Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWENYEKITI CWT SINGIDA AJIUZULU, ATOA KAULI NZITO, AWAOMBA WALIMU KUMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI


Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Walimu (CWT) Mkoa wa Singida, Aran Jumbe akizungumza mbele ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho ngazi ya mkoa muda mfupi kabla ya kujiuzulu nafasi yake.
Mwenyekiti mpya wa chama hicho Mkoa wa Singida, Hamis Mtundua akizungumza baada ya kuchaguliwa.
Mtundua akijaza fomu maalamu ya uongozi. Kushoto ni Afisa Kazi Mkoa wa Singida, Boniface Ntalula.
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CWT ngazi ya mkoa wakifuatilia uchaguzi huo.
Mwenyekiti mpya wa Kitengo cha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wakazi Ruvuma waahidi kumuunga mkono Rais Magufuli

Wakazi wa Mkoa wa Ruvuma wamesema wanaungana na Rais John Magufuli katika kuijenga Nchi kimaendeleo na kiuchumi.

Wakazi hao wamemuomba Rais Magufuli kuzipa kipaumbele changamoto zinazoukabili Mkoa wa Ruvuma kama viwanda, pembejeo za kilimo na kukuza mitaji.

Wananchi hao wamesema katika Vitabu vya Dini vinasema Roho ya Mungu ilitulia katika Maji, na Dalili ya Mvua iliyonyesha wakati anaapishwa Rais Mteule Dr John Pombe Magufuli  ni ishara ya kuonyesha mkono wa Mwenyezi Mungu upo pamoja na...

 

5 years ago

Michuzi

OLE SENDEKA AWATAKA WATANZANIA KUMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI




Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka, (kulia) akishuhudia mazishi ya mdogo wake Sumleck Ole Sendeka ambaye alikuwa Katibu mwenezi wa CCM Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, yaliyofanyika nyumbani kwao Losokonoi Kata ya Naberera.

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka (kulia) akipokea rambirambi kutoka kwa Katibu wa CCM Mkoani Manyara, Naomi Kapambala kwenye msiba wa mdogo wake Sumleck Ole Sendeka ambaye alikuwa Katibu mwenezi wa CCM wilayani Simanjiro aliyezikwa nyumbani...

 

9 years ago

StarTV

CWT Iringa yaunga mkono juhudi za Rais Magufuli kupambana na ubadhirifu

CHAMA cha walimu Tanzania CWT tawi la Iringa kimesema jitihada zinazofanywa na uongozi wa awamu ya tano ya rais Dr.John Pombe Magufuli  zinapaswa kuungwa mkono na watanzania wote wenye fikra pevu na nia njema ya maendeleo ya Taifa.

Zuio la posho kwa watumishi wa serikali, matumizi holela ya fedha za umma pamoja na kutafuta njia mbadala ya namna ya kusherekea siku ya Uhuru na maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuwa na tija  kwa jamii badala ya manufaa ya...

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA NURU FM 93.5 IRINGA WAFANYA USAFI HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA IRINGA KUMUUNGA MKONO RAIS DKT.MAGUFULI

Fredy mgunda ambaye ni chief repoter wa radio nuru fm.shauri mkwawa a.k.a mama la mama na wafanyakazi wenzake wakifanya usafi.Wakizungumza wakati wakiwa wanafanya usafi katika eneo hilo wamesema kuwa wameamua kufanya usafi katika hospital hiyo kwa kuwa ndio hospitali inayohudumia wananchi wengi kuliko hospitali nyingine zilizopo mkoani hapa.Denis nyali ni mhariri wa habari wa radio hiyo amesema kuwa wameamua kufanya usafi kwa lengo la kuwaonyesha wananchi na wafanyakazi wa hospital hiyo kuwa...

 

10 years ago

GPL

BAADHI YA WAFANYABIASHARA JIJINI DAR WAFUNGA MADUKA KUMUUNGA MKONO MWENYEKITI WAO

Baadhi ya maduka Mtaa wa Gerezani, Kariakoo yakiwa yamefungwa leo. Mbali na maduka mengine kufungwa, baadhi ya maduka yalikuwa wazi yakiendelea kutoa huduma kwa wateja. Baadhi ya wafanyabiashara…

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kigoda atoa kauli nzito



NA REHEMA MAIGALA WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda amewataka wajasiriamali wanaoanza biashara zao wasiwe wanalipishwa kodi mpaka baada ya miaka mitatu. Amesema kuwalipisha kodi wajasiriamali hao kunasababisha biashara zao kutoendelea na kutofikia malengo waliyojiwekea katika uendelevu wa biashara na maendeleo kwa jumla. Akizungumza na Uhuru jana  jijini Dar es Salaam, Dk. Kigoda alisema kuwalipisha kodi wajasiriamali ambao ndio kwanza wanaanza, kunawaharibia malengo yao....

 

9 years ago

Habarileo

Mufti Zanzibar atoa kauli nzito

VIONGOZI wa dini wa madhehebu mbalimbali Zanzibar, wamewataka viongozi wa vyama vya siasa ikiwemo wagombea wa nafasi ya urais, kukubali na kuheshimu matokeo yatakayotangazwa na taasisi husika.

 

11 years ago

GPL

DUU! JULIO ATOA KAULI NZITO

Aliyekuwa kocha wa Simba,Jamhuli Kihwelo 'Julio'. Na Shakoor Jongo
ALIYEKUWA Kocha wa Simba, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye sasa ni kocha wa Mwadui ya Shinyanga, amevunja ukimya na kufungukia juu ya madai ya kuhusishwa na mapenzi ya jinsi moja ‘ushoga’.
Julio alizungumza hilo hadharani wakati alipohudhuria hafla ya chakula cha usiku kilichoandaliwa na Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Mengele...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO MKUU UCHAGUZI WA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA CWT KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania MheshimiwaDkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Vijana, ajira na Wenye Ulemavu wakati Kwaya ya CWT ilipokuwa ikitumbuiza.Waalimu wakishangilia mara baada ya Hotuba ya Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani