Tanzania uchochoro wa mihadarati
Imeelezwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi tatu za Afrika ambazo zimekuwa zikitumiwa na wahalifu wa kimataifa kupitisha dawa haramu za kulevya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Fukwe za Tanzania uchochoro wa dawa za kulevya
>Wakati vita ya kupambana na biashara ya dawa za kulevya ikiendelea nchini, wasafirishaji wa dawa hizo wameanza kutumia fukwe ndogondogo za bahari nchini kuziingiza kutoka Mashariki ya mbali, gazeti hili limebaini.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Dk Slaa: Tanzania ni dhaifu kupambana na mihadarati
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa amesema Serikali imekuwa dhaifu katika kupambana na biashara ya dawa za kulevya hali inayosababisha vijana kuendelea kujiingiza katika uhalifu huo.
9 years ago
Mwananchi26 Nov
‘KIA isiwe uchochoro wa dawa za kulevya’
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala ameuagiza uongozi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kuhakikisha uwanja huo hautumiki kichochoro cha kupitisha dawa za kulevya.
10 years ago
Michuzi12 Jan
Padri John Wotherspoon atembelea tanzania kuonana na familia za walio magerezani kwa kukamatwa na mihadarati hong kong
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/M6qLEO6gkCTaWEFXFzfRJY_MOsGrMejnN_33Oq_kGg9ILHJcPsAqdHwB5N2pQeY68WRPW06JdenjbRTFWXshba36Jm4mxyDkr54Em05wxBCDJc0g6Jq1LchIgbHRZoNAAKum3UKGHAwJpA4E9-09pTuZqMKM2Lp4UeLbAELGT1skewGty48JOThlH_ikMkOvPxQ-9rfp6ULfqpAID1ste2Rk3lWL2v10D2J05ACr69VQXwfOQjThmf8vmhii3CgmUf0=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/0uMX6j0VBUm35*9jc0J5o2SLNY6x1LeehXsbBYtXFsRMcUvN-dLdzuMs6NilzhA6l9Eqg13lScJ7UYXoHbcpqWbbdklokrmM/91224ef4a4592820e852201fe942373b_0.jpg?width=640)
Padri John Wotherspoon anayechapisha barua mbalimbali za wafungwa wa Kitanzania waliofungwa katika magereza ya Hong Kong baada ya kukamatwa na dawa za kulevya anafanya ziara nchini Tanzania kutembelea familia za wafungwa hao. Padri Wotherspoon alianza ziara yake mwishoni mwa mwaka jana na anaendelea na ziara ya kutembelea familia hizo hadi hivi sasa.
John Wotherspoon...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9H2Zg2CHPVg/U1lxYtX4viI/AAAAAAAFctc/bPJ8_Kc63h4/s72-c/unnamed+(95).jpg)
JK aagiza uchochoro wa kupitisha madawa ya kulevya viwanja vya ndege kilimanjaro na dar es salaam vizibwe
![](http://2.bp.blogspot.com/-9H2Zg2CHPVg/U1lxYtX4viI/AAAAAAAFctc/bPJ8_Kc63h4/s1600/unnamed+(95).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xz3X9ioHdv8/U1lxYmLP4qI/AAAAAAAFctQ/Vffs4vwFAPA/s1600/unnamed+(97).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5jqjfHC1PJg/U1lxY6f3k4I/AAAAAAAFctU/xFrL-7pj1Kc/s1600/unnameds.jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Wanawake waathiriwa na mihadarati TZ
Imeelezwa kuwa utumiaji wa dawa hizo miongoni mwa wanawake ni changamoto kubwa katika jamii,visiwani Zanzibar
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Waraibu wa mihadarati watoroka matibabu
Takriban watumiaji 400 mihadarati wametoroka kutoka katika kituo cha waathiriwa wa dawa za kulevya Kaskazini ya Vietnam
10 years ago
BBCSwahili20 May
Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {3}
Riwaya ya ulanguzi wa mihadarati na athari yake kwa kijana Buba ambaye ameanza kufuja mali yake na kuwa mteja
10 years ago
BBCSwahili18 May
Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {1}
Ni ripoti ya kibinafsi ya kijana mmoja wa kiafrika aliyejipata katika ulanguzi wa mihadarati wa kimataifa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania