MAITI YA MCHUNGAJI YAZUA TAFRANI
![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2ZK7FUPTMt3vlo*1nrT7avAKzYyWZccXG4PGpa32*KajYbn3yPTz8H92gIa0idKYKA-pj6az52ED46lYXI3ALHf/w.jpg?width=650)
Na Haruni Sanchawa/Uwazi MAITI ya Mchungaji James Regnald Mhando aliyefariki Februari 18, mwaka huu imezua tafrani nzito kwa ndugu na jamaa baada ya kujulikana kuwa alikuwa na wake wawili ambapo mke mmoja alitaka mwili uagwe hospitali na upande wa pili ukitaka ukaagwe kwa mama yake marehemu. Mchungaji James Regnald Mhando enzi za uhai wake. Katika msiba huo ilibainika kuwa, mchungaji huyo (kanisa lake tunalihifadhi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfUvPSttO0KNrtooiIT-bXQIdEMBeBLWOYW271BQdqP9AlkvK1YwRt04JiiafN3vOCd*YFOO3eAs5dXbMRJ7cC2CRPm6taw9/3.jpg?width=650)
FAMILIA YA MWINYI YAZUA TAFRANI
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Luku yazua tafrani Mbeya
11 years ago
Habarileo19 Dec
Ndege ya Ethiopia yazua tafrani Arusha
NDEGE ya Shirika la Ndege la Ethiopia, imetua kwa dharura katika uwanja mdogo wa Arusha baada ya kushindwa kutua katika uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kutokana na ndege nyingine ya TFC kukwama kwenye njia ya kurukia.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPwRDIGWEl4gKdgVDDiMfhapgOIQDzeGPz5OM5wprYJ2nonnVtC8JxFGZNwDxjhDyWHjMQkvxNX5LQHOCToZbeOR/dc.jpg)
KAULI YA DC KUHUSU KONDOMU YAZUA TAFRANI
11 years ago
Mwananchi15 Jun
‘Ofa’ Shoprite yazua tafrani Mlimani City
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Maiti ya kichanga yazua balaa
MTAFARUKU mkubwa umetokea msibani katika Mtaa wa Kawajense Madukani, Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi baada ya ndugu wa pande mbili kugombania kuuzika mwili wa kichanga, Junia Bacho mwenye mwaka mmoja...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvzsvdxTgzUaXS9UL86dQpGGu*PWrMRSsGKgMLECfSoCoyyx1ACPxl*RGubT0VTEMteVk80LM*thaxhYehnTep3/maiti.jpg?width=650)
MAITI YA DENTI CBE YAZUA KASHESHE
10 years ago
Mtanzania02 Oct
AG Zanzibar azua tafrani
![Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/Othman-Masoud-Othman1.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman, jana alitibua wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, baada ya kuikataa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Baada ya kupiga kura ya hapana, baadhi ya wajumbe walimzomea mwanasheria huyo wakionyesha kutoridhishwa na msimamo wake.
Kutokana na hali hiyo, baada ya Bunge kuahirishwa saa nne asubuhi, askari wa Bunge walilazimika kumtoa bungeni chini...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Wanafunzi wazua tafrani Nkasi
WANAFUNZI wapya 52 wa kidato cha tano katika shule ya sekondari Kati wilayani Nkasi, Rukwa wamefanya vurugu lililolazimisha nguvu ya polisi kutumika baada ya kuzuiwa kufanya sherehe ya kujikaribisha hadi...