MKURUGENZI MKUU WA CERT YA UINGEREZA AUNGA MKONO KAULI YA WANAUSALAMA MITANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-JgNn1hP1eIY/ValJmC9Ng0I/AAAAAAAABh0/abYJsnZnl1g/s72-c/1.jpg)
Bwana Chris Gibson, Mkurugenzi mkuu wa CERT (Computer Emergence Response Team) ya Nchini Uingereza yenye dhamana ya kubaini na kudhibiti uhalifu mtandao nchini humo ametangaza rasmi kuunga mkono kauli ya mwaka huu ya wanausalama mitandao ambayo Niliizungumzia rasmi na kuitolea ufafanuzi katika mkutano wa wanausalama mitandao tulipo kutana jijini Johannesburg mwaka huu mwezi wa Tano mwishoni.
Kauli hii ya ushirikiano nilipo izungumzia, wataalam wote katika mkutano huo waliiunga mkono na sasa...
Habari Zinazoendana
9 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrF8pZfIYP8/VmDW7rxP_bI/AAAAAAAABr8/1DRlCa7pNeA/s72-c/WEB%2B1.jpg)
WAHALIFU MTANDAO WATIKISA ANGA YA WANAUSALAMA MITANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrF8pZfIYP8/VmDW7rxP_bI/AAAAAAAABr8/1DRlCa7pNeA/s200/WEB%2B1.jpg)
Wakati bado mafanikio mbali mbali yakijadiliwa wahalifu mtandao wamegundulika kuja na...
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Kiongozi wa Taleban aunga mkono amani
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Mhadhiri aunga mkono Serikali Tatu
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Mansour aunga mkono msimamo wa Moyo
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Rais wa Colombia aunga mkono Bhangi
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Butiku aunga mkono wanaohama CCM
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amewaunga mkono wanachama na makada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wanaohamia vyama vya upinzani.
Alisema makada hao walichelewa kutoka ndani ya chama hicho na wameondoka wakati tayari chama hicho kimeharibika.
Butiku aliyasema hayo alipotoa mada kwenye mdahalo wa Maadili na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu, Dar es Salaam jana.
Alisema CCM ni sawa na kokoro ambalo limebeba kila aina ya uchafu.
Butiku...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UlSdnsk4Eqo/VVIR0TQIdbI/AAAAAAAAtrI/z08_Axjoye8/s72-c/vodacom.jpg)
Mkurugenzi Mkuu Vodacom aliyejiuzulu Aula Qatar ......Mitandao Yahusisha Kujiuzulu Kwake na Kashfa ya Upotevu wa Bilioni 700 za Kitanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-UlSdnsk4Eqo/VVIR0TQIdbI/AAAAAAAAtrI/z08_Axjoye8/s640/vodacom.jpg)
Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Vodacom aliyejiuzulu hivi karibuni Rene Meza amepata shavu katika kampuni nyingine ya mawasiliano nchini Qatar ijulikayo kama Ooredoo Mynmar kuwa Mwenyekiti mtendaji wa tawi la Mynmar.Aidha, taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kampuni hiyo imesema kwamba Rene Meza atachukua nafasi ya Ross Cormack ambaye anatarajiwa kuachia nafasi hiyo mwaka huu.
Kwa mujibu wa mtandao wa Afrika Kusini umebanisha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom amejiuzulu...
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Tutu aunga mkono sheria ya kujitoa uhai
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNQQOk2uB1i30KA11Njs3*p6rvrr-21qIFfARrPt4ifiwCh0FyI8UABbzRef0U8H3QrxEhOKklZutGNEEfWKp1Fp/DEVOTHA.jpg)
DEVOTHA AUNGA MKONO UTABIRI VIFO VYA WASANII