Wabunge wa CCM nusura wazichape bungeni
Dodoma. Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Gosbert Blandes (Karagwe) na Rosemary Kirigini (Viti Maalumu) jana nusura wakunjane mashati nje ya Ukumbi wa Bunge, baada ya Kirigini kukasilishwa na kauli iliyotolewa na mwenzake akimtuhumu Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Dari Rwegasira.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeLVQdPDEo782lxJ*KOYYxrJCnIhYxXrcTNSg4pqL9Lh5Xu6tf*AFC7AlwDZGl7X05ZPu0zUqmeD0CqUY8NznujG/chiki.jpg)
RAY, CHIKI NUSURA WAZICHAPE!
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Nyota Yanga nusura wazichape
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Makonda, kubenea nusura wazichape
Na Shabani Matutu, Dar es salaam
MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), nusura azichape kavu kavu na Mkuu wa Wilaya ya Kinodnoni, Paul Makonda baada ya kutokea kutoelewana.
Kutokana na hali hiyo Makonda aliwaagiza askari wa Jeshi la Polisi kumtia mbaroni Kubenea kwa kile kilichoelezwa kuwa mbunge huyo ameshindwa kutii agizo la mkuu huyo wa wilaya.
Tukio hilo lilitokea jana, jijini Dar es Salaam, baada ya viongozi hao kukutana katika mgomo wa wafanyakazi wa Kiwanda cha nguo cha Tooku...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Mbunge, Mkurugenzi nusura wazichape
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Nusura wazichape kortini wakimgombea mtuhumiwa
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Momba, Ngange nusura wazichape nje ya ulingo
MABONDIA Sadiki Momba na Adamu Ngange, nusura wazichape wakati wa utambulisho mbele ya waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam, jana. Wakali hao wanatarajiwa kupanda ulingoni Septemba 27, katika moja...
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Werema, Sophia Simba nusura wazichape kikaoni
11 years ago
Habarileo11 Aug
Mwenyekiti CCM nusura ajiuzulu
UCHAGUZI wa nafasi ya Naibu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora nusura usababishe Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani hapa, Moshi Nkonkota kujiuzulu nafasi hiyo endapo Naibu huyo asingepita.
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Wabunge 33 wapitisha muswada bungeni