Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Amina Issa aibuka Serengeti Super Nyota Diva Shinyanga

Shindano la Serengeti Super Nyota Diva Shinyanga mwaka 2014 limemalizika kwa Amina Issu kuibuka mshindi na kuwapiku wenzake tisa waliokuwa kwenye kinyang’anyiro hicho. DJ Fetty akimpongeza mshindi wa Shinyanga Super Nyota Diva 2014 Shindano hilo lililokuwa na majaji watatu lilikuwa na raundi tatu mpaka kumpata mshindi huyo ambaye ataungana na wenzake wa mikoa mingine kwenda […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha:Maisara aibuka mshindi wa Serengeti Super Diva Singida

Mwanadada Maisara Juma kutoka mkoani Singida ameibuka mshindi wa shindano la Serengeti Super Diva 2014 baada ya kuwabwaga wenzake wanne. Majaji wa Serengeti Super Diva 2014 Singida wakiwa na mshindi wa pili kutoka kushoto, Hawa Shindano hilo lililofanyikia kwenye ukumbi wa club ya Rude lilionyesha ushindani mkubwa baada ya kila mshiriki kuonyesha uwezo wake ila […]

 

10 years ago

GPL

USAHILI WA SERENGETI SUPER NYOTA DIVA WAFANA NDANI YA SUNCIRRO CLUB

MCHUJO wa kumpata mshindi wa Serengeti Fiesta Super Nyota Diva kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, umefanyika leo mchana ndani ya Ukumbi wa Suncirro Shekilango, ambapo tayari vijana mbalimbali wamejitokeza kuchuana na hatua ya kwanza tayari imemalizika kwa kupata washindi 5, ambao watachuana ili kuhakikisha anapatikana mshindi mmoja atakayeingia kwenye fainali za shindano hilo ambalo linatarajiwa kufanyika Ijumaa hii ndani ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serengeti Fiesta ‘Super Nyota Divas’ kutua Dar

WASANII wa kike 15 (Super Nyota Divas) waliopatikana katika Tamasha la Serengeti Fiesta kutoka mikoa mbalimbali nchi wanatarajiwa kutua jijini Dar es Salaam kushuhudia shoo ya msanii wa Marekani T.i...

 

11 years ago

CloudsFM

USAILI WA SERENGETI FIESTA SUPER NYOTA DIVAZ DIVAZ UNAOFANYIKA PANDE ZA JEMBE NI JEMBE,MWANZA

Usaili wa Dance la Fiesta na Serengeti Fiesta Super Nyota Divaz ukifanyika pande za Jembe ni Jembe,jijini Mwanza hapa majaji wakiwasaili washiriki waliofika eneo hilo.Mmoja wa washiriki wa Serengeti Fiesta Super Nyota Divaz akiimba kwenye usaili.

 

11 years ago

Michuzi

M-DIASPORA CHEF ISSA AIBUKA NA KIOTA KIPYA CHA KISASA: HOTEL VICTORIA, SHANGANI WEST MTWARA

 HOTEL VICTORIA, ILIYO CHINI YA UONGOZI WA MDAU WA DIASPORA CHEF ISSA, IPO SHANGANI WEST MJINI MTWARA.  ILIFUNGULIWA RASMI TAREHE 14 FEB 2014 SIKU YA WAPENDANAO NA KUALIKA WATU ZAIDI YA 200. UNAWEZA KUPATA MAELEZO ZAIDI KWA http://www.hotelvictoria.me/ (JAPO BADO MATENGENEZONI)  VYUMBA SAFI CHAKULA SAFI NA UKARIMU WA HALI YA JUU. HOTEL NAMBA MOJA MTWARA KWA BEI YA KAWAIDA.
Chef Issa (shati la draught) akiwa na wafanyakazi wake pamoja na wageni hotelini hapo. Yeye ni mmoja wa wadau wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nyota mwingine wa Nigeria ajitoa Super Eagles

Nyota wa timu ya taifa ya Nigeria Super Eagles Emmanuel Emenike ametangaza kwamba amestaafu kutoka kwa timu hiyo ya taifa.

 

11 years ago

GPL

SHILOLE AIBUKA NA ‘SERENGETI BOY’ MPYA

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya KWA mara nyingine, staa anayekimbiza kwenye filamu na muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ au ‘Shishi’ ameibuka katika penzi jipya na bwana mdogo anayechipukia katika muziki wa Bongo Fleva, Nouh Mziwanda, Risasi Mchanganyiko limeinasa. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Shilole kwa sasa hasikii wala haoni kwa Nouh pamoja na kwamba wawili hao wanaonekana kuwa na...

 

10 years ago

Michuzi

SUPER MODEL FLAVIANA MATATA'S SEND OFF PARTY NDANI YA SHINYANGA



CUSTOMIZED DRESS from scrach….ikiwa imedhaminiwa  na ze stylist ROSE KOKUHILWA ‘FASHION JUNKII’Ni kwa neema tuuuuuu na rehemaaa, ni kwa neema tuu……ndo nyimbo ilikuwa inaunguruma kwa spikaaa na mabiharusi na mwenzie akawa wanaingia kwa kunesanesa. Kwa mapicha exclusive ya kumwaga toka 8020fashionblog.comBOFYA HAPA

 

10 years ago

Bongo5

Serengeti Fiesta kufanyika leo Shinyanga

Baada ya kufanya maonyesho ya kuvutia katika zaidi ya mikoa sita nchini, Serengeti Fiesta inaendelea Ijumaa hii mjini Shinyanga. Onyesho la Serengeti Fiesta mjini humo lilipaswa kufanyika Septemba 6 mwaka huu kwenye Uwanja wa Kambarage, lakini likaahirishwa kutokana na ajali mbaya iliyotokea mkoani Mara ikihusisha magari matatu. Wakazi wengi wa Shinyanga wamefurahia na kuipongeza timu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani