Kauli ya Sumaye iungwe mkono na wanandoa
NIMEMSIKIA Waziri Mkuu mstaafu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, akizitaka jamii zilizomo kwenye ndoa kuvumiliana katika mambo mbalimbali ili kuepuka matatizo yanayoweza kuzaa chuki, jambo ambalo wakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Kauli ya JK kuhusu ripoti ya CAG iungwe mkono
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
TAMWA iungwe mkono katika kampeni hii
NDOA za utotoni kama inavyoelezwa bado ni tatizo sugu, hivi karibuni Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na mashirika ya kimataifa inatarajia kuendesha kampeni ya kupinga ndoa...
11 years ago
Mwananchi18 May
Slaa anguruma, ataka Ukawa iungwe mkono
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Wadhamini: Taifa Stars iungwe mkono kesho
WADHAMINI wakuu wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Kampuni ya Bia Tanzania kupitia bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager, wamewataka Watanzania wajitokeze kwa wingi kuishangilia timu...
9 years ago
Habarileo02 Sep
Kaijage aomba soka ya wanawake iungwe mkono
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mpira wa wanawake unahitaji kuungwa mkono kama ilivyo kwa wanaume.
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Waunga mkono kauli za viongozi wa dini
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-JgNn1hP1eIY/ValJmC9Ng0I/AAAAAAAABh0/abYJsnZnl1g/s72-c/1.jpg)
MKURUGENZI MKUU WA CERT YA UINGEREZA AUNGA MKONO KAULI YA WANAUSALAMA MITANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JgNn1hP1eIY/ValJmC9Ng0I/AAAAAAAABh0/abYJsnZnl1g/s200/1.jpg)
Kauli hii ya ushirikiano nilipo izungumzia, wataalam wote katika mkutano huo waliiunga mkono na sasa...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-rm7KB0gCXRk/Vkko-ic047I/AAAAAAAAXH8/UxKUlUM3NL8/s72-c/Edward-Loawassa-Akihutubia-Press-Conference-Baada-ya-Kupokelewa-Rasmi-CHADEMA.jpg)
KAULI YA UKAWA KUHUSU KUUNGA MKONO USHINDI WA MAALIM SEIF KWENYE UCHAGUZI WA ZANZIBAR
5 years ago
MichuziMWENYEKITI CWT SINGIDA AJIUZULU, ATOA KAULI NZITO, AWAOMBA WALIMU KUMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Walimu (CWT) Mkoa wa Singida, Aran Jumbe akizungumza mbele ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho ngazi ya mkoa muda mfupi kabla ya kujiuzulu nafasi yake.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1iYnaGyXfzk/XsIO8X7ECqI/AAAAAAAAMRs/Vsj9o_ixAskUrFFcI6ullnFDYIiww5XEQCLcBGAsYHQ/s640/2.png)
Mwenyekiti mpya wa chama hicho Mkoa wa Singida, Hamis Mtundua akizungumza baada ya kuchaguliwa.
Mtundua akijaza fomu maalamu ya uongozi. Kushoto ni Afisa Kazi Mkoa wa Singida, Boniface Ntalula.
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CWT ngazi ya mkoa wakifuatilia uchaguzi huo.
Mwenyekiti mpya wa Kitengo cha...