Je, ni kwanini mtandao wa Twitter unaomba msamaha?
Mtandao wa Twitter umetuma barua pepe kwa wateja wake wa biashara kuwaambia kwamba huenda taarifa zao za kibinafsi zilidukuliwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mtandao wa Twitter waishtaki Marekani
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Mtandao wa twitter kufungwa Uturuki
10 years ago
Jamtz.Com25 Oct
HIKI NDO KILICHOSABABISHA BALOTELLI KUTIBUANA NA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED KWENYE MTANDAO WA TWITTER
![Balotelli Aleta Kasheshe Dhidi Ya Mashabiki Wa Man Utd Katika Mtandao wa Kijamii](http://timesfm.co.tz/content/uploads/2014/9/22/cache/Super%20Balotelli_full.jpg)
Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi kutoka nchini Italia na klabu ya Liverpool Super Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia kwa mtandao wa kijamii wa Twitter.
Polisi katika mji wa Merseyside wameanzisha uchunguzi kufuatia matusi hayo yaliyotokea baada ya mshambulizi huyo wa Liverpool kutuma ujumbe akiicheka kichapo cha Manchester United mikononi mwa timu ndogo ya Leicester siku ya jumapili.
Baloteli aliandika ''Man...
9 years ago
Bongo506 Jan
Mtandao wa Twitter kuongeza kikomo cha idadi maneno kwenye tweet moja kufikia 10,000 – ripoti
![tweet limit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/tweet-limit-300x194.jpg)
Mtandao wa kijamii wa Twitter inasemekana una mpango wa Kuongeza kikomo cha idadi ya maneno wakati wa Ku-tweet ‘character limit’ na kufikia maneno 10,000 kwa tweet moja.
Ripoti zinasema mpango huo mpya utatumika pia na kwenye ujumbe wa moja kwa moja – DM (Direct Message) ambapo sasa mtumiaji wa Twitter atakuwa na uwezo wa kutuma DM yenye maneno elfu kumi kwenye ujumbe mmoja.
kwa sasa Twitter inaruhusu mtu kuandika maneno yasiyozidi 140 kwenye kila tweet moja.
Inasemekana mpango huo...
5 years ago
Quartz01 Mar
Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun2nmbh*P8lvofFre0T0nRA4P0URYriGBmeVm6izJTGdmZuDXilR0omKuloJzP9XrON*M9qqOfuEd2ImhCwFTcUP/LOVE2.jpg)
SHOGA, GARI LAKO LEO UNAOMBA LIFTI?
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-SwLvdmcGtzU/VR6mW0nXhwI/AAAAAAAHPHM/I20UdBUNpZU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Kampuni yawaomba msamaha wanawake
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Al Shabaab:Msamaha wa siku 10 Kenya