SHOGA, GARI LAKO LEO UNAOMBA LIFTI?
![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun2nmbh*P8lvofFre0T0nRA4P0URYriGBmeVm6izJTGdmZuDXilR0omKuloJzP9XrON*M9qqOfuEd2ImhCwFTcUP/LOVE2.jpg)
JAMANII mmmh! Makubwa madogo yana nafuu, hivi jamani mwenye nyumba akikamatwa anadokoa mboga si aibu eeeh? Nyama upike mwenyewe kisha udokoe? Basi wakati mwingine tuiache akili ya kawaida ifanye kazi yake na si kutumia akili za chini. Inawezekana kiburi cha barafu kushindana na jua ndicho kinatuponza. Shoga wee! Naona mimacho imekutoka kama umeona sisimizi kameza nazi na kujiuliza leo nimekujaje kama hunielewi vile. Hebu kaa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6
Wanasema gari ni mtu mwenyewe, katika utafiti wa harakaharaka wa macho nimegundua miongoni mwa magari mengi yanayotumika na Watanzania sasa hivi ni pamoja na Passo ambayo inasifika kwa kuwa na nafasi nzuri ndani lakini pia utumiaji wa mafuta ni mdogo, vilevile spea kupatikana ni rahisi. Pamoja na kwamba unaweza kufurahi umepata gari ambalo halitumii sana […]
The post Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6 appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwLUbkrW853sKPvKM1sUD4ERoZoqMrs2aEw*PbSErEDFd6SCtUEi5yWcTkjBwffoKzCKdEtgUwKPUus-DOyYl4He/EveTorreswwedivas31020883642722.jpg?width=650)
SHOGA: MPIGE ‘STOP’ MUMEO KUCHEKA NA SHOGA ZAKO!
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Je, ni kwanini mtandao wa Twitter unaomba msamaha?
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Lifti Muhimbili zazua kasheshe
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Ubovu wa lifti MNH wakwamisha huduma
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Watawa wakwama ndani ya lifti kwa siku 3
10 years ago
Michuzi04 Oct
Wait & Watch kutoka na filamu ya ‘Lifti’
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Ts22ie1lszCHxJmpmJJrbPHon2b2A_kbfy4LoQdOH6YH9g_Ekx92IVANXrw3-J2_sLuFd5-ZNas3nAtnKDn8M3lMjSBPb6jScvYd8__sCwM8GjFgloRMEUjK9GfAX6tt0HrP8MaaSIK4vrt--yjWE9TpJYox6hhtWUsZyuGqpQHtoJEnFXJvhgk3-HBHc9MpgUwwI0LdLhFcyVw_CLBxP6x1YZcftX1tpzA4IQYsxodVQHLNfQRxjja4psC7QRwpSbg7tm8Z9HHM5IE0-7bXiZlRzG42zdS2FnOhQpPJg6QRMOHQnObIBJabKJVCOocd-_DIALNzhIYy1gdm13eHCWNgMBCtg-UR=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-whNWVDpjO-Y%2FVC-b4W5R0hI%2FAAAAAAAAIU8%2Ft5C6ZnljYec%2Fs1600%2FAdam%252BMchomvu.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M1x81hCTpVM/VZQHClIuVoI/AAAAAAAHmPw/LENVvUPdmK8/s72-c/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
Gari yagonga Treni mkoani Morogoro leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-M1x81hCTpVM/VZQHClIuVoI/AAAAAAAHmPw/LENVvUPdmK8/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)