Simba yajizatiti mfumo wa mawasiliano
KLABU ya soka ya Simba ni moja ya klabu kongwe nchini, ambayo kwa kiasi kikubwa imefanikiwa kujipatia mashabiki wengi. Moja ya matatizo ambayo yamekuwa yakizikumba klabu nyingi za soka hapa nchini ni pamoja na upatikanaji wa taarifa mbalimbali na muhimu za klabu hiyo.
Hivi karibuni, Kampuni ya Tigo Tanzania, kwa kushirikiana na Klabu ya Simba ya Dar es Salaam, wamezindua huduma ya ujumbe mfupi ijulikanayo kama 'Simba SMS'. Lengo la huduma hiyo ni nikuwapatia wateja wa Tigo taarifa...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
MAKUMBUSHO YA TAIFA KUIMARISHA MFUMO WA MAWASILIANO WA KIDIJITALI

Pichani kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Dkt Noel Lwoga akishauri namna ya kuboroa mfumo wa mawasiliano wa Taasisi hiyo kidijitali.
Na Sixmund J.Begashe Makumbusho ya Taifa nchini imeweka mikakati ya kuimarisha mifumo ya kimawasiliano kidijiitali ili kuendana na kasi ya Sayansi na Teknolojia Duniani.
Akizungumza katika kikao maalumu cha kupitia hatua za Maboresho ya Mifumo hiyo kilicho udhuriwa na wajumbe wa Menejimenti ya uongozi wa Dar Es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa...
9 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
UHURU ONE YAZINDUA MFUMO WA KWANZA WA MAWASILIANO YA 4G DVNO LEO JIJINI DAR


KAMPUNI ya Tigo na kampuni ya UhuruOne wameanzisha...
11 years ago
MichuziUbalozi wa Marekani wakabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa jeshi la Polisi kikosi cha maji nchini
11 years ago
Mwananchi23 Oct
Phiri anogewa mfumo wa 3-5-2 Simba
11 years ago
Mwananchi06 Oct
‘Mfumo uliwanyima Simba kupata pointi tatu’
10 years ago
Michuzi
Mkurugenzi Mkuu mpya wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, (TCRA) Dk. Ally Yahaya Simba

Dk. Simba aliteuliwa rasmi kushika wadhifa huo mnamo tarehe 6 Jula1 2015 kwa kipindi cha miaka mitano. Kabla ya uteuzi huo, Dk....
10 years ago
GPL
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Ukraine yajizatiti kijeshi