Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi wazua tafrani Nkasi

WANAFUNZI wapya 52 wa kidato cha tano katika shule ya sekondari Kati wilayani Nkasi, Rukwa wamefanya vurugu lililolazimisha nguvu ya polisi kutumika baada ya kuzuiwa kufanya sherehe ya kujikaribisha hadi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ugawaji vijiji wazua tafrani

SUALA ya kugawanywa kwa kata, mitaa na vijiji limezua tafrani kwa baadhi ya wananchi wa Manispaa ya Dodoma huku wananchi wa Nzuguni wakitaka kurejeshwa kwa kijiji ambacho kimepelekwa kata nyingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Albino wazua tafrani Polisi Buguruni

Watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), jana walizua tafrani Kituo cha Polisi Buguruni, wakipinga dhamana kwa mshtakiwa, Ombeni Swai (34), mkazi wa Tabata Matumbi anayekabiliwa na kesi ya kutoa vitisho vya kumuua mwenzao.

 

10 years ago

Mwananchi

Uvumi wa Noah wazua tafrani Dar

Gari aina ya Toyota Noah linalomilikiwa na Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kituo cha Polisi, Tabata Shule Dar es Salaam, limezua tafrani kwa wakazi wa eneo hilo baada ya kuwapo na uvumi kuwa kuna gari la aina hiyo linatumika kuteka watoto.

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani wa CUF wazua tafrani Tanga

Madiwani wa Chama cha Wananchi (CUF) wakiwa na wafuasi wa chama hicho, jana walivamia mara mbili ukumbi wa ofisi za Mipango Miji ya Jiji la Tanga na kukitawanya kikao cha Kamati ya Fedha na Uongozi kilichokuwa kikiongozwa na Mstahiki Meya wa Jiji hilo, Omar Guled.

 

10 years ago

Mtanzania

Usiri mikataba ya gesi wazua tafrani kamati ya Zitto

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe

SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Mashirika ya Umma (PAC), imetoa siku mbili kwa uongozi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwasilisha mikataba 26 ya gesi kwa Katibu wa Bunge.

Uamuzi wa kamati hiyo umetokana na menejimenti ya TPDC kushindwa kuwasilisha mkataba hata mmoja kati ya mikataba 26 iliyoombwa na kamati hiyo katika kipindi cha mwaka mmoja sasa.

Akizungumza Dar es Salaam jana wakati wa kupitia...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI: ccm itapigwa saa mbili asubuhi Nkasi Kusini na nkasi kaskazini

Wilaya ya Nkasi ni moja kati ya wilaya nne za mkoa wa Rukwa. Wilayah hii inaundwa na kata 22, vijiji 105 na vitongoji 768. Kwa upande wa idadi ya watu, kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, wilaya ya Nkasi ilikadiriwa kuwa na wakazi 281,200 ambapo wanaume walikuwa 137,041, wanawake 144,159 na kuna wastani wa watu 5.3 katika kila kaya.

 

10 years ago

Mtanzania

AG Zanzibar azua tafrani

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman

NA MAREGESI PAUL, DODOMA

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman, jana alitibua wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, baada ya kuikataa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

Baada ya kupiga kura ya hapana, baadhi ya wajumbe walimzomea mwanasheria huyo wakionyesha kutoridhishwa na msimamo wake.

Kutokana na hali hiyo, baada ya Bunge kuahirishwa saa nne asubuhi, askari wa Bunge walilazimika kumtoa bungeni chini...

 

10 years ago

Mwananchi

Luku yazua tafrani Mbeya

>Wakazi wa jijini hapa jana walizua tafrani baada ya kufunga ofisi za Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa muda wakidai kupewa majibu kuhusu tatizo la upatikanaji wa umeme lililodumu kwa zaidi ya siku tano

 

10 years ago

GPL

MAITI YA MCHUNGAJI YAZUA TAFRANI

Na Haruni Sanchawa/Uwazi
MAITI ya Mchungaji James Regnald Mhando  aliyefariki  Februari 18, mwaka huu imezua tafrani nzito kwa ndugu na jamaa baada ya kujulikana kuwa alikuwa na wake wawili ambapo mke mmoja alitaka mwili uagwe hospitali na upande wa pili ukitaka ukaagwe kwa mama yake marehemu. Mchungaji James Regnald Mhando enzi za uhai wake. Katika msiba huo ilibainika kuwa, mchungaji huyo (kanisa lake tunalihifadhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani