Fukwe za Tanzania uchochoro wa dawa za kulevya
>Wakati vita ya kupambana na biashara ya dawa za kulevya ikiendelea nchini, wasafirishaji wa dawa hizo wameanza kutumia fukwe ndogondogo za bahari nchini kuziingiza kutoka Mashariki ya mbali, gazeti hili limebaini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
9 years ago
Mwananchi26 Nov
‘KIA isiwe uchochoro wa dawa za kulevya’
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9H2Zg2CHPVg/U1lxYtX4viI/AAAAAAAFctc/bPJ8_Kc63h4/s72-c/unnamed+(95).jpg)
JK aagiza uchochoro wa kupitisha madawa ya kulevya viwanja vya ndege kilimanjaro na dar es salaam vizibwe
![](http://2.bp.blogspot.com/-9H2Zg2CHPVg/U1lxYtX4viI/AAAAAAAFctc/bPJ8_Kc63h4/s1600/unnamed+(95).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xz3X9ioHdv8/U1lxYmLP4qI/AAAAAAAFctQ/Vffs4vwFAPA/s1600/unnamed+(97).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5jqjfHC1PJg/U1lxY6f3k4I/AAAAAAAFctU/xFrL-7pj1Kc/s1600/unnameds.jpg)
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Tanzania yakamata dawa za kulevya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6_nVA-1Cv3U/XmqLMSX375I/AAAAAAAC8W4/yGJbHXs3V4Ips1Y-jdrAVpXssAs-PzTiACLcBGAsYHQ/s72-c/UNODC.jpg)
UNODC YAIPONGEZA TANZANIA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6_nVA-1Cv3U/XmqLMSX375I/AAAAAAAC8W4/yGJbHXs3V4Ips1Y-jdrAVpXssAs-PzTiACLcBGAsYHQ/s400/UNODC.jpg)
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) kupitia kamisheni ya Kimataifa ya Kudhibiti Dawa za Kulevya limeipongeza Tanzania kwa jitihada madhubuti za kudhibiti na kupambana na tatizo la dawa za kulevya.Kwa mujibu wa taarifa inasema, juhudi hizo zimeleta matokeo chanya katika mapambano ya dawa za kulevya duniani katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka 2018 hadi 2020.Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na...
10 years ago
MichuziYES Tanzania yaanzisha darasa kwa walioathirika na dawa za kulevya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JCM-2Ls66n8/XvZBKJ9OxII/AAAAAAALvnQ/KR0ZgmP2VvcRT54WUvrL47ZIltQq-ildQCLcBGAsYHQ/s72-c/img_0532.jpg)
Tanzania Yafanikiwa Kupunguza Uingizaji wa Dawa za Kulevya Nchini kwa 90%.
![](https://1.bp.blogspot.com/-JCM-2Ls66n8/XvZBKJ9OxII/AAAAAAALvnQ/KR0ZgmP2VvcRT54WUvrL47ZIltQq-ildQCLcBGAsYHQ/s400/img_0532.jpg)
Tanzania imefanikiwa kupunguza uingizaji wa dawa za kulevya kwa asilimia 90 kufuatia jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali za kupunguza tatizo la dawa za kulevya nchini.
Akizungumza leo jijini Dodoma, katika Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Jenista Mhagama alisema kuwa tatizo la dawa za kulevya katika jamii ni suala...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
10 years ago
MichuziMarekani na Tanzania zazindua Program ya Mbwa Maalum wa kubaini Dawa za kulevya na Pembe za ndovu