Nusura wazichape kortini wakimgombea mtuhumiwa
Dar es Salaam. Ilikuwa kama filamu, lakini ndivyo ilivyotokea baada ya wanawake kutaka kuzikunja ngumi ndani ya Ukumbi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Mbunge, Mkurugenzi nusura wazichape
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Makonda, kubenea nusura wazichape
Na Shabani Matutu, Dar es salaam
MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), nusura azichape kavu kavu na Mkuu wa Wilaya ya Kinodnoni, Paul Makonda baada ya kutokea kutoelewana.
Kutokana na hali hiyo Makonda aliwaagiza askari wa Jeshi la Polisi kumtia mbaroni Kubenea kwa kile kilichoelezwa kuwa mbunge huyo ameshindwa kutii agizo la mkuu huyo wa wilaya.
Tukio hilo lilitokea jana, jijini Dar es Salaam, baada ya viongozi hao kukutana katika mgomo wa wafanyakazi wa Kiwanda cha nguo cha Tooku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeLVQdPDEo782lxJ*KOYYxrJCnIhYxXrcTNSg4pqL9Lh5Xu6tf*AFC7AlwDZGl7X05ZPu0zUqmeD0CqUY8NznujG/chiki.jpg)
RAY, CHIKI NUSURA WAZICHAPE!
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Nyota Yanga nusura wazichape
10 years ago
Mwananchi16 May
Wabunge wa CCM nusura wazichape bungeni
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Momba, Ngange nusura wazichape nje ya ulingo
MABONDIA Sadiki Momba na Adamu Ngange, nusura wazichape wakati wa utambulisho mbele ya waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam, jana. Wakali hao wanatarajiwa kupanda ulingoni Septemba 27, katika moja...
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Werema, Sophia Simba nusura wazichape kikaoni
11 years ago
MichuziMTUHUMIWA WA WIZI WA PIKIPIKI AOKOLEWA NA ASKARI POLISI MOSHI ,NUSURA WAENDESHA BODABODA WAMTOE ROHO
9 years ago
Habarileo29 Dec
Mtuhumiwa wa dawa za kulevya aanguka kortini
MSHTAKIWA Hamis Malindo (30), anayekabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya, ameanguka katika chumba cha Mahakama baada ya kusomewa mashitaka yanayomkabili.