Mbunge, Mkurugenzi nusura wazichape
Mbunge wa Viti Maalumu wa Chadema wa Mkoa wa Manyara, Paulina Gekul jana alilazimika kuokolewa na polisi wilayani hapa, kutokana na kushambuliwa na Mkurugenzi wa Halmashari ya Mji wa Babati, Omari Mkombole na Mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Mohamedi Fara, wakigombea kabrasha lenye majina ya wanaopaswa kupewa ardhi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Aug
Nyota Yanga nusura wazichape
11 years ago
GPL
RAY, CHIKI NUSURA WAZICHAPE!
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Makonda, kubenea nusura wazichape
Na Shabani Matutu, Dar es salaam
MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), nusura azichape kavu kavu na Mkuu wa Wilaya ya Kinodnoni, Paul Makonda baada ya kutokea kutoelewana.
Kutokana na hali hiyo Makonda aliwaagiza askari wa Jeshi la Polisi kumtia mbaroni Kubenea kwa kile kilichoelezwa kuwa mbunge huyo ameshindwa kutii agizo la mkuu huyo wa wilaya.
Tukio hilo lilitokea jana, jijini Dar es Salaam, baada ya viongozi hao kukutana katika mgomo wa wafanyakazi wa Kiwanda cha nguo cha Tooku...
11 years ago
Mwananchi26 Aug
Nusura wazichape kortini wakimgombea mtuhumiwa
10 years ago
Mwananchi16 May
Wabunge wa CCM nusura wazichape bungeni
11 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Momba, Ngange nusura wazichape nje ya ulingo
MABONDIA Sadiki Momba na Adamu Ngange, nusura wazichape wakati wa utambulisho mbele ya waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam, jana. Wakali hao wanatarajiwa kupanda ulingoni Septemba 27, katika moja...
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Werema, Sophia Simba nusura wazichape kikaoni
11 years ago
Mwananchi28 May
Mbunge wa Nkasi nusura apigwe
10 years ago
GPL
WEMA, IDRIS NUSU WAZICHAPE