Kerr ajipa matumaini Simba
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerry amesema ana imani ya kufanya vizuri katika mchezo dhidi ya Mbeya City utakaochezwa mwishoni mwa wiki ijayo jijini Mbeya. Akizungumza Dar es Salaam, Kerry alisema uwezekano wa kuondoka na pointi tatu kwenye Uwanja wa Sokoine upo, kwani kikosi chake kiko tayari kwa mchezo huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Kaijage ajipa matumaini
BAADA ya timu ya taifa vijana wanawake (Tanzanite) kukubali kichapo cha mabao 4-0, kutoka kwa Zambia (She-Polopolo) Uwanja wa Azam Complex Chamazi mwishoni mwa wiki iliyopita, kocha mkuu wa kikosi hicho, Rogasian Kaijage amesema wanakwenda kushinda Zambia.
Tanzanite, imekubali kichapo hicho cha nyumbani kwenye mchezo wa kwanza wa kutafuta nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia, Papua Guinea, 2017.
Akizungumza na Raia Tanzania, mara baada ya kumalizika mchezo huo Kaijage...
9 years ago
Mwananchi18 Oct
Messi ajipa matumaini Azam FC
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Beki Simba ajipa likizo timu ya Taifa
NA ZAINAB IDDY
BEKI wa Simba, Abdi Banda, amesema kuwa kwa hivi sasa hana mpango wa kuitumikia timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ hadi baada ya mwaka mmoja kutokana na majanga aliyokutana nayo akiwa na timu hiyo.
Banda hivi karibuni ameanza mazoezi na kikosi chake cha Simba, baada ya kuwa nje ya uwanja kwa kipindi kirefu kutokana na kusumbuliwa na tatizo la nyama za paja alilolipata akiwa na Taifa Stars kipindi ikijiandaa na michuano ya Afcon ilipokuwa kambini nchini Uturuki.
Akizungumza na...
10 years ago
Habarileo02 Aug
Kerr akerwa na washambuliaji Simba
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesikitishwa na washambuliaji wake ambao walikosa nafasi nyingi za wazi katika mchezo wao wa juzi wa kirafiki dhidi ya Polisi, ambapo Simba ilishinda mabao 2-0.
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Kerr ataka uvumilivu Simba
NA MWALI IBRHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, amewataka wachezaji wake kuwa wavumilivu kutokana na aina ya mazoezi watakayofanya watakapokuwa kambini visiwani Zanzibar kwa lengo la kuwaongezea kasi tofauti na ilivyokuwa katika mechi zilizopita.
Ikiwa kambini Simba inatarajia kucheza mechi mbili za kirafiki kujipima nguvu kabla ya kurejea kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam FC utakaopigwa Desemba 12, mwaka huu katika Uwanja wa Uwanja wa Taifa...
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Kerr afichua siri ya Simba
9 years ago
Habarileo06 Jan
Wachezaji Simba wamtibua Kerr
KOCHA mkuu wa timu ya Simba Dlyan Kerr amesema hajaridhishwa na kiwango kilichooneshwa na wachezaji wake katika mchezo wa michuano ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Jamhuri juzi uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2.
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Kessy amshitua Kerr Simba
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Kerr: Hakuna Staa Simba