Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMWA iungwe mkono katika kampeni hii

NDOA za utotoni kama inavyoelezwa bado ni tatizo sugu, hivi karibuni Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na mashirika ya kimataifa inatarajia kuendesha kampeni ya kupinga ndoa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kauli ya Sumaye iungwe mkono na wanandoa

NIMEMSIKIA Waziri Mkuu mstaafu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, akizitaka jamii zilizomo kwenye ndoa kuvumiliana katika mambo mbalimbali ili kuepuka matatizo yanayoweza kuzaa chuki, jambo ambalo wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Slaa anguruma, ataka Ukawa iungwe mkono

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuungana na kutetea Rasimu ya Katiba Mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Kauli ya JK kuhusu ripoti ya CAG iungwe mkono

Juzi Rais Jakaya Kikwete wakati akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka unaoishia Juni 2014, alitoa maagizo makali baada ya kubaini ndani ya ripoti hiyo kuna madudu mengi ya matumizi mabaya ya fedha za umma.

 

9 years ago

Habarileo

Kaijage aomba soka ya wanawake iungwe mkono

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mpira wa wanawake unahitaji kuungwa mkono kama ilivyo kwa wanaume.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadhamini: Taifa Stars iungwe mkono kesho

WADHAMINI wakuu wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Kampuni ya Bia Tanzania kupitia bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager, wamewataka Watanzania wajitokeze kwa wingi kuishangilia timu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msama aungwe mkono katika vita hii ngumu

TASNIA ya sanaa kwa ujumla wake, si burudani tu bali ni ajira kwa wenye vipaji wanayoweza kuitumia katika kuendesha maisha yao kama ilivyo kwingineko duniani. Lakini, kwa hapa nchini bado...

 

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI AENDELEA KUUNGWA MKONO KWA KASI NA WATANZANIA,HII NI SONGEA MJINI HII LEO

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Mh.J.P.Magufuli akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Songea Mjini hii leo wakati wa mkutano wa kampeni Uliofanyika Uwanja wa Majimaji -Songea Mjini.Mbali na kuomba kura kwaajili ya Mbunge huto wa CCM,Mh;magufuli pia amewasisitiza Wananchi wa Songea na Mkoa wa Ruvuma kuwa anataka kuunda serikali ya "KAZI TU" ,Hivyo anaomba kura za kutosha kwa Madiwani,Wabunge na za Urais za kutosha ili aweze kuwa na serikali Imara ya Chama cha Mapinduzi itakayofanya kazi kwa niaba...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunamuunga mkono JK kwa hatua hii

Hatua ya Rais Jakaya Kikwete kukutana na viongozi wa vyama vya siasa vilivyo wanachama wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na kukubaliana kuhusu mambo matano ya msingi yanayohusu mustakabali wa nchi yetu, ni ya kijasiri na ya kupongezwa. 

 

9 years ago

Dewji Blog

TICS wapanda miti 250 katika shule ya Sekondari Kurasini katika kampeni ya GO Green!

2Waalimu wa shule ya sekondari ya Kurasini wakiwa na viongozi wa TICS kabla ya kuanza zoezi la kupanda miche 250 kwenye eneo la shule hiyo jijini Dar es Salaam jana. Miche hiyo, mbolea na udongo wa kuistawisha imetolewa na TICS katika kampeni yake yenye kauli mbiu ya GO Green.

1Kutoka kushoto ni  Mkurugenzi  wa kitengo cha Uhandisi wa Tanzania International Container Terminal Services Ltd (TICS) Cornelius Kwadijk, Mkurugenzi wa Maendeleo, Donald Talawa, Meneja rasilimali  watu, Sadick Abdalla...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani