Ukraine yajizatiti kijeshi
Ukraine imeagiza kuimarisha vikosi vyake katika kukabiliana na Urusi katika jimbo la Ukraine la Crimea.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Ndege ya kijeshi ya Ukraine yadunguliwa
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Urusi yatetea hatua ya kijeshi Ukraine
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
PSPF yajizatiti kuongeza wanachama
MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), unatarajia kupata wanachama wapya 40,000 nchi nzima hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu. Ofisa Muendeshaji wa PSPF, Lule Kasembwe, alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Simba yajizatiti mfumo wa mawasiliano
KLABU ya soka ya Simba ni moja ya klabu kongwe nchini, ambayo kwa kiasi kikubwa imefanikiwa kujipatia mashabiki wengi. Moja ya matatizo ambayo yamekuwa yakizikumba klabu nyingi za soka hapa nchini ni pamoja na upatikanaji wa taarifa mbalimbali na muhimu za klabu hiyo.
Hivi karibuni, Kampuni ya Tigo Tanzania, kwa kushirikiana na Klabu ya Simba ya Dar es Salaam, wamezindua huduma ya ujumbe mfupi ijulikanayo kama 'Simba SMS'. Lengo la huduma hiyo ni nikuwapatia wateja wa Tigo taarifa...
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Liverpool yajizatiti kumnasa Milner
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
EPZA yajizatiti kuleta mapinduzi ya viwanda
NI ukweli usiopingika kuwa hakuna taifa duniani linaloweza kupata mafanikio ya kiuchumi bila kujenga sekta imara ya viwanda. Viwanda ni nguzo muhimu kwa maendeleo ya nchi. Kwa kutambua hilo serikali...
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
ANL yajizatiti kilimo cha kisasa
KILIMO ni sekta muhimu katika maendeleo na ukuaji wa uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Utekelezaji wa sekta hii umekuwa ukihimizwa sana na serikali. Hayati Mwalimu Julius ...
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Ukawa yajizatiti kuelekea Ikulu 2015
NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimedhamiria kudumisha ushirikiano wa vyama vinavyounda UKAWA kuhakikisha wanaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupata serikali itakayoondoa matabaka, uonevu na udhalilishaji pamoja na kupunguza umasikini kwa wananchi.
Maazimo hayo yalifikiwa katika kikao cha Baraza Kuu la Uongozi Taifa, CUF, kilichofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama.
Akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
KIA yajizatiti kukabili dawa za kulevya
UONGOZI wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA) umeahidi kuongeza jitihada za kupigana dhidi ya usafishaji wa dawa za kulevya kutokana na maboresho yaliyofanyika katika kitengo cha usalama...