Walker Mills
Timu zote zipo kwenye mazoezi makali zikijiwinda na mpambano huo.
Anuani ya uwanja ni 8001 Walker Mill Road, District Heights, MD, 20747,
![](http://1.bp.blogspot.com/-FqR6ww4NRyg/VTYLjQg3XFI/AAAAAAADjYo/olF7pLvEBtE/s1600/3b88de8b1257ae64543da61b0a8241ec.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HMXt3ZoJU7A/VTYLj63wziI/AAAAAAADjY0/QiEgYvyJPL0/s1600/e30e7d9565dd2c6019aa192cd7cf57a8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vSTTR-M83ys/VTYLjSaehUI/AAAAAAADjYs/6zl8pMAlKgM/s1600/8146a17e8af474bac658527fd5407f7a.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-h9WIPQD4z4s/VTYLjwqCRZI/AAAAAAADjYw/EYTh1A2f8Fk/s1600/8374816265f8b03c567b70eba4f81e4b.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--O6lqAC60xM/U-o8dVOcQiI/AAAAAAAF--U/MEmlQh_hOzI/s72-c/nembo%2B3_thumb%5B1%5D.png)
SEMINA YA UTHAMINISHAJI MADINI KUFANYIKA BAGAMOYO
![](http://2.bp.blogspot.com/--O6lqAC60xM/U-o8dVOcQiI/AAAAAAAF--U/MEmlQh_hOzI/s1600/nembo%2B3_thumb%5B1%5D.png)
Semina hiyo itakayofunguliwa na Katibu Mkuu wa Wizara Bw. Eliakim Maswi, inatarajiwa kuanza Agosti 14, 2014 na kumalizika Agosti 15, 2014.
TANSORT itaendesha semina hiyo...
10 years ago
GPLSEMINA YA UJASIRIAMALI KUFANYIKA 25-28 MACHI DAR LIVE
10 years ago
Habarileo29 Jan
Tuzo za BBLA kufanyika kesho
TUZO za Bodi za wakurugenzi yenye uongozi bora katika sekta ya kibenki na bima zijulikanazo kama Best Board Leadership (BBLA) zinatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kesho, ambapo taasisi saba zitashiriki katika tuzo hizo.
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-Gfj5qHcKzV4/U5q46x-WPOI/AAAAAAAFqS0/O0R6zwv2bHo/s1600/unnamed+%2878%29.jpg)
MISS MANYARA 2014 KUFANYIKA KESHO
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10