Mtandao wa Twitter waishtaki Marekani
Mtandao wa Twitter umeishtaki serikali ya Marekani kutokana na sheria zake za ujasusi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Mtandao wa twitter kufungwa Uturuki
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Je, ni kwanini mtandao wa Twitter unaomba msamaha?
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Twitter yaishitaki Marekani
10 years ago
Jamtz.Com25 Oct
HIKI NDO KILICHOSABABISHA BALOTELLI KUTIBUANA NA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED KWENYE MTANDAO WA TWITTER
Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi kutoka nchini Italia na klabu ya Liverpool Super Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia kwa mtandao wa kijamii wa Twitter.
Polisi katika mji wa Merseyside wameanzisha uchunguzi kufuatia matusi hayo yaliyotokea baada ya mshambulizi huyo wa Liverpool kutuma ujumbe akiicheka kichapo cha Manchester United mikononi mwa timu ndogo ya Leicester siku ya jumapili.
Baloteli aliandika ''Man...
9 years ago
Bongo506 Jan
Mtandao wa Twitter kuongeza kikomo cha idadi maneno kwenye tweet moja kufikia 10,000 – ripoti
Mtandao wa kijamii wa Twitter inasemekana una mpango wa Kuongeza kikomo cha idadi ya maneno wakati wa Ku-tweet ‘character limit’ na kufikia maneno 10,000 kwa tweet moja.
Ripoti zinasema mpango huo mpya utatumika pia na kwenye ujumbe wa moja kwa moja – DM (Direct Message) ambapo sasa mtumiaji wa Twitter atakuwa na uwezo wa kutuma DM yenye maneno elfu kumi kwenye ujumbe mmoja.
kwa sasa Twitter inaruhusu mtu kuandika maneno yasiyozidi 140 kwenye kila tweet moja.
Inasemekana mpango huo...
5 years ago
Quartz01 Mar
Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Mtandao wa kijeshi Marekani wadukuliwa
10 years ago
YkileoMAREKANI YAJIUNGA NA MUUNGANIKO WA KIMATAIFA WA MAPAMBANO NDHIDI YA UHALIFU MTANDAO
Kundi jipya lenye makao yake barani ulaya linalounganisha pamoja nchi wanachama wa bara ulaya pamoja...
9 years ago
Bongo517 Dec
Mtandao wa Marekani waisifia cover ya Kiswahili ya ‘Hello’ iliyoimbwa na MKenya, Dela
Dela ni muimbaji kutoka Kenya aliyeingia kwenye orodha ya wasanii wengi duniani waliofanya cover ya hit song ya muimbaji wa Uingereza, Adele-Hello, lakini yeye akiwa ameifanya kwa lugha ya Kiswahili.
Cover hiyo ya Kiswahili imesifiwa na watu wengi ikiwa ni pamoja na mtandao mkubwa wa Marekani, Perez Hilton waliodiriki kusema kuwa ni kali kuliko original version ya Adele.
This is INCREDIBLE! RT @Adele's #Hello in Swahili might be the best cover yet. Listen HERE! https://t.co/qWiE83UNcv...