Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘KIA isiwe uchochoro wa dawa za kulevya’

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala ameuagiza uongozi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kuhakikisha uwanja huo hautumiki kichochoro cha kupitisha dawa za kulevya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

‘Viongozi wa dini pigeni vita dawa za kulevya’

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuungana kwa pamoja na kushiriki katika vita ya dawa za kulevya, kwani ushiriki wao utaweza kumaliza vita hiyo, ambayo ni ngumu na inaliangamiza Taifa. Amesema uwezekano wa kutokomeza matumizi ya dawa za kulevya nchini upo, iwapo viongozi wa dini watakuwa mstari wa mbele kuhubiri madhara ya dawa hizo, ambazo zinaangamiza nguvu kazi kubwa ya taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Fukwe za Tanzania uchochoro wa dawa za kulevya

>Wakati vita ya kupambana na biashara ya dawa za kulevya ikiendelea nchini, wasafirishaji wa dawa hizo wameanza kutumia fukwe ndogondogo za bahari nchini kuziingiza kutoka Mashariki ya mbali, gazeti hili limebaini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zanzibar isiwe shamba la dawa za kulevya

KAMA msimu wa mvua unavyokuja kwa kishindo na kuondoka pole pole, ndivyo ilivyo kwa suala la matumizi na biashara ya dawa za kulevya Zanzibar. Kwa mara nyingine tena suala la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KIA yajizatiti kukabili dawa za kulevya

UONGOZI wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA) umeahidi kuongeza jitihada za kupigana dhidi ya usafishaji wa dawa za kulevya kutokana na maboresho yaliyofanyika katika kitengo cha usalama...

 

11 years ago

Mwananchi

Waliokamatwa na dawa za kulevya KIA kortini

Raia watatu wa kigeni waliokamatwa hivi karibuni kwa nyakati tofauti katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA), wakituhumiwa kusafirisha dawa za kulevya wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kusomewa mashtaka matatu tofauti.

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania uchochoro wa mihadarati

Imeelezwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi tatu za Afrika ambazo zimekuwa zikitumiwa na wahalifu wa kimataifa kupitisha dawa haramu za kulevya.

 

11 years ago

Michuzi

JK aagiza uchochoro wa kupitisha madawa ya kulevya viwanja vya ndege kilimanjaro na dar es salaam vizibwe

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa akizungumza leo, Alhamisi, Aprili 24, 2014, kabla ya kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa Awamu ya Tatu ya Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere wa Dar es Salaam kwenye eneo la Uwanja huo.

 Rais Kikwete akipeana mikono na Balozi wa Uholanzi nchini Mhe Jaap Frederiks baada ya  kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa Awamu ya Tatu ya Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere wa Dar es Salaam kwenye eneo la Uwanja huo.

 Rais Kikwete akipata maelezo...

 

9 years ago

GPL

KUMTAFUTIA MCHUMBA ISIWE NONGWA

ASSALAAM aleikum na Bwana Yesu asifiwe wapenzi wasomaji wangu. Bila shaka ni wazima wa afya na mnaendelea vema na kazi za kulijenga taifa letu hili ambalo kwa sasa linapita kwenye mchakato mzito wa kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu. Nafurahishwa na jinsi mnavyoungana na mimi kunisoma na kunirudishia maoni yenu. Hakika nitaendelea kuwaelimisha kwa kila ninachoona kinafaa kuwafikia ili kuwekana sawa ndani ya maisha ya...

 

11 years ago

Habarileo

Katiba mpya isiwe ugomvi

RAIS Jakaya Kikwete amesema Katiba mpya haitapatikana kwa ngumi na mateke na wala si ugomvi, bali itapatikana kwa ushawishi wa hoja na kura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani