Kerr awatwisha mzigo washambuliaji Simba
Simba ilianza kutetea taji la ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Jamhuri ya Pemba juzi, lakini kocha wa timu hiyo, Dylan Kerr amewataja washambuliaji kuwa ndiyo chanzo cha matokeo ya sare.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Aug
Kerr akerwa na washambuliaji Simba
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesikitishwa na washambuliaji wake ambao walikosa nafasi nyingi za wazi katika mchezo wao wa juzi wa kirafiki dhidi ya Polisi, ambapo Simba ilishinda mabao 2-0.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--R642qviMew/XlXsgHSq6-I/AAAAAAAAf2Q/gt_LhHbDLGUj0KwJcwOIsX_4YyDwOvEVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200226-WA0004.jpg)
DKT NCHIMBI AWATWISHA MZIGO TBS NA SIDO
![](https://1.bp.blogspot.com/--R642qviMew/XlXsgHSq6-I/AAAAAAAAf2Q/gt_LhHbDLGUj0KwJcwOIsX_4YyDwOvEVQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200226-WA0004.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi
Na John Mapepele
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amelielekeza Shirika la Viwango nchini (TBS) na Shirika la Viwanda Vidogo nchini (SIDO) kuanzisha mara moja operesheni maalum ya kuwatafuta wamiliki wa viwanda na wazalishaji wakubwa wa mafuta ya alizeti katika Mkoa wa Singida.
Lengo kubwa ni kukagua viwango vya mafuta hayo na kuwaelimisha ili kuhakikisha ubora wa mafuta hayo yaweze kuingia kwenye masoko ya kimataifa hatimaye...
9 years ago
Mwananchi17 Dec
January awatwisha mzigo watendaji , aonya ole wao!
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kocha Kerr ‘alia’ na washambuliaji wake
PAMOJA na kupata ushindi kwenye mechi zote za kirafiki ilizocheza mjini hapa, kocha Mkuu wa Simba, Dlyan Kerr ameendelea ‘kulia’ na safu yake ya ushambuliaji kukosa mabao mengi.
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Kocha Don Bosco: Viungo wa Azam mzigo kwa washambuliaji
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8S1xo85FTtgb5qwhydpI435epfYreuaxiX8tLd64P-ROwxR7ubSEFg6hKUR2ENBjR36r8RJ02TIpzan8wLRua-L/SIMBA.gif?width=650)
Simba yafuata washambuliaji Brazil, Argentina
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Kessy amshitua Kerr Simba
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Kerr: Hakuna Staa Simba
9 years ago
Habarileo10 Oct
Kerr ajipa matumaini Simba
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerry amesema ana imani ya kufanya vizuri katika mchezo dhidi ya Mbeya City utakaochezwa mwishoni mwa wiki ijayo jijini Mbeya. Akizungumza Dar es Salaam, Kerry alisema uwezekano wa kuondoka na pointi tatu kwenye Uwanja wa Sokoine upo, kwani kikosi chake kiko tayari kwa mchezo huo.