‘KIA isiwe uchochoro wa dawa za kulevya’
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala ameuagiza uongozi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kuhakikisha uwanja huo hautumiki kichochoro cha kupitisha dawa za kulevya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo25 Dec
‘Viongozi wa dini pigeni vita dawa za kulevya’
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuungana kwa pamoja na kushiriki katika vita ya dawa za kulevya, kwani ushiriki wao utaweza kumaliza vita hiyo, ambayo ni ngumu na inaliangamiza Taifa. Amesema uwezekano wa kutokomeza matumizi ya dawa za kulevya nchini upo, iwapo viongozi wa dini watakuwa mstari wa mbele kuhubiri madhara ya dawa hizo, ambazo zinaangamiza nguvu kazi kubwa ya taifa.
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Fukwe za Tanzania uchochoro wa dawa za kulevya
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Zanzibar isiwe shamba la dawa za kulevya
KAMA msimu wa mvua unavyokuja kwa kishindo na kuondoka pole pole, ndivyo ilivyo kwa suala la matumizi na biashara ya dawa za kulevya Zanzibar. Kwa mara nyingine tena suala la...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
KIA yajizatiti kukabili dawa za kulevya
UONGOZI wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA) umeahidi kuongeza jitihada za kupigana dhidi ya usafishaji wa dawa za kulevya kutokana na maboresho yaliyofanyika katika kitengo cha usalama...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Waliokamatwa na dawa za kulevya KIA kortini
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Tanzania uchochoro wa mihadarati
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9H2Zg2CHPVg/U1lxYtX4viI/AAAAAAAFctc/bPJ8_Kc63h4/s72-c/unnamed+(95).jpg)
JK aagiza uchochoro wa kupitisha madawa ya kulevya viwanja vya ndege kilimanjaro na dar es salaam vizibwe
![](http://2.bp.blogspot.com/-9H2Zg2CHPVg/U1lxYtX4viI/AAAAAAAFctc/bPJ8_Kc63h4/s1600/unnamed+(95).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xz3X9ioHdv8/U1lxYmLP4qI/AAAAAAAFctQ/Vffs4vwFAPA/s1600/unnamed+(97).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5jqjfHC1PJg/U1lxY6f3k4I/AAAAAAAFctU/xFrL-7pj1Kc/s1600/unnameds.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0C1Ccjtd6k2b2-Xi1EO2RU8kUJVAeBlYMS*-cfVHI2HFu3HFL-d0ZLdA6*x4UqQHjcuV14o3bUS4GcMSj7FmWqr/HappyCouples.png?width=650)
KUMTAFUTIA MCHUMBA ISIWE NONGWA
11 years ago
Habarileo03 Feb
Katiba mpya isiwe ugomvi
RAIS Jakaya Kikwete amesema Katiba mpya haitapatikana kwa ngumi na mateke na wala si ugomvi, bali itapatikana kwa ushawishi wa hoja na kura.