Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtandao wa kijeshi Marekani wadukuliwa

Jeshi la Marekani lilisimamisha kwa muda mtandao wake baada ya kisa cha kuingiliwa kimitandao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yatuma washauri wa kijeshi Iraq

Marekani imetuma washauri wa kijeshi kwenda eneo la wa-Kurdi, kaskazini mwa Iraq, waziri wa ulinzi Chuck Hagel amesema.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Trump asema kambi za kijeshi zenye majina ya majenerali waliotukuza utumwa ni turathi ya Marekani.

Rais wa Marekani Donld Trump anasema kwamba hana mpango wa kubadilisha majina ya kambi za kijeshi zilizotajwa baada ya majenerali walioongoza jeshi la Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtandao wa Twitter waishtaki Marekani

Mtandao wa Twitter umeishtaki serikali ya Marekani kutokana na sheria zake za ujasusi.

 

10 years ago

Ykileo

MAREKANI YAJIUNGA NA MUUNGANIKO WA KIMATAIFA WA MAPAMBANO NDHIDI YA UHALIFU MTANDAO

Maswala ya udukuzi yameendelea kushika kasi katika maeneo mbali mbali ulimwenguni ambapo mataifa mbali mbali yameamua kuunganisha nguvu ya pamoja kupambana na uhalifu mtandao. Katika "UCHAMBUZI" nilio uandikia nilibainisha umuhimu wa kupata chombo kimoja chenye jukumu la kupambana na uhalifu mtandao ambacho kitatoa nguvu kubwa ili kuweza kukabiliana na hali mbaya ya uhalifu mtandao hivi sasa.


Kundi jipya lenye makao yake barani ulaya linalounganisha pamoja nchi wanachama wa bara ulaya pamoja...

 

9 years ago

Bongo5

Mtandao wa Marekani waisifia cover ya Kiswahili ya ‘Hello’ iliyoimbwa na MKenya, Dela

Dela-Maranga

Dela ni muimbaji kutoka Kenya aliyeingia kwenye orodha ya wasanii wengi duniani waliofanya cover ya hit song ya muimbaji wa Uingereza, Adele-Hello, lakini yeye akiwa ameifanya kwa lugha ya Kiswahili.

adele na dela

Cover hiyo ya Kiswahili imesifiwa na watu wengi ikiwa ni pamoja na mtandao mkubwa wa Marekani, Perez Hilton waliodiriki kusema kuwa ni kali kuliko original version ya Adele.

This is INCREDIBLE! RT @Adele's #Hello in Swahili might be the best cover yet. Listen HERE! https://t.co/qWiE83UNcv...

 

9 years ago

MillardAyo

Cover ya ‘Hello’ iliyoimbwa kwa Kiswahili yapokea pongezi kubwa… imewagusa mtandao huu wa Marekani!

Ujio wa Adele kwenye headlines za muziki umekuwa moja ya matukio makubwa kwenye kurasa za burudani kwa mwaka huu wa 2015. Baada ya ukimya wa miaka minne, Adele alirudi kuchukua nafasi yake kwenye chati za muziki na ujio wa single yake ya kwanza ‘Hello’, single inayopatikana kwenye album yake mpya, 25. Toka kipindi hicho, wimbo […]

The post Cover ya ‘Hello’ iliyoimbwa kwa Kiswahili yapokea pongezi kubwa… imewagusa mtandao huu wa Marekani! appeared first on...

 

10 years ago

Michuzi

Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015

 Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini, Tanzania Bloggers Network (TBN) tunamuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kutumia mamlaka yake vyema kwa kutokupitisha muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 unaokandamiza uhuru wa mawasiliano mitandaoni.  Muswada wa sheria ya makosa ya Mtandaoni unaainisha makosa yanayohusiana na matumizi ya mfumo wa kompyuta na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, na kuweka utaratibu wa upelelezi, ukusanyaji na matumizi...

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga yajifua kijeshi


Wachezaji wa Yanga mazoezini 
Ilikuwa pale pembezoni mwa Hospitali ya Aga Khan ambapo kikosi hicho kikiwa chini ya makocha wao, Hans Pluijm na Charles Boniface Mkwasa kilifanya mazoezi hayo makali yaliyolenga kuimarisha nguvu kwa wachezaji hao.YANGA kweli imepania msimu ujao. Kwani baada ya kupiga tizi kwenye Uwanja wa Karume, Ilala kikosi cha timu hiyo kimehamia ufukweni kufanya mazoezi fulani ya nguvu kama wanajeshi.
Ilikuwa pale pembezoni mwa Hospitali ya Aga Khan ambapo kikosi hicho kikiwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine yajizatiti kijeshi

Ukraine imeagiza kuimarisha vikosi vyake katika kukabiliana na Urusi katika jimbo la Ukraine la Crimea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani