Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania uchochoro wa mihadarati

Imeelezwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi tatu za Afrika ambazo zimekuwa zikitumiwa na wahalifu wa kimataifa kupitisha dawa haramu za kulevya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Fukwe za Tanzania uchochoro wa dawa za kulevya

>Wakati vita ya kupambana na biashara ya dawa za kulevya ikiendelea nchini, wasafirishaji wa dawa hizo wameanza kutumia fukwe ndogondogo za bahari nchini kuziingiza kutoka Mashariki ya mbali, gazeti hili limebaini.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Slaa: Tanzania ni dhaifu kupambana na mihadarati

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa amesema Serikali imekuwa dhaifu katika kupambana na biashara ya dawa za kulevya hali inayosababisha vijana kuendelea kujiingiza katika uhalifu huo.

 

9 years ago

Mwananchi

‘KIA isiwe uchochoro wa dawa za kulevya’

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala ameuagiza uongozi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kuhakikisha uwanja huo hautumiki kichochoro cha kupitisha dawa za kulevya.

 

10 years ago

Michuzi

Padri John Wotherspoon atembelea tanzania kuonana na familia za walio magerezani kwa kukamatwa na mihadarati hong kong

Padri John Wotherspoon anayechapisha barua mbalimbali za wafungwa wa Kitanzania waliofungwa katika magereza ya Hong Kong.
Padri John Wotherspoon anayechapisha barua mbalimbali za wafungwa wa Kitanzania waliofungwa katika magereza ya Hong Kong baada ya kukamatwa na dawa za kulevya anafanya ziara nchini Tanzania kutembelea familia za wafungwa hao. Padri Wotherspoon alianza ziara yake mwishoni mwa mwaka jana na anaendelea na ziara ya kutembelea familia hizo hadi hivi sasa.
John Wotherspoon...

 

11 years ago

Michuzi

JK aagiza uchochoro wa kupitisha madawa ya kulevya viwanja vya ndege kilimanjaro na dar es salaam vizibwe

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa akizungumza leo, Alhamisi, Aprili 24, 2014, kabla ya kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa Awamu ya Tatu ya Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere wa Dar es Salaam kwenye eneo la Uwanja huo.

 Rais Kikwete akipeana mikono na Balozi wa Uholanzi nchini Mhe Jaap Frederiks baada ya  kuweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa Awamu ya Tatu ya Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere wa Dar es Salaam kwenye eneo la Uwanja huo.

 Rais Kikwete akipata maelezo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake waathiriwa na mihadarati TZ

Imeelezwa kuwa utumiaji wa dawa hizo miongoni mwa wanawake ni changamoto kubwa katika jamii,visiwani Zanzibar

 

10 years ago

BBCSwahili

Waraibu wa mihadarati watoroka matibabu

Takriban watumiaji 400 mihadarati wametoroka kutoka katika kituo cha waathiriwa wa dawa za kulevya Kaskazini ya Vietnam

 

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {3}

Riwaya ya ulanguzi wa mihadarati na athari yake kwa kijana Buba ambaye ameanza kufuja mali yake na kuwa mteja

 

10 years ago

BBCSwahili

Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {1}

Ni ripoti ya kibinafsi ya kijana mmoja wa kiafrika aliyejipata katika ulanguzi wa mihadarati wa kimataifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani