Mbunge wa Nkasi nusura apigwe
>Kelele, kukunjana na kunyoosheana vidole jana mchana vilitawala nje ya ukumbi wa Bunge wakati wabunge wa CUF kutoka Zanzibar walipotaka ‘kumkanya’ Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania16 May
Mbunge wa Nkasi ahofia kuonekana mzembe
MBUNGE wa Nkasi Kusini, Desdurius Mipata (CCM), amehofia wapiga kura wake kumuona mzembe kutokana na kushindwa kupeleka huduma ya mawasiliano katika jimbo lake.
Akiuliza swali bungeni jana, alisema licha ya kuihoji Serikali mara kwa mara, lakini hadi sasa vijiji hivyo havina mawasiliano.
“Je, Serikali haoni wananchi wangu wataniona mzembe kwa kushindwa kuwapelekea mawasiliano,” alihoji.
Alitaka kujua mpango wa Serikali wa kuvipatia vijiji vya kata ya Kate na Isale mawasiliano ya...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Mbunge, Mkurugenzi nusura wazichape
10 years ago
Mwananchi21 Jun
KUELEKEA MAJIMBONI: ccm itapigwa saa mbili asubuhi Nkasi Kusini na nkasi kaskazini
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Platini apigwe marufuku ya maisha :FIFA
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Fifa yataka Valcke apigwe marufuku miaka tisa
9 years ago
Bongo525 Nov
Kamati ya FIFA yataka Platini apigwe marufuku ya maisha ya maswala ya soka
![151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/151112085912_michel_platini_640x360_rianovosti_nocredit-300x194.jpg)
Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza kuwa rais aliyesimamishwa kazi wa UEFA Michel Platini apigwe marufuku ya maisha asishiriki maswala yeyote ya kandanda.
Wakili wake ameiambia shirikisho la habari la AFP kuwa kamati ya nidhamu ilikuwa imependekeza marufuku ya maisha kwa mteja wake kufuatia malipo ya mamilioni ya Euro.
Platini na Blatter wote wanatumikia adhabau ya marufuku ya siku 90 kufuatia uchunguzi wa malipo ya dola milioni mbili.
Wakili anayemwakilisha Platini, Thibaud d’Ales...
11 years ago
Daily News17 Feb
Nkasi DC rails against graft
Daily News
THE District Commissioner for Nkasi, Mr Iddy Kimanta has warned dishonest District Council solicitors who allegedly receive bribes from suspects, a situation that often leads to losses of colossal sums of government money, when the culprits win court cases.
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Wanafunzi wazua tafrani Nkasi
WANAFUNZI wapya 52 wa kidato cha tano katika shule ya sekondari Kati wilayani Nkasi, Rukwa wamefanya vurugu lililolazimisha nguvu ya polisi kutumika baada ya kuzuiwa kufanya sherehe ya kujikaribisha hadi...
10 years ago
Daily News15 Jun
Nkasi pupils sit on stones
Daily News
SEVERAL premises of schools and public dispensaries in Nkasi North Constituency in Nkasi District, Rukwa Region are in bad shape which need urgent face lift. Some of the primary schools in the area are in dire shortages of desks, which caused pupils to ...