Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kerr awatwisha mzigo washambuliaji Simba

Simba ilianza kutetea taji la ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Jamhuri ya Pemba juzi, lakini kocha wa timu hiyo, Dylan Kerr amewataja washambuliaji kuwa ndiyo chanzo cha matokeo ya sare.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kerr akerwa na washambuliaji Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesikitishwa na washambuliaji wake ambao walikosa nafasi nyingi za wazi katika mchezo wao wa juzi wa kirafiki dhidi ya Polisi, ambapo Simba ilishinda mabao 2-0.

 

5 years ago

Michuzi

DKT NCHIMBI AWATWISHA MZIGO TBS NA SIDO










Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi


Na John Mapepele

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amelielekeza Shirika la Viwango nchini (TBS) na Shirika la Viwanda Vidogo nchini (SIDO) kuanzisha mara moja operesheni maalum ya kuwatafuta wamiliki wa viwanda na wazalishaji wakubwa wa mafuta ya alizeti katika Mkoa wa Singida.

Lengo kubwa ni kukagua viwango vya mafuta hayo na kuwaelimisha ili kuhakikisha ubora wa mafuta hayo yaweze kuingia kwenye masoko ya kimataifa hatimaye...

 

9 years ago

Mwananchi

January awatwisha mzigo watendaji , aonya ole wao!

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba amewatwisha mzigo watumishi wa wizara hiyo anaotaka waufanyie kazi haraka, ikiwamo kuangalia uanzishwaji wa mpango wa kusafisha mazingira kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi na bomoa bomoa ya nyumba kando ya mito ya Jiji la Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Kocha Kerr ‘alia’ na washambuliaji wake

PAMOJA na kupata ushindi kwenye mechi zote za kirafiki ilizocheza mjini hapa, kocha Mkuu wa Simba, Dlyan Kerr ameendelea ‘kulia’ na safu yake ya ushambuliaji kukosa mabao mengi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Don Bosco: Viungo wa Azam mzigo kwa washambuliaji

Kocha wa klabu ya Ligi Kuu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Don Bosco, Kasongo Ngandu amekichambua kikosi cha Azam na kugundua upungufu au kasoro moja ya msingi.

 

11 years ago

GPL

Simba yafuata washambuliaji Brazil, Argentina

Wachezaji wa timu ya Simba SC. Na Sweetbert Lukonge
KUNDI la Friends of Simba limepania kuleta mabadiliko makubwa ndani ya klabu hiyo ili kuhakikisha inafanya vizuri katika michuano ya Ligi Kuu Bara msimu ujao, baada ya kutimkia nchini Brazil na Argentina kutafuta washambuliaji. Uamuzi huo umefikiwa hivi karibuni katika kikao kilichowakutanisha wajumbe wa kundi hilo walipokuwa wakipitia majina ya wachezaji wanaotaka kuwasajili...

 

9 years ago

Mwananchi

Kessy amshitua Kerr Simba

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ameshtushwa na uamuzi wa beki wake Hassan Ramadhani Kessy kugoma kusaini mkataba mpya na timu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kerr: Hakuna Staa Simba

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ametamba kuwa hakuna mchezaji staa ndani ya kikosi chake na hatosita kumweka benchi au kumtimua kabisa mchezaji yeyote ambaye hatofuata kile alichoelekezwa na benchi la ufundi.

 

9 years ago

Habarileo

Kerr ajipa matumaini Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerry amesema ana imani ya kufanya vizuri katika mchezo dhidi ya Mbeya City utakaochezwa mwishoni mwa wiki ijayo jijini Mbeya. Akizungumza Dar es Salaam, Kerry alisema uwezekano wa kuondoka na pointi tatu kwenye Uwanja wa Sokoine upo, kwani kikosi chake kiko tayari kwa mchezo huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani