Lifti Muhimbili zazua kasheshe
Dar es Salaam. Lifti za wodi ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) zimeharibika na kusababisha wauguzi kulazimika kuwabeba wagonjwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Ubovu wa lifti MNH wakwamisha huduma
Shughuli za Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) za utoaji wa huduma kwa wagonjwa zimekuwa zikikwama kutokana na ubovu wa lifti na kusababisha ufanisi wa kazi kuwa mdogo.
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Kasheshe la Fedha Bandia
Ilikuwa ni mwaka 1967 lilipotangazwa Azimio la Arusha ambalo liliwapiga kikumbo matajiri na mabepari waliokuwa na mali nyingi kupita kiasi. Azimio lilipotangazwa msambaratiko wa mabepari kuikimbia serikali ya Nyerere ulikuwa mkubwa.
Wapo waliokimbilia Ulaya na Asia na wengine walivuka mpaka kwenda nchi jirani ya Kenya.
Kati ya matajiri wote hao, mmoja wao alikuwa Benson Papi, Mtanzania pekee aliyekuwa anakula sambamba na matajiri wa Kizungu waliokuwa sumu kali kwa Rais wa kwanza wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun2nmbh*P8lvofFre0T0nRA4P0URYriGBmeVm6izJTGdmZuDXilR0omKuloJzP9XrON*M9qqOfuEd2ImhCwFTcUP/LOVE2.jpg)
SHOGA, GARI LAKO LEO UNAOMBA LIFTI?
JAMANII mmmh! Makubwa madogo yana nafuu, hivi jamani mwenye nyumba akikamatwa anadokoa mboga si aibu eeeh? Nyama upike mwenyewe kisha udokoe? Basi wakati mwingine tuiache akili ya kawaida ifanye kazi yake na si kutumia akili za chini. Inawezekana kiburi cha barafu kushindana na jua ndicho kinatuponza. Shoga wee! Naona mimacho imekutoka kama umeona sisimizi kameza nazi na kujiuliza leo nimekujaje kama hunielewi vile. Hebu kaa...
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Watawa wakwama ndani ya lifti kwa siku 3
Watawa wawili wameokolewa kutoka kwa lifti mjini Rome baada ya kukwama kwa siku tatu bila chakula wala maji.
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Ebola yazua kasheshe DRC
Licha ya kuzuka homa ya Ebola Afrika Magharibi, baadhi nchini (DRC) wanafikiri maradhi hayo ni uongo mtupu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXvzsvdxTgzUaXS9UL86dQpGGu*PWrMRSsGKgMLECfSoCoyyx1ACPxl*RGubT0VTEMteVk80LM*thaxhYehnTep3/maiti.jpg?width=650)
MAITI YA DENTI CBE YAZUA KASHESHE
Stori: Chande Abdallah na Denis Mtima, MWANZA
KWELI dunia ina mambo! Kijana Abel Dafe 21, (pichani) mkazi wa Kayenze, Mwaloni jijini Mwanza amezua sintofahamu ya aina yake baada ya kudaiwa kufariki dunia na maiti yake kuzikwa wiki chache zilizopita na baadaye kuonekana akiwa hai, bali denti wa Chuo cha Biashara (CBE) Tawi la Mwanza ndiye akidaiwa kufa. Desemba 2, mwaka huu, Abel alidaiwa kufa maji akiogelea katika Ziwa Victoria...
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Kombe la dunia lazua kasheshe majumbani
Wanawake mjini Mombasa pwani ya Kenya walalamika kuwa waume zao wamewateleka wakati huu wa kombe la dunia
10 years ago
Vijimambo12 Dec
Ajali ya Noah iliyoua yazua kasheshe
Watu wawili wamekufa na wanane kujeruhiwa vibaya katika ajali ya gari iliyotokea katika eneo la Mwada na kuhusisha gari aina ya Noah iliyokuwa ikitokea Magara kuelekea Magugu na Babati.
Aidha, ajali hiyo ilizua mvutano mkubwa baada ya wahudumu na maofisa wa kituo cha afya kugoma kupokea majeruhi wakidai wapewe fedha kwanza.
Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Deus Nsimeki, alitaja gari hilo kuwa ni T .728 CLV na kuwa dereva wake, Kazumba Musa aliyekimbia baada ya ajali hiyo, anatafutwa.
Alisema...
Aidha, ajali hiyo ilizua mvutano mkubwa baada ya wahudumu na maofisa wa kituo cha afya kugoma kupokea majeruhi wakidai wapewe fedha kwanza.
Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Deus Nsimeki, alitaja gari hilo kuwa ni T .728 CLV na kuwa dereva wake, Kazumba Musa aliyekimbia baada ya ajali hiyo, anatafutwa.
Alisema...
10 years ago
Michuzi04 Oct
Wait & Watch kutoka na filamu ya ‘Lifti’
KAMPUNI inayokwenda kwa jina la Wait & Watch Film Company Ltd, ipo mbioni kukamilisha filamu yake ya kwanza itakayojulikana kama ‘Lifti’ inayotengenezwa kwa umakini wa hali ya juu.
Adam Mchomvu, mmoja ya wasanii walioshiriki katika filamu ijulikanayo kwa jina la Lifti.Filamu hiyo itakuwa ya kwanza tangu kampuni hiyo iliposajiliwa kwa ajili ya kujihusisha na kazi mbalimbali za sanaa, ikiwamo filamu hapa nchini, huku ikiwa na mipango lukuki.Akizungumza leo asubuhi, jijini Dar es Salaam,...
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Ts22ie1lszCHxJmpmJJrbPHon2b2A_kbfy4LoQdOH6YH9g_Ekx92IVANXrw3-J2_sLuFd5-ZNas3nAtnKDn8M3lMjSBPb6jScvYd8__sCwM8GjFgloRMEUjK9GfAX6tt0HrP8MaaSIK4vrt--yjWE9TpJYox6hhtWUsZyuGqpQHtoJEnFXJvhgk3-HBHc9MpgUwwI0LdLhFcyVw_CLBxP6x1YZcftX1tpzA4IQYsxodVQHLNfQRxjja4psC7QRwpSbg7tm8Z9HHM5IE0-7bXiZlRzG42zdS2FnOhQpPJg6QRMOHQnObIBJabKJVCOocd-_DIALNzhIYy1gdm13eHCWNgMBCtg-UR=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-whNWVDpjO-Y%2FVC-b4W5R0hI%2FAAAAAAAAIU8%2Ft5C6ZnljYec%2Fs1600%2FAdam%252BMchomvu.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania