Mkurugenzi Mkuu Vodacom aliyejiuzulu Aula Qatar ......Mitandao Yahusisha Kujiuzulu Kwake na Kashfa ya Upotevu wa Bilioni 700 za Kitanzania

Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Vodacom aliyejiuzulu hivi karibuni Rene Meza amepata shavu katika kampuni nyingine ya mawasiliano nchini Qatar ijulikayo kama Ooredoo Mynmar kuwa Mwenyekiti mtendaji wa tawi la Mynmar.Aidha, taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kampuni hiyo imesema kwamba Rene Meza atachukua nafasi ya Ross Cormack ambaye anatarajiwa kuachia nafasi hiyo mwaka huu.
Kwa mujibu wa mtandao wa Afrika Kusini umebanisha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom amejiuzulu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Mkurugenzi mkuu wa Twitter kujiuzulu
10 years ago
Ykileo
MKURUGENZI MKUU WA CERT YA UINGEREZA AUNGA MKONO KAULI YA WANAUSALAMA MITANDAO

Kauli hii ya ushirikiano nilipo izungumzia, wataalam wote katika mkutano huo waliiunga mkono na sasa...
11 years ago
Michuzi
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Amtembelea Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Ofisini kwake

Mazungumzo yao yalihusu maandalizi ya kongamano la uwekezaji katika sekta ya nyumba litakalofanyika Jumeirah Madnat Hotel, Dubai. Kongamano hilo limeandaliwa na Ubalozi Mdogo wa Tanzania uliopo Dubai kwa kushirikiana na Shirika la Taifa la Nyumba (NHC).
Makampuni makubwa ya sekta ya nyumba hapa Dubai...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mkurugenzi wa TFF aula Azam FC
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Vigogo kortini kwa upotevu wa Sh1.3 bilioni
9 years ago
StarTV02 Dec
Tanzania kuanza uchunguzi wa upotevu wa sh. bilioni 13dhidi ya Stanbic
Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza uchunguzi dhidi ya Benki ya Stanbic ya Tanzania na wahusika wa kashfa ya upotevu wa zaidi ya shilingi Bilioni 13 zilizoongezeka kama ada ya benki hiyo ya kukusanya fedha kutoka benki mbalimbali ukiwa ni mkopo ambao Serikali ya Tanzania ilikuwa ikiuhitaji wa Dola Milioni 600 kwa ajili ya miradi ya maendeleo.
Fedha hizo ambazo ni sawa na shilingi Trilioni 1.3 zilikuwa ni mkopo kwa ajili ya miradi hiyo kwa mwaka wa fedha 2012/13 ambapo iliitumia benki hiyo...
10 years ago
Vijimambo22 May
BILIONI 600 ZIMEPIGWA MCHANA KWEUPE TUNAISHIA KUJIUZULU

TUNAAMBIWA wakati tukipata uhuru mwaka 1961, nchi yetu ilikuwa na uchumi sawa na nchi kama Singapore, Malaysia na nyingine nyingi zilizokuwa dunia ya tatu. Leo tunapojifananisha na nchi hizo za Asia, tunaonekana vichekesho.
Lakini si nchi hizo mbili tu, bali kuna mataifa mengi yamefanya vizuri kiuchumi kuliko sisi, hata kwa zile za Afrika, bara ambalo historia inatuambia watawala wake wametawaliwa na tamaa, ubinafsi, chuki na wivu dhidi ya wanaowaongoza.
Ndiyo maana...
11 years ago
Mwananchi17 May
Kashfa ya Sh2 bilioni yaibuliwa Wizara ya Afya
10 years ago
Michuzi
VODACOM TANZANIA YAPATA MKURUGENZI MTENDAJI MPYA/Vodacom Tanzania Announces New Managing Director