BILIONI 600 ZIMEPIGWA MCHANA KWEUPE TUNAISHIA KUJIUZULU
Rais jakaya kikwete.
TUNAAMBIWA wakati tukipata uhuru mwaka 1961, nchi yetu ilikuwa na uchumi sawa na nchi kama Singapore, Malaysia na nyingine nyingi zilizokuwa dunia ya tatu. Leo tunapojifananisha na nchi hizo za Asia, tunaonekana vichekesho.
Lakini si nchi hizo mbili tu, bali kuna mataifa mengi yamefanya vizuri kiuchumi kuliko sisi, hata kwa zile za Afrika, bara ambalo historia inatuambia watawala wake wametawaliwa na tamaa, ubinafsi, chuki na wivu dhidi ya wanaowaongoza.
Ndiyo maana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOh8cv7zWg3Q5sWHyFZF5y6vFlue6CFi2EOZPV77eK8HUlWNSxHNr9F4Uxx9C6VLtxy*NpIW-jRJHd8e1YzKBgA1/JakayaKikwete.jpg?width=650)
BILIONI 600 ZIMEPIGWA, AFU KIMYA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OnOI0fI8*FCh0pkyyZFRPagOfcumTqMh6879pyDepGwSAUO37oH6JQ-3qUNjbIhw0qGax59NqnUA62jVl1E3z9h/IMG20141223WA0011.jpg?width=650)
APIGWA RISASI MCHANA KWEUPE, AFARIKI
10 years ago
GPLAPIGWA RISASI MCHANA KWEUPE, MAGOMENI JIJINI DAR ES SALAAM!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*9fn6zx1i0LFUqr9jZy77gkElPfYnGnBNRJC*tiky14xaxXfomPEVhtF7Ff7CsLBmsLEJVl6m9ah9nKxGZ0xWSyWvO1E-hBc/mbege.gif?width=650)
POMBE YA MBEGE YAZUA TIMBWILI NI MCHANA KWEUPE, AFUNGA BARABARA, USAFIRI UBUNGO WATIBUKA
10 years ago
Mtanzania27 Apr
NHC yaongeza miradi ya bilioni 600/=
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, amesema shirika hilo limefanikiwa kuongeza miradi yake na kufikia Sh bilioni 600 kwa miaka mitano.
Mafanikio hayo aliyasema jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na wahariri, aliwaambia kwamba mafanikio hayo ni mwanzo na wanatarajia kupata zaidi katika miaka miwili ijayo.
“Mwaka 2010 shirika hili lilikuwa na miradi ya Sh bilioni 4 lakini hivi sasa tumefanikiwa kufikisha bilioni...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UlSdnsk4Eqo/VVIR0TQIdbI/AAAAAAAAtrI/z08_Axjoye8/s72-c/vodacom.jpg)
Mkurugenzi Mkuu Vodacom aliyejiuzulu Aula Qatar ......Mitandao Yahusisha Kujiuzulu Kwake na Kashfa ya Upotevu wa Bilioni 700 za Kitanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-UlSdnsk4Eqo/VVIR0TQIdbI/AAAAAAAAtrI/z08_Axjoye8/s640/vodacom.jpg)
Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Vodacom aliyejiuzulu hivi karibuni Rene Meza amepata shavu katika kampuni nyingine ya mawasiliano nchini Qatar ijulikayo kama Ooredoo Mynmar kuwa Mwenyekiti mtendaji wa tawi la Mynmar.Aidha, taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kampuni hiyo imesema kwamba Rene Meza atachukua nafasi ya Ross Cormack ambaye anatarajiwa kuachia nafasi hiyo mwaka huu.
Kwa mujibu wa mtandao wa Afrika Kusini umebanisha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom amejiuzulu...
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Wajumbe waumbuana kweupe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2bqCnrTCEOFPbvyZY-GpMccq-mr6qCiYsz71Z6DGO1vfvq0cTNbXs*LOMSu9UVqkUwCvLBtKEAcLaZGts352eIe/18.jpg?width=650)
MWANAMKE ASUTWA KWEUPE!
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Ndanda yaituliza Yanga kweupe