SEMINA YA UTHAMINISHAJI MADINI KUFANYIKA BAGAMOYO
![](http://2.bp.blogspot.com/--O6lqAC60xM/U-o8dVOcQiI/AAAAAAAF--U/MEmlQh_hOzI/s72-c/nembo%2B3_thumb%5B1%5D.png)
Wizara ya Nishati na Madini kupitia Kitengo cha Uthamini wa Madini ya Almasi na Vito (TANSORT) inatarajia kufanya semina ya siku mbili ambayo itahusisha Makamishna Wasaidizi wa Madini wa Kanda na Afisa Madini Wakazi yenye lengo la kujadili utendaji kazi, mafanikio pamoja na maboresho ya tasnia ya vito na almasi nchini.
Semina hiyo itakayofunguliwa na Katibu Mkuu wa Wizara Bw. Eliakim Maswi, inatarajiwa kuanza Agosti 14, 2014 na kumalizika Agosti 15, 2014.
TANSORT itaendesha semina hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TzObvhxOuaemLfAcvlmBtUXafhT-ElWGiTKAux0UAM0SaREj7P0cgxkSPseKHracCXH3Y*8c135d1f9RvMOJtQ5x9cjQG7nG/SYMFINALFLYER.jpg?width=650)
SEMINA SIKU YA MSANII KUFANYIKA KESHO
10 years ago
GPLSEMINA YA UJASIRIAMALI KUFANYIKA 25-28 MACHI DAR LIVE
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-vzGmvROQS_o/UH3BmEjEpjI/AAAAAAAAA78/E_XCPFwzd9s/s72-c/SUPER+D+BOXING+COACH.jpg)
NGUMI KUFANYIKA MEI 16 BAGAMOYO MJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-vzGmvROQS_o/UH3BmEjEpjI/AAAAAAAAA78/E_XCPFwzd9s/s1600/SUPER+D+BOXING+COACH.jpg)
mpambano uho utachezwa baada ya kila bondia kujigamba kuwa yeye ni zaidi ya mwenzie siku hiyo pia kutakuwa na mapambano ya utangulizi yatakayowakutanisha mabondia mbalimbali wenye upinzani mkali katika masumbwi
Rashidi Haruna atakumbana na Kaminja...
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Maziko ya Bwanamdogo kufanyika Bagamoyo leo
11 years ago
MichuziWAJUMBE WA SEMINA YA 25 YA CPA WATEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII MJINI BAGAMOYO
10 years ago
GPLTAMASHA LA KUKUZA UTAMADUNI NA UTALII KUFANYIKA BAGAMOYO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_XzQi5VU2M/VIF4_tSRMQI/AAAAAAABOtM/jC-VFu9ws44/s72-c/membe%2Bvn.jpg)
Membe mgeni rasmi mahafali UB, kufanyika kesho Bagamoyo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_XzQi5VU2M/VIF4_tSRMQI/AAAAAAABOtM/jC-VFu9ws44/s1600/membe%2Bvn.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo kwa vyombo vya Habari Dar Es Salaam, na Ofisa Habari wa ( UB), Happiness Katabazi, inasema Kuwa Membe ndiye Atakuwa mgeni rasmi Katika mahafali hayo ambayo yatafanyika Katika Hoteli ya Kiromo View Resort kijijini Kiromo Wilayani Bagamoyo,Mkoani Pwani.
Katabazi alisema...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jNOKNGwVgJc/VDPYwXGGChI/AAAAAAAAX3E/FnjaoiSJmIY/s72-c/2.jpg)
TAMASHA KUBWA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL KUFANYIKA BAGAMOYO
![](http://2.bp.blogspot.com/-jNOKNGwVgJc/VDPYwXGGChI/AAAAAAAAX3E/FnjaoiSJmIY/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-je1plvSGRo8/VDPYwqUpTyI/AAAAAAAAX3I/cC_rKPkMXs0/s1600/3.jpg)
BOFYA...
10 years ago
GPL‘BAGAMOYO HISTORICAL MARATHON’ KUFANYIKA JUNI 14, 2015