USAHILI WA SERENGETI SUPER NYOTA DIVA WAFANA NDANI YA SUNCIRRO CLUB
![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT1Mfsp*ic1AxY1tfhOS2kge19EsEFuxJN6T*7VDuRaNjEtoepaav9OeR6GRW3DsuDYxj6kfwT7MMi3hS*5IdHZI/IMG_0036.jpg?width=650)
MCHUJO wa kumpata mshindi wa Serengeti Fiesta Super Nyota Diva kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, umefanyika leo mchana ndani ya Ukumbi wa Suncirro Shekilango, ambapo tayari vijana mbalimbali wamejitokeza kuchuana na hatua ya kwanza tayari imemalizika kwa kupata washindi 5, ambao watachuana ili kuhakikisha anapatikana mshindi mmoja atakayeingia kwenye fainali za shindano hilo ambalo linatarajiwa kufanyika Ijumaa hii ndani ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Sep
Picha: Amina Issa aibuka Serengeti Super Nyota Diva Shinyanga
10 years ago
Bongo503 Oct
Picha:Maisara aibuka mshindi wa Serengeti Super Diva Singida
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Serengeti Fiesta ‘Super Nyota Divas’ kutua Dar
WASANII wa kike 15 (Super Nyota Divas) waliopatikana katika Tamasha la Serengeti Fiesta kutoka mikoa mbalimbali nchi wanatarajiwa kutua jijini Dar es Salaam kushuhudia shoo ya msanii wa Marekani T.i...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgTdBlHyO-m7d4YZNiU0crnn18bi1bNuUtou0nsz0hyCs2BuO64ONTaHrhXBNg917WXBEXdUn85R68mXFD8SdMlv/pameladaffa.jpg?width=650)
11 years ago
CloudsFM07 Aug
USAILI WA SERENGETI FIESTA SUPER NYOTA DIVAZ DIVAZ UNAOFANYIKA PANDE ZA JEMBE NI JEMBE,MWANZA
Usaili wa Dance la Fiesta na Serengeti Fiesta Super Nyota Divaz ukifanyika pande za Jembe ni Jembe,jijini Mwanza hapa majaji wakiwasaili washiriki waliofika eneo hilo.
Mmoja wa washiriki wa Serengeti Fiesta Super Nyota Divaz akiimba kwenye usaili.
11 years ago
Michuzi05 May
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
Mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa Mbugani” wa kampeni ya Tutoke na Serengeti akila bata ndani ya hifadhi ya Serengeti
Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Gabriel Robert Moriale (Kulia) akiwa na kaka yake Bw.Joshua Robert Moriale (Kushoto) walipowasili mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro jijini Arusha tayari kwa kuanza safari ya kwenda Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa...
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Nyota mwingine wa Nigeria ajitoa Super Eagles
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l4W8jVdh3X-0r5KJHgljLQyT35wPpLSs6m8MB0f*sfXmcZzrhCEv4jAgahbc4G0GtccP5PV1vxSYohgfpoJGspgp6rzjXirg/maxresdefault.jpg?width=650)
WASAKATONGE COMEDY SHOW NDANI YA AZAM TV YASAKA WAKALI WA UCHEKESHAJI, USAHILI KUFANYIKA UWANJA WA TAIFA DAR!