Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kerr ajipa matumaini Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerry amesema ana imani ya kufanya vizuri katika mchezo dhidi ya Mbeya City utakaochezwa mwishoni mwa wiki ijayo jijini Mbeya. Akizungumza Dar es Salaam, Kerry alisema uwezekano wa kuondoka na pointi tatu kwenye Uwanja wa Sokoine upo, kwani kikosi chake kiko tayari kwa mchezo huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Kaijage ajipa matumaini

BAADA ya timu ya taifa vijana wanawake (Tanzanite) kukubali kichapo cha mabao 4-0, kutoka kwa Zambia (She-Polopolo) Uwanja wa Azam Complex Chamazi mwishoni mwa wiki iliyopita, kocha mkuu wa kikosi hicho, Rogasian Kaijage amesema wanakwenda kushinda Zambia.

Tanzanite, imekubali kichapo hicho cha nyumbani kwenye mchezo wa kwanza wa kutafuta nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia, Papua Guinea, 2017.

Akizungumza na Raia Tanzania, mara baada ya kumalizika mchezo huo Kaijage...

 

9 years ago

Mwananchi

Messi ajipa matumaini Azam FC

Mshambuliaji wa Azam, Ramadhan Singano ‘Messi’ amesema kuwa hakatishwi tamaa na kitendo cha kutopata nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo na ana uhakika atapata nafasi hiyo ndani ya kipindi kifupi kijacho.

 

9 years ago

Mtanzania

Beki Simba ajipa likizo timu ya Taifa

abdi-banda-390x390NA ZAINAB IDDY

BEKI wa Simba, Abdi Banda, amesema kuwa kwa hivi sasa hana mpango wa kuitumikia timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ hadi baada ya mwaka mmoja kutokana na majanga aliyokutana nayo akiwa na timu hiyo.

Banda hivi karibuni ameanza mazoezi na kikosi chake cha Simba, baada ya kuwa nje ya uwanja kwa kipindi kirefu kutokana na kusumbuliwa na tatizo la nyama za paja alilolipata akiwa na Taifa Stars kipindi ikijiandaa na michuano ya Afcon ilipokuwa kambini nchini Uturuki.

Akizungumza na...

 

10 years ago

Habarileo

Kerr akerwa na washambuliaji Simba

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesikitishwa na washambuliaji wake ambao walikosa nafasi nyingi za wazi katika mchezo wao wa juzi wa kirafiki dhidi ya Polisi, ambapo Simba ilishinda mabao 2-0.

 

9 years ago

Mtanzania

Kerr ataka uvumilivu Simba

kerr kazini simba 34NA MWALI IBRHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr, amewataka wachezaji wake kuwa wavumilivu kutokana na aina ya mazoezi watakayofanya watakapokuwa kambini visiwani Zanzibar kwa lengo la kuwaongezea kasi tofauti na ilivyokuwa katika mechi zilizopita.

Ikiwa kambini Simba inatarajia kucheza mechi mbili za kirafiki kujipima nguvu kabla ya kurejea kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam FC utakaopigwa Desemba 12,  mwaka huu katika Uwanja wa Uwanja wa Taifa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr afichua siri ya Simba

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ametaja sababu kadhaa zinazoifanya timu yake ishindwe kupata matokeo mazuri kwenye mechi za Ligi Kuu.

 

9 years ago

Habarileo

Wachezaji Simba wamtibua Kerr

KOCHA mkuu wa timu ya Simba Dlyan Kerr amesema hajaridhishwa na kiwango kilichooneshwa na wachezaji wake katika mchezo wa michuano ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Jamhuri juzi uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2.

 

9 years ago

Mwananchi

Kessy amshitua Kerr Simba

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ameshtushwa na uamuzi wa beki wake Hassan Ramadhani Kessy kugoma kusaini mkataba mpya na timu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kerr: Hakuna Staa Simba

Kocha wa Simba, Dylan Kerr ametamba kuwa hakuna mchezaji staa ndani ya kikosi chake na hatosita kumweka benchi au kumtimua kabisa mchezaji yeyote ambaye hatofuata kile alichoelekezwa na benchi la ufundi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani