Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIKI NDO KILICHOSABABISHA BALOTELLI KUTIBUANA NA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED KWENYE MTANDAO WA TWITTER

Tweet
Balotelli Aleta Kasheshe Dhidi Ya Mashabiki Wa Man Utd Katika Mtandao wa Kijamii
Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi kutoka nchini Italia na klabu ya Liverpool Super Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia kwa mtandao wa kijamii wa Twitter.
Polisi katika mji wa Merseyside wameanzisha uchunguzi kufuatia matusi hayo yaliyotokea baada ya mshambulizi huyo wa Liverpool kutuma ujumbe akiicheka kichapo cha Manchester United mikononi mwa timu ndogo ya Leicester siku ya jumapili.
Baloteli aliandika ''Man...

Jamtz.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

MANENO YA 'DAVID DE GEA' YALIYOWACHOMA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED

       Habari ambazo mashabiki wa Manchester United wamekuwa wakihofia kuzipata hivi karibuni hatimaye zimekuwa kweli baada ya kipa namba moja wa klabu iyo Mhispania David De Gea kuiambia klabu hiyo kuwa anataka kuhamia Real Madrid .      De Gea kupitia wakala wake ameiarifu United kuwa dhamira yake ni kujiunga na Madrid na amefikia uamuzi huo baada ya kipindi kirefu cha kuwaza na kuamua ni hatua ipi bora ya kufuata kwenye mustakabali wake.
      De Gea amekaa na United kwa muda wa miaka...

 

11 years ago

GPL

BARUA YA WAZI YA MOYES KWENDA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED

Kocha wa Manchester United, David Moyes. Kocha wa Manchester United David Moyes ameandika barua ya wazi kwa mashabiki wa klabu hiyo akielezea kwamba msimu wake wa kwanza ndani ya klabu umekuwa m'bovu zaidi kuliko ilivyotegemewa. Akiwasifu mashabiki kwa uvumilivu wao, Mscotish ambaye aliteuliwa na Sir Alex Ferguson, amekiri kwamba matokeo yao mabovu yamemshangaza mpaka yeye lakini ana uhakika kila kitu kitakaa sawa mbeleni....

 

9 years ago

Bongo5

Mtandao wa Twitter kuongeza kikomo cha idadi maneno kwenye tweet moja kufikia 10,000 – ripoti

tweet limit

Mtandao wa kijamii wa Twitter inasemekana una mpango wa Kuongeza kikomo cha idadi ya maneno wakati wa Ku-tweet ‘character limit’ na kufikia maneno 10,000 kwa tweet moja.

tweet limit

Ripoti zinasema mpango huo mpya utatumika pia na kwenye ujumbe wa moja kwa moja – DM (Direct Message) ambapo sasa mtumiaji wa Twitter atakuwa na uwezo wa kutuma DM yenye maneno elfu kumi kwenye ujumbe mmoja.

kwa sasa Twitter inaruhusu mtu kuandika maneno yasiyozidi 140 kwenye kila tweet moja.

Inasemekana mpango huo...

 

5 years ago

The Busby Babe

Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red

Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red  The Busby BabeMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva  Goal.comMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick  GIVEMESPORTManchester United vs. Manchester City analysis: Fernandes & Martial brilliant again | Premier League  ESPN UKEderson errors sum up Man City's sloppiness in dismal derby defeat  Goal.comView Full coverage on...

 

10 years ago

Vijimambo

HIKI NDO KITANDA CHA MTOTO MTARAJIWA WA DIAMOND NI MADINI TUPU!!.


Crib la mtoto wa Diamond na Zari pande za Ikulu ya wasafi.

 

5 years ago

The Peoples Person

Manchester United fans delighted with Bruno Fernandes' performance vs Manchester City

Manchester United fans delighted with Bruno Fernandes' performance vs Manchester City  The Peoples PersonMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick  GIVEMESPORTMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva  Goal.comNemanja Matic to sign new deal at Manchester United  The Peoples PersonMan United vs Man City: VAR fails to give penalty after Fred is kicked by Nicolas Otamendi  GIVEMESPORTView Full coverage on...

 

10 years ago

Vijimambo

Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...


Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
Hatimaye Diamond Platnumz amefunguka kuhusutetesi zinazoendelea kuwa ameachana na WemaSepetu na kwamba ana mpango wa kufunga ndoana Meninah Diamond alisema kuwa tetesi hizo zimekuwa zikimhuzunisha kwa kiasi kikubwa. “Unajua hizi habari kiukweli zimekuwazikinihuzunisha sana,” amesema msanii huyo.“Unajua mie ni mtu mmoja ambaye sipendikuzunguzia mambo ya rumors, siju magazeti huwasipendi kuzungumzia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani