Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIA yajizatiti kukabili dawa za kulevya

UONGOZI wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA) umeahidi kuongeza jitihada za kupigana dhidi ya usafishaji wa dawa za kulevya kutokana na maboresho yaliyofanyika katika kitengo cha usalama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Waliokamatwa na dawa za kulevya KIA kortini

Raia watatu wa kigeni waliokamatwa hivi karibuni kwa nyakati tofauti katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA), wakituhumiwa kusafirisha dawa za kulevya wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kusomewa mashtaka matatu tofauti.

 

5 years ago

Michuzi

Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria

Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Madawa ya Kulevya Bw.james Kaji akiwasilisha hotuba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) kuhusu utekelezaji wa mikataba mbalimbali ya Kimataifa ya Madawa ya Kulevya. Tanzania katika mkutano huu, unaofanyika Vienna, Austria,imekuwa ni mfano bora wa namna ambavyo wameweza kujiimarisha katika Mapambano Dhidi ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014

PIX 1

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

PIX 2

Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...

 

9 years ago

Mwananchi

‘KIA isiwe uchochoro wa dawa za kulevya’

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala ameuagiza uongozi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kuhakikisha uwanja huo hautumiki kichochoro cha kupitisha dawa za kulevya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Adhabu kali si dawa ya dawa za kulevya

Hakuna "uhusiano wa moja kwa moja" kati ya adhabu kali na hatua za kukomesha matumizi ya dawa za kulevya.

 

10 years ago

Mwananchi

Biashara ya dawa za kulevya

alum Zakwa ni mfanyabiashara mkubwa wa dawa za kulevya. Hii ni biashara inayompatia fedha nyingi sana ambazo zimemfanya awe tajiri mkubwa katika jiji la Dar  es Salaam. Biashara hii ameifanya kwa siri kubwa na ni watu wachache wanaojua siri hii mbali na vijana wake wawili Vasco na Liston. Endelea kusoma …

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yakamata dawa za kulevya

Tanzania yakamata zaidi ya kilo 200 ya dawa za kulevya aina ya Heroin

 

11 years ago

GPL

BATULI ATESWA NA DAWA ZA KULEVYA

Na Gabriel Ng’osha
MWANADAFADA kutoka Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa anaumia kuona listi ndefu ya Wabongo wanaosubiri kunyongwa nchi mbalimbali kwa kukutwa na dawa za kulevya. Mwanadada kutoka Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ akipozi. Batuli alisema kinachowaponza vijana wengi ni kupenda fedha za chapuchapu, matokeo yake wanaambulia kifungo cha maisha na wengine...

 

11 years ago

BBCSwahili

Utumiaji wa dawa za kulevya A.Magharibi

Pendekezo limetolewa Afrika Magharibi kuwa watu wanaopatikana na hatia ya kutumia viwango vidogo vya madawa ya kulevya wasiadhibiwe

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani