HIKI NDO KILICHOSABABISHA BALOTELLI KUTIBUANA NA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED KWENYE MTANDAO WA TWITTER
Tweet
Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi kutoka nchini Italia na klabu ya Liverpool Super Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia kwa mtandao wa kijamii wa Twitter.
Polisi katika mji wa Merseyside wameanzisha uchunguzi kufuatia matusi hayo yaliyotokea baada ya mshambulizi huyo wa Liverpool kutuma ujumbe akiicheka kichapo cha Manchester United mikononi mwa timu ndogo ya Leicester siku ya jumapili.
Baloteli aliandika ''Man...
Jamtz.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-1PFPtu-BjhE/VXXUJKZfhiI/AAAAAAAAB9w/99ZgeNpCrTg/s72-c/De%2BGea.jpg)
MANENO YA 'DAVID DE GEA' YALIYOWACHOMA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED
![](http://2.bp.blogspot.com/-1PFPtu-BjhE/VXXUJKZfhiI/AAAAAAAAB9w/99ZgeNpCrTg/s400/De%2BGea.jpg)
De Gea amekaa na United kwa muda wa miaka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt62TdjhbSUeproprnE6WEAQmvzfWF2WDMH4N9NhXHRSeYARmccQe4rXWGT8TtbAKcfKehi*01wJAXOyspOQ80mZc/DM_1725235a.jpg?width=600)
BARUA YA WAZI YA MOYES KWENDA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED
9 years ago
Bongo506 Jan
Mtandao wa Twitter kuongeza kikomo cha idadi maneno kwenye tweet moja kufikia 10,000 – ripoti
![tweet limit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/tweet-limit-300x194.jpg)
Mtandao wa kijamii wa Twitter inasemekana una mpango wa Kuongeza kikomo cha idadi ya maneno wakati wa Ku-tweet ‘character limit’ na kufikia maneno 10,000 kwa tweet moja.
Ripoti zinasema mpango huo mpya utatumika pia na kwenye ujumbe wa moja kwa moja – DM (Direct Message) ambapo sasa mtumiaji wa Twitter atakuwa na uwezo wa kutuma DM yenye maneno elfu kumi kwenye ujumbe mmoja.
kwa sasa Twitter inaruhusu mtu kuandika maneno yasiyozidi 140 kwenye kila tweet moja.
Inasemekana mpango huo...
5 years ago
The Busby Babe09 Mar
Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red
10 years ago
VijimamboHIKI NDO KITANDA CHA MTOTO MTARAJIWA WA DIAMOND NI MADINI TUPU!!.
Crib la mtoto wa Diamond na Zari pande za Ikulu ya wasafi.
5 years ago
The Peoples Person09 Mar
Manchester United fans delighted with Bruno Fernandes' performance vs Manchester City
10 years ago
Vijimambo![](https://lh6.googleusercontent.com/-fB20VU6QCi8/VCZww_scN1I/AAAAAAAAHRg/FHEgLePizg4/s72-c/8.jpeg%20cursor:%20pointer;)
Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
Diamond afunguka na kuhusu ishu ya kumtema Wema na kuhamia kwa Menina, hiki ndo alichokisema...
![](https://lh6.googleusercontent.com/-fB20VU6QCi8/VCZww_scN1I/AAAAAAAAHRg/FHEgLePizg4/8.jpeg%20cursor:%20pointer;)