Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaijage ajipa matumaini

BAADA ya timu ya taifa vijana wanawake (Tanzanite) kukubali kichapo cha mabao 4-0, kutoka kwa Zambia (She-Polopolo) Uwanja wa Azam Complex Chamazi mwishoni mwa wiki iliyopita, kocha mkuu wa kikosi hicho, Rogasian Kaijage amesema wanakwenda kushinda Zambia.

Tanzanite, imekubali kichapo hicho cha nyumbani kwenye mchezo wa kwanza wa kutafuta nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia, Papua Guinea, 2017.

Akizungumza na Raia Tanzania, mara baada ya kumalizika mchezo huo Kaijage...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Messi ajipa matumaini Azam FC

Mshambuliaji wa Azam, Ramadhan Singano ‘Messi’ amesema kuwa hakatishwi tamaa na kitendo cha kutopata nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo na ana uhakika atapata nafasi hiyo ndani ya kipindi kifupi kijacho.

 

9 years ago

Habarileo

Kerr ajipa matumaini Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerry amesema ana imani ya kufanya vizuri katika mchezo dhidi ya Mbeya City utakaochezwa mwishoni mwa wiki ijayo jijini Mbeya. Akizungumza Dar es Salaam, Kerry alisema uwezekano wa kuondoka na pointi tatu kwenye Uwanja wa Sokoine upo, kwani kikosi chake kiko tayari kwa mchezo huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray ajipa changamoto tenis

Mchezaji nambari tatu kwa ubora duniani katika tenis amejipa changamoto katika pambano la Jumatatu

 

9 years ago

TheCitizen

Kaijage unfazed by AAG group

Twiga Stars, the women’s national soccer team, face a tough opener at the All Africa Games (AAG)as they clash with giants Cote d’Ivoire on Sunday.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaijage akunwa na vipaji Arusha

KOCHA wa timu ya taifa ya soka ya wanawake, Twiga Stars, Rogasian Kaijage, amefurahishwa na kiwango cha kusakata soka kwa timu za wanawake za Mkoa wa Arusha. Mbali na kuwapongeza,...

 

9 years ago

Habarileo

Kaijage ashukuru mashabiki Twiga Stars

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya wanawake, Twiga Stars, Rogasian Kaijage amewashukuru mashabiki wanaounda kundi la ushangiliaji wa timu za taifa waliokwenda kuwashangilia Zanzibar.

 

9 years ago

Habarileo

Mbunge ajipa miezi 6 kero ya shuka hospitali

MBUNGE wa Tabora Mjini, Emmanuel Mwakasaka ameahidi kumaliza tatizo la shuka katika Hospitali ya Rufaa ya Kitete, mkoani Tabora katika kipindi cha miezi sita ijayo.

 

9 years ago

Mtanzania

Beki Simba ajipa likizo timu ya Taifa

abdi-banda-390x390NA ZAINAB IDDY

BEKI wa Simba, Abdi Banda, amesema kuwa kwa hivi sasa hana mpango wa kuitumikia timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ hadi baada ya mwaka mmoja kutokana na majanga aliyokutana nayo akiwa na timu hiyo.

Banda hivi karibuni ameanza mazoezi na kikosi chake cha Simba, baada ya kuwa nje ya uwanja kwa kipindi kirefu kutokana na kusumbuliwa na tatizo la nyama za paja alilolipata akiwa na Taifa Stars kipindi ikijiandaa na michuano ya Afcon ilipokuwa kambini nchini Uturuki.

Akizungumza na...

 

9 years ago

Habarileo

Kaijage aomba soka ya wanawake iungwe mkono

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mpira wa wanawake unahitaji kuungwa mkono kama ilivyo kwa wanaume.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani