Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge wa Nkasi nusura apigwe

>Kelele, kukunjana na kunyoosheana vidole jana mchana vilitawala nje ya ukumbi wa Bunge wakati wabunge wa CUF kutoka Zanzibar walipotaka ‘kumkanya’ Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mbunge wa Nkasi ahofia kuonekana mzembe

Godfrey-ZambiMBUNGE wa Nkasi Kusini, Desdurius Mipata (CCM), amehofia wapiga kura wake kumuona mzembe kutokana na kushindwa kupeleka huduma ya mawasiliano katika jimbo lake.

Akiuliza swali bungeni jana, alisema licha ya kuihoji Serikali mara kwa mara, lakini hadi sasa vijiji hivyo havina mawasiliano.

“Je, Serikali haoni wananchi wangu wataniona mzembe kwa kushindwa kuwapelekea mawasiliano,” alihoji.

Alitaka kujua mpango wa Serikali wa kuvipatia vijiji vya kata ya Kate na Isale mawasiliano ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge, Mkurugenzi nusura wazichape

Mbunge wa Viti Maalumu wa Chadema wa Mkoa wa Manyara, Paulina Gekul jana alilazimika kuokolewa na polisi wilayani hapa, kutokana na kushambuliwa na Mkurugenzi wa Halmashari ya Mji wa Babati, Omari Mkombole na Mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Mohamedi Fara, wakigombea kabrasha lenye majina ya wanaopaswa kupewa ardhi.

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI: ccm itapigwa saa mbili asubuhi Nkasi Kusini na nkasi kaskazini

Wilaya ya Nkasi ni moja kati ya wilaya nne za mkoa wa Rukwa. Wilayah hii inaundwa na kata 22, vijiji 105 na vitongoji 768. Kwa upande wa idadi ya watu, kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, wilaya ya Nkasi ilikadiriwa kuwa na wakazi 281,200 ambapo wanaume walikuwa 137,041, wanawake 144,159 na kuna wastani wa watu 5.3 katika kila kaya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Platini apigwe marufuku ya maisha :FIFA

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha

 

9 years ago

BBCSwahili

Fifa yataka Valcke apigwe marufuku miaka tisa

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza katibu mkuu wa shirikisho hilo linalosimamia soka duniani Bw Jerome Valcke apigwe marufuku miaka tisa.

 

9 years ago

Bongo5

Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.

151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit

Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.

Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.

Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...

 

11 years ago

Daily News

Nkasi DC rails against graft


Nkasi DC rails against graft
Daily News
THE District Commissioner for Nkasi, Mr Iddy Kimanta has warned dishonest District Council solicitors who allegedly receive bribes from suspects, a situation that often leads to losses of colossal sums of government money, when the culprits win court cases.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi wazua tafrani Nkasi

WANAFUNZI wapya 52 wa kidato cha tano katika shule ya sekondari Kati wilayani Nkasi, Rukwa wamefanya vurugu lililolazimisha nguvu ya polisi kutumika baada ya kuzuiwa kufanya sherehe ya kujikaribisha hadi...

 

10 years ago

Daily News

Nkasi pupils sit on stones


Nkasi pupils sit on stones
Daily News
SEVERAL premises of schools and public dispensaries in Nkasi North Constituency in Nkasi District, Rukwa Region are in bad shape which need urgent face lift. Some of the primary schools in the area are in dire shortages of desks, which caused pupils to ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani