Wajumbe waumbuana kweupe
Wajumbe wa Bunge la Katiba jana waliumbuana bungeni baada ya kueleza udhaifu unaofanyika wawapo ndani ya vikao vya kamati.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo05 Apr
Ukawa waumbuana Bungeni
TABIA ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa kutoka vyama vya upinzani waliounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutafuta kasoro ndogo ndogo za kutaka Bunge liahirishwe mara kwa mara, imewatokea puani. Jana baadhi ya wajumbe hao akiwepo Ismail Jussa Ladhu, Tundu Lisu, John Mnyika na Moses Machali, walisimama kupinga marekebisho ya kanuni za Bunge Maalumu kwa madai kuwa yameletwa haraka haraka na yana nia ovu.
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Wabunge waumbuana hadharani
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Wabunge Chadema waumbuana bungeni
11 years ago
Mwananchi27 May
Kuomba fedha LAPF: Wabunge waumbuana
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Wabunge waumbuana kupokea rushwa bungeni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2bqCnrTCEOFPbvyZY-GpMccq-mr6qCiYsz71Z6DGO1vfvq0cTNbXs*LOMSu9UVqkUwCvLBtKEAcLaZGts352eIe/18.jpg?width=650)
MWANAMKE ASUTWA KWEUPE!
11 years ago
Habarileo20 May
Rasilimali za nchi zachotwa kweupe
WAWEKEZAJI kutoka nje, wametajwa kugeuka mawakala wa kutorosha fedha nje ya uchumi wa Tanzania, kiasi cha mabilioni ya Dola za Marekani, ambayo yakibadilishwa, yanafikia matrilioni ya Shilingi. Fedha hizo zimekuwa zikiporwa nchini kutoka serikalini kwa maana ya kukwepa kodi na katika jamii, kupitia ununuzi wa bidhaa nje ya nchi, ambazo thamani yake huchakachuliwa kwa kuongezwa kinyume na thamani halisi.
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Ndanda yaituliza Yanga kweupe
9 years ago
Habarileo20 Sep
Maadili ya uchaguzi yakiukwa kweupe
MAADILI ya Uchaguzi yaliyosainiwa na vyama 22 vya siasa kuwa vitayatekeleza wakati wa kampeni na baada ya kampeni, yameanza kukanyagwa na baadhi ya vyama hivyo.