MAITI YA DENTI CBE YAZUA KASHESHE
![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvzsvdxTgzUaXS9UL86dQpGGu*PWrMRSsGKgMLECfSoCoyyx1ACPxl*RGubT0VTEMteVk80LM*thaxhYehnTep3/maiti.jpg?width=650)
Stori: Chande Abdallah na Denis Mtima, MWANZA KWELI dunia ina mambo! Kijana Abel Dafe 21, (pichani) mkazi wa Kayenze, Mwaloni jijini Mwanza amezua sintofahamu ya aina yake baada ya kudaiwa kufariki dunia na maiti yake kuzikwa wiki chache zilizopita na baadaye kuonekana akiwa hai, bali denti wa Chuo cha Biashara (CBE) Tawi la Mwanza ndiye akidaiwa kufa. Desemba 2, mwaka huu, Abel alidaiwa kufa maji akiogelea katika Ziwa Victoria...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Ebola yazua kasheshe DRC
10 years ago
Vijimambo12 Dec
Ajali ya Noah iliyoua yazua kasheshe
Aidha, ajali hiyo ilizua mvutano mkubwa baada ya wahudumu na maofisa wa kituo cha afya kugoma kupokea majeruhi wakidai wapewe fedha kwanza.
Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Deus Nsimeki, alitaja gari hilo kuwa ni T .728 CLV na kuwa dereva wake, Kazumba Musa aliyekimbia baada ya ajali hiyo, anatafutwa.
Alisema...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Maiti ya kichanga yazua balaa
MTAFARUKU mkubwa umetokea msibani katika Mtaa wa Kawajense Madukani, Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi baada ya ndugu wa pande mbili kugombania kuuzika mwili wa kichanga, Junia Bacho mwenye mwaka mmoja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2ZK7FUPTMt3vlo*1nrT7avAKzYyWZccXG4PGpa32*KajYbn3yPTz8H92gIa0idKYKA-pj6az52ED46lYXI3ALHf/w.jpg?width=650)
MAITI YA MCHUNGAJI YAZUA TAFRANI
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Kasheshe la Fedha Bandia
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Lifti Muhimbili zazua kasheshe
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Kombe la dunia lazua kasheshe majumbani
10 years ago
Vijimambo26 Nov
Angalia kasheshe la Tegeta Escrow LIVE bungeni
Au sikiliza kwenye simu yako kupitiahttp://m.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoORyVvAgV*ZD-*84TXlJvhOIPxAMOnfZaRkdkNl5mj1JC-HAg-R41ifqa1LxDJfrPze0x2ZdrOVoxyHCmNsimBiS/mrembo.jpg?width=650)
MREMBO AZUA KASHESHE, KISA WIVU WA MAPENZI!