Wanafunzi wazua tafrani Nkasi
WANAFUNZI wapya 52 wa kidato cha tano katika shule ya sekondari Kati wilayani Nkasi, Rukwa wamefanya vurugu lililolazimisha nguvu ya polisi kutumika baada ya kuzuiwa kufanya sherehe ya kujikaribisha hadi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Oct
Ugawaji vijiji wazua tafrani
SUALA ya kugawanywa kwa kata, mitaa na vijiji limezua tafrani kwa baadhi ya wananchi wa Manispaa ya Dodoma huku wananchi wa Nzuguni wakitaka kurejeshwa kwa kijiji ambacho kimepelekwa kata nyingine.
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Albino wazua tafrani Polisi Buguruni
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Uvumi wa Noah wazua tafrani Dar
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Madiwani wa CUF wazua tafrani Tanga
10 years ago
Mtanzania28 Oct
Usiri mikataba ya gesi wazua tafrani kamati ya Zitto
![Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Zitto-Kabwe.jpg)
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe
SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Mashirika ya Umma (PAC), imetoa siku mbili kwa uongozi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwasilisha mikataba 26 ya gesi kwa Katibu wa Bunge.
Uamuzi wa kamati hiyo umetokana na menejimenti ya TPDC kushindwa kuwasilisha mkataba hata mmoja kati ya mikataba 26 iliyoombwa na kamati hiyo katika kipindi cha mwaka mmoja sasa.
Akizungumza Dar es Salaam jana wakati wa kupitia...
10 years ago
Mwananchi21 Jun
KUELEKEA MAJIMBONI: ccm itapigwa saa mbili asubuhi Nkasi Kusini na nkasi kaskazini
10 years ago
Mtanzania02 Oct
AG Zanzibar azua tafrani
![Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/Othman-Masoud-Othman1.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman, jana alitibua wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, baada ya kuikataa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Baada ya kupiga kura ya hapana, baadhi ya wajumbe walimzomea mwanasheria huyo wakionyesha kutoridhishwa na msimamo wake.
Kutokana na hali hiyo, baada ya Bunge kuahirishwa saa nne asubuhi, askari wa Bunge walilazimika kumtoa bungeni chini...
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Luku yazua tafrani Mbeya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2ZK7FUPTMt3vlo*1nrT7avAKzYyWZccXG4PGpa32*KajYbn3yPTz8H92gIa0idKYKA-pj6az52ED46lYXI3ALHf/w.jpg?width=650)
MAITI YA MCHUNGAJI YAZUA TAFRANI