Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaijage aomba soka ya wanawake iungwe mkono

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mpira wa wanawake unahitaji kuungwa mkono kama ilivyo kwa wanaume.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kauli ya Sumaye iungwe mkono na wanandoa

NIMEMSIKIA Waziri Mkuu mstaafu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, akizitaka jamii zilizomo kwenye ndoa kuvumiliana katika mambo mbalimbali ili kuepuka matatizo yanayoweza kuzaa chuki, jambo ambalo wakati...

 

10 years ago

Mwananchi

Kauli ya JK kuhusu ripoti ya CAG iungwe mkono

Juzi Rais Jakaya Kikwete wakati akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka unaoishia Juni 2014, alitoa maagizo makali baada ya kubaini ndani ya ripoti hiyo kuna madudu mengi ya matumizi mabaya ya fedha za umma.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadhamini: Taifa Stars iungwe mkono kesho

WADHAMINI wakuu wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Kampuni ya Bia Tanzania kupitia bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager, wamewataka Watanzania wajitokeze kwa wingi kuishangilia timu...

 

11 years ago

Mwananchi

Slaa anguruma, ataka Ukawa iungwe mkono

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuungana na kutetea Rasimu ya Katiba Mpya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TAMWA iungwe mkono katika kampeni hii

NDOA za utotoni kama inavyoelezwa bado ni tatizo sugu, hivi karibuni Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na mashirika ya kimataifa inatarajia kuendesha kampeni ya kupinga ndoa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Aomba ndevu zipigwe marufuku katika soka

Ilhan Vacvac,mwenyekiti wa kilabu ya Uturuki ya Genclerbirligi ametangza vita dhidi ya wanasoka wanaovuga ndevu.

 

9 years ago

Mwananchi

Katibu UWT aomba wanawake wasimwangushe Samia

Katibu wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) mkoani hapa, Rehema Haule amewaomba wanawake kumchagua mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli ili wapate makamu wa rais ambaye atakuwa mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo katika historia ya Tanzania.

 

10 years ago

Bongo Movies

Maneno Haya ya JB Kuhusu ‘Soka la Bongo’ Yaungwa Mkono na Wengi

Kutoka mitandaoni, JB amendika haya kuhusiana na timu yetu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’

Timu nzuri ya Taifa inaanzia kwenye vilabu...ili upate wachezaji wazuri ni lazima uwekeze.mpira ni kama shule unaanzia cheke chea.Watoto hawa wakati wako huko camp wanafundishwa mpira na shule pia wanaenda.viwanja na waalimu.uwekezaji huu ni rahisi kufanywa na mtu binafsi kama Azam kulikotimu zinazomilikiwa na wanachama....Naamini wawekezaji wanamna hii wakiongezeka na kupata sapoti kutoka kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Dr. Dre aomba radhi kwa ukatili aliowafanyia wanawake

Dr. Dre ameomba radhi kwa ukatili aliowahi kuwafanyia wanawake miaka mingi iliyopita. Rapper na producer huyo ameandika maelezo yake kupitia gazeti la The New York Times na kudai kuwa amebadilika. “Miaka 25 iliyopita nilikuwa kijana mdogo ninayekunywa sana pombe kichwani mwangu sikuwa na mpangilio wa maisha,” alisema. “Hata hivyo, yote haya si sababu ya kukwepa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani