Wabunge Chadema waumbuana bungeni
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) amemshukia Leticia Nyerere (Viti Maalumu-Chadema) kwa kumtaka aende CCM kwa sababu bado Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete ana nafasi za kuteuwa wabunge. Hadi sasa Rais Kikwete ameshateua wabunge wanane kati ya nafasi 10 alizopewa kikatiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Wabunge waumbuana kupokea rushwa bungeni
11 years ago
Habarileo05 Apr
Ukawa waumbuana Bungeni
TABIA ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa kutoka vyama vya upinzani waliounda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutafuta kasoro ndogo ndogo za kutaka Bunge liahirishwe mara kwa mara, imewatokea puani. Jana baadhi ya wajumbe hao akiwepo Ismail Jussa Ladhu, Tundu Lisu, John Mnyika na Moses Machali, walisimama kupinga marekebisho ya kanuni za Bunge Maalumu kwa madai kuwa yameletwa haraka haraka na yana nia ovu.
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Wabunge waumbuana hadharani
11 years ago
Mwananchi27 May
Kuomba fedha LAPF: Wabunge waumbuana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7TqmZ_9E_ss/XrvoW85F2iI/AAAAAAALqEc/QBxGMtsZRuk-wEzaH6GEmJpNcmViSpPgwCLcBGAsYHQ/s72-c/PAZURI.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KC8EInfMWnQ/XrL8TjTj3_I/AAAAAAALpVQ/bsSp1FYJvIoUrb1GAjMaWqVyZ3W4X9FrACLcBGAsYHQ/s72-c/spika1.jpg)
SPIKA NDUGAI AWATAKA WABUNGE CHADEMA KURUDISHA POSHO WALIOZOCHUKUA BUNGENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KC8EInfMWnQ/XrL8TjTj3_I/AAAAAAALpVQ/bsSp1FYJvIoUrb1GAjMaWqVyZ3W4X9FrACLcBGAsYHQ/s400/spika1.jpg)
*Watakaogoma majina yao kukabidhiwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
SPIKA wa Bunge Job Ndugai amekunjua makucha yake kwa wabunge wa Chadema ambao wametoroka Bungeni wakiongozwa na Freeman Mbowe huku akiwataka warudi bungeni haraka iwezekanavyo na fedha za posho wamechukua kwa siku 14 wanatakiwa kuzirudisha kwa kuziweka katika akaunti ya Bunge.
Pia Spika Ngugai amewaagiza wabunge hao kuwa...
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Wabunge 33 wapitisha muswada bungeni
10 years ago
Mwananchi16 May
Wabunge wa CCM nusura wazichape bungeni
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Nusu ya wabunge hawatarudi bungeni mwakani