Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge, Mkurugenzi nusura wazichape

Mbunge wa Viti Maalumu wa Chadema wa Mkoa wa Manyara, Paulina Gekul jana alilazimika kuokolewa na polisi wilayani hapa, kutokana na kushambuliwa na Mkurugenzi wa Halmashari ya Mji wa Babati, Omari Mkombole na Mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Mohamedi Fara, wakigombea kabrasha lenye majina ya wanaopaswa kupewa ardhi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nyota Yanga nusura wazichape

Mazoezi magumu ya kocha Hans Pluijm nusura yawatokee puani mshambuliaji raia wa Mzimbabwe, Donald Ngoma na beki Juma Abdul ambao nusura wazichape kavu kavu.

 

11 years ago

GPL

RAY, CHIKI NUSURA WAZICHAPE!

Stori: Musa Mateja
ILIBAKI kidogo mastaa wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’, na Salum Mchoma ‘Chiki’, wazichape baada ya kutokea mzozo kati yao uliodumu kwa dakika tatu wakirushiana maneno. Staa wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’. Tifu hilo lilitokea wikiendi iliyopita, Lamada Hotel – Ilala, Dar ambapo Chiki alimshukia Ray akidai kuwa (Ray) haungi mkono uongozi wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Makonda, kubenea nusura wazichape

1Na Shabani Matutu, Dar es salaam

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), nusura azichape kavu kavu na Mkuu wa Wilaya ya Kinodnoni, Paul Makonda baada ya kutokea kutoelewana.

Kutokana na hali hiyo Makonda aliwaagiza askari wa Jeshi la Polisi kumtia mbaroni Kubenea kwa kile kilichoelezwa kuwa mbunge huyo ameshindwa kutii agizo la mkuu huyo wa wilaya.

Tukio hilo lilitokea jana, jijini Dar es Salaam, baada ya viongozi hao kukutana katika mgomo wa wafanyakazi wa Kiwanda cha nguo cha Tooku...

 

11 years ago

Mwananchi

Nusura wazichape kortini wakimgombea mtuhumiwa

Dar es Salaam. Ilikuwa kama filamu, lakini ndivyo ilivyotokea baada ya wanawake kutaka kuzikunja ngumi ndani ya Ukumbi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wa CCM nusura wazichape bungeni

Dodoma. Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Gosbert Blandes (Karagwe) na Rosemary Kirigini (Viti Maalumu) jana nusura wakunjane mashati nje ya Ukumbi wa Bunge, baada ya Kirigini kukasilishwa na kauli iliyotolewa na mwenzake akimtuhumu Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Dari Rwegasira.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Momba, Ngange nusura wazichape nje ya ulingo

MABONDIA Sadiki Momba na Adamu Ngange, nusura wazichape wakati wa utambulisho mbele ya waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam, jana. Wakali hao wanatarajiwa kupanda ulingoni Septemba 27, katika moja...

 

11 years ago

Mwananchi

Werema, Sophia Simba nusura wazichape kikaoni

>Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba nusura wapigane baada ya kupishana kauli wakati wa mjadala wa ndani ya Kamati Namba Sita inayoongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge wa Nkasi nusura apigwe

>Kelele, kukunjana na kunyoosheana vidole jana mchana vilitawala nje ya ukumbi wa Bunge wakati wabunge wa CUF kutoka Zanzibar walipotaka ‘kumkanya’ Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy.

 

10 years ago

GPL

WEMA, IDRIS NUSU WAZICHAPE

Musa mateja
MALKIA anayemiliki Kampuni ya Endless Fame Production, Wema Isaac Sepetu na Mshindi wa Big Brother Africa 2014/15, Idris Sultan ambao wamekuwa marafiki wakubwa katika siku za hivi karibuni, nusu wazichape kavukavu baada ya kupishana kauli huku wivu wa kimapenzi ukitajwa. Malkia anayemiliki Kampuni ya Endless Fame Production, Wema Isaac Sepetu. Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita nje ya Hoteli ya Hyatt...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani