Picha:Maisara aibuka mshindi wa Serengeti Super Diva Singida
Mwanadada Maisara Juma kutoka mkoani Singida ameibuka mshindi wa shindano la Serengeti Super Diva 2014 baada ya kuwabwaga wenzake wanne. Majaji wa Serengeti Super Diva 2014 Singida wakiwa na mshindi wa pili kutoka kushoto, Hawa Shindano hilo lililofanyikia kwenye ukumbi wa club ya Rude lilionyesha ushindani mkubwa baada ya kila mshiriki kuonyesha uwezo wake ila […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Sep
Picha: Amina Issa aibuka Serengeti Super Nyota Diva Shinyanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT1Mfsp*ic1AxY1tfhOS2kge19EsEFuxJN6T*7VDuRaNjEtoepaav9OeR6GRW3DsuDYxj6kfwT7MMi3hS*5IdHZI/IMG_0036.jpg?width=650)
USAHILI WA SERENGETI SUPER NYOTA DIVA WAFANA NDANI YA SUNCIRRO CLUB
10 years ago
Dewji Blog13 Mar
Mkazi wa Korogwe, Tanga aibuka mshindi wa mtoko wa Mbugani kwenye fainali ya kampeni “Tutoke na Serengeti”
Meneja chapa wa bia ya Serengeti Premium, Bw.Rugambo Rodney (wa pili kulia), akionyesha namba ya simu ya mshindi wa mwisho wa shindano la Tutoke na Serengeti, ambapo Bw. Robert Gabriel mkazi wa Korogwe, Tanga aliibuka mshindi.Msimamizi toka PWC, Golder Kamuzora na (wa pili kulia), Afisa mwandamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha,Bw. Jehud Ngolo (wa kwanza kushoto) Afisa Mauzo toka SBL, Anitha Moshi, (wa kwanza kulia). Droo hiyo iliyofanyika katika baa ya Hongera jijini Dar es salaam.
10 years ago
Bongo504 Oct
Picha: Wakazi wa Singida wapata burudani ya kutosha ya Serengeti Fiesta 2014
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Serengeti yatoa zawadi ya Limo Bajaj kwa mshindi wa kwanza wa promosheni ya “Tutoke na Serengeti”
Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea na waandishi wa habari hawapo Pichani, wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya Tutoke na Serengeti, ambapo Bi.Rukia Athuman Almas toka Kihonda-Morogoro ameibuka mshindi wa kwanza na kujinyakulia Limo Bajaji mpya yenye thamani ya tsh milioni tisa, kushoto ni mkaguzi toka bodi ya Michezo ya bahati nasibu.
Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea kwa njia ya simu ya mkononi na Rukia Athuman Almas ambaye ni mshindi...
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
Mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa Mbugani” wa kampeni ya Tutoke na Serengeti akila bata ndani ya hifadhi ya Serengeti
Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Gabriel Robert Moriale (Kulia) akiwa na kaka yake Bw.Joshua Robert Moriale (Kushoto) walipowasili mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro jijini Arusha tayari kwa kuanza safari ya kwenda Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa...
10 years ago
Habarileo01 Aug
Mshindi wa Airtel Trace aibuka na Nice Couple
MSHINDI wa shindano la Airtel Trace Music Star, Nalimi Mayunga ameachia kibao kipya cha “ Nice Couple” pamoja na video yake.
9 years ago
GPLDENNIS LASWAI AIBUKA MSHINDI WA TMT 2015
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-GMnsIZxUzwM/VdNGsuA0LpI/AAAAAAABfRo/cRHVFeBneDw/s72-c/mkisi1.jpg)
MKISI AIBUKA MSHINDI KWA MARA YA NYINGINE
![](http://1.bp.blogspot.com/-GMnsIZxUzwM/VdNGsuA0LpI/AAAAAAABfRo/cRHVFeBneDw/s640/mkisi1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--QECxuKgKpo/VdNGtYlckTI/AAAAAAABfRs/RYy57Ew1AN0/s640/mkisi.jpg)