Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajumbe waumbuana kweupe

Wajumbe wa Bunge la Katiba jana waliumbuana bungeni baada ya kueleza udhaifu unaofanyika wawapo ndani ya vikao vya kamati.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ukawa waumbuana Bungeni

TABIA ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa kutoka vyama vya upinzani waliounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutafuta kasoro ndogo ndogo za kutaka Bunge liahirishwe mara kwa mara, imewatokea puani. Jana baadhi ya wajumbe hao akiwepo Ismail Jussa Ladhu, Tundu Lisu, John Mnyika na Moses Machali, walisimama kupinga marekebisho ya kanuni za Bunge Maalumu kwa madai kuwa yameletwa haraka haraka na yana nia ovu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge waumbuana hadharani

Wabunge jana waliumbuana kuhusu matumizi mabaya ya fedha za umma huku Kiongozi wa Kambi ya Upinzani, Freeman Mbowe akituhumiwa kuagiza kubadilishwa kwa tiketi ya ndege ya Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Joyce Mukya ili afupishe ziara yake ya kikazi huko Marekani na kwenda Uarabuni kwa shughuli binafsi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge Chadema waumbuana bungeni

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) amemshukia Leticia Nyerere (Viti Maalumu-Chadema) kwa kumtaka aende CCM kwa sababu bado Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete ana nafasi za kuteuwa wabunge. Hadi sasa Rais Kikwete ameshateua wabunge wanane kati ya nafasi 10 alizopewa kikatiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Kuomba fedha LAPF: Wabunge waumbuana

>Bunge jana liligeuka uwanja wa kurushiana makombora pale wabunge walipoumbuana kuhusu baadhi yao kudaiwa kuwa ombaomba katika Mfuko wa Pensheni kwa Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (LAPF).

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge waumbuana kupokea rushwa bungeni

Mbunge wa Viti Maalum, Suzan Kiwanga (Chadema), amewaumbua wabunge wenzake kuwa wanapeana na kuchukua rushwa ndani ya Bunge.

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE ASUTWA KWEUPE!

Hamida Hassan
MSUTO! Mwanamke aliyetajwa kwa jina la Sina, mkazi wa Kawe jijini Dar amejikuta akisutwa mchana kweupe baada kumvujishia taarifa rafiki yake aitwaye Cheka Komba Mbegere kuwa wanawake wanaojiita Cash Money wanakwenda kumsuta, Risasi Mchanganyiko lilifuatilia hatua kwa hatua. Mwanamke aliyetajwa kwa jina la Sina (mwenye nguo nyekundu mbele kushoto), mkazi wa Kawe jijini Dar akisutwa mchana kweupe  na wanawake...

 

11 years ago

Habarileo

Rasilimali za nchi zachotwa kweupe

WAWEKEZAJI kutoka nje, wametajwa kugeuka mawakala wa kutorosha fedha nje ya uchumi wa Tanzania, kiasi cha mabilioni ya Dola za Marekani, ambayo yakibadilishwa, yanafikia matrilioni ya Shilingi. Fedha hizo zimekuwa zikiporwa nchini kutoka serikalini kwa maana ya kukwepa kodi na katika jamii, kupitia ununuzi wa bidhaa nje ya nchi, ambazo thamani yake huchakachuliwa kwa kuongezwa kinyume na thamani halisi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndanda yaituliza Yanga kweupe

Yanga imepoteza nafasi ya kukalia usukani wa ligi baada ya kulazimishwa suluhu na wachezaji 10 wa Ndanda FC jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Maadili ya uchaguzi yakiukwa kweupe

MAADILI ya Uchaguzi yaliyosainiwa na vyama 22 vya siasa kuwa vitayatekeleza wakati wa kampeni na baada ya kampeni, yameanza kukanyagwa na baadhi ya vyama hivyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani