BATULI ATESWA NA DAWA ZA KULEVYA
![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k5ZTwoXpQDUuiEFXbSCqHsGqHnq1uLIoAhv6KRiGQsPK7LZ-FNrDFwOcEf1iPQDVdTqoqusNz7Czzlmc3xbElzw/BATULI.jpg?width=650)
Na Gabriel Ng’osha MWANADAFADA kutoka Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa anaumia kuona listi ndefu ya Wabongo wanaosubiri kunyongwa nchi mbalimbali kwa kukutwa na dawa za kulevya. Mwanadada kutoka Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ akipozi. Batuli alisema kinachowaponza vijana wengi ni kupenda fedha za chapuchapu, matokeo yake wanaambulia kifungo cha maisha na wengine...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 Jul
Batuli: Naumia Vijana Kuteketea na Dawa za Kulevya
Msanii wa Bongo movie Batuli ameonyesha kuumizwa mno na vijana ambao wanajiingiza katika matumizi ya dawa za kulevya na kupelekea kuharibu maisha yao pamoja na ndoto zao.
Batuli ameeleza hayo kupitia moja ya mtandao wake wa kijamii wa Twitter alipokuwa akiwasihi watu kuunga mkono vita dhidi ya dawa za kulevya nchini Tanzania, ili kuokoa maisha ya vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa.
Tatizo la dawa za kulevya limekuwa janga kubwa kwa kizazi cha sasa ambapo wahanga wakubwa wa tatizo hili ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Adhabu kali si dawa ya dawa za kulevya
10 years ago
Mwananchi20 May
Biashara ya dawa za kulevya
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Wanawake wanaswa na dawa za kulevya
10 years ago
Habarileo02 Aug
Utumiaji dawa za kulevya waongezeka
MATUMIZI ya dawa za kulevya nchini yameongezeka kwenye mikoa 12 nchini yakionesha dawa aina ya heroini na bangi zikiongoza kwa kutumiwa zaidi.
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Dawa za kulevya zaundiwa kitengoÂ
HARAKATI za kupambana na uingizaji, uuzaji na utumiaji wa dawa za kulevya zimeingia katika sura mpya baada ya serikali kuamua kuunda kitengo maalumu katika Mahakama Kuu kitakachoshughulikia kesi za dawa...
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
‘Silaha, dawa za kulevya zinaingiaje?’
MBUNGE wa Viti Maalum Moza Abeid (CUF) ameihoji serikali na kutaka itoe maelezo ni kwa njia gani zinatumika kuingiza bidhaa mbalimbali nchini kinyume cha sheria ikiwa ni pamoja na uingizaji...