Mtandao wa Twitter kuongeza kikomo cha idadi maneno kwenye tweet moja kufikia 10,000 – ripoti
Mtandao wa kijamii wa Twitter inasemekana una mpango wa Kuongeza kikomo cha idadi ya maneno wakati wa Ku-tweet ‘character limit’ na kufikia maneno 10,000 kwa tweet moja.
Ripoti zinasema mpango huo mpya utatumika pia na kwenye ujumbe wa moja kwa moja – DM (Direct Message) ambapo sasa mtumiaji wa Twitter atakuwa na uwezo wa kutuma DM yenye maneno elfu kumi kwenye ujumbe mmoja.
kwa sasa Twitter inaruhusu mtu kuandika maneno yasiyozidi 140 kwenye kila tweet moja.
Inasemekana mpango huo...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Aug
Wajipanga kuongeza idadi ya watalii kufikia milioni 3.3
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi amesema Serikali imejipanga kuongeza idadi ya watalii wanaoingia nchini kufikia milioni 3.3 baada ya miaka mitatu .
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ga3NQ4gzWUg/VNmOXi0cm7I/AAAAAAACzps/0hhWnkhxa3E/s72-c/pix%2B1.jpg)
TIPER kuongeza uwezo wa kuhifadhi mafuta kufikia mita za ujazo 213,000
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ga3NQ4gzWUg/VNmOXi0cm7I/AAAAAAACzps/0hhWnkhxa3E/s1600/pix%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6SNioTbuN6s/VNmOX_wLg-I/AAAAAAACzpw/S99LhH8W-Aw/s1600/pix%2B2.jpg)
5 years ago
The Verge20 Mar
Twitter won’t remove irresponsible Elon Musk tweet about coronavirus
10 years ago
Jamtz.Com25 Oct
HIKI NDO KILICHOSABABISHA BALOTELLI KUTIBUANA NA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED KWENYE MTANDAO WA TWITTER
![Balotelli Aleta Kasheshe Dhidi Ya Mashabiki Wa Man Utd Katika Mtandao wa Kijamii](http://timesfm.co.tz/content/uploads/2014/9/22/cache/Super%20Balotelli_full.jpg)
Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi kutoka nchini Italia na klabu ya Liverpool Super Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia kwa mtandao wa kijamii wa Twitter.
Polisi katika mji wa Merseyside wameanzisha uchunguzi kufuatia matusi hayo yaliyotokea baada ya mshambulizi huyo wa Liverpool kutuma ujumbe akiicheka kichapo cha Manchester United mikononi mwa timu ndogo ya Leicester siku ya jumapili.
Baloteli aliandika ''Man...
9 years ago
MichuziEFM YAKABIDHI KITITA CHA SH. MILIONI MOJA KWA SHINDI WA SHINDANO LA KUBUNI MANENO YA KANGA
11 years ago
Michuzi14 Apr
Kufikia kikomo kwa Windows XP, nini athari zake kwa mtumiaji?
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/rE-z8_HYVS9atWyw1-5wGBGs43fqhxAC0CF0jqSZZMJYx10AGSyfclkfjcI_LRI_j9zAG66C1CkJH48AKCmZTM7xcsMryX7k3Nf52z5gE-PieBHSoaG0vYon-9YP7OPt4-wBNyg=s0-d-e1-ft#http://dudumizi.com/media/k2/items/cache/2a14beb1aee2d71c6fecb12f25c690f7_M.jpg)
Mnamo tarehe 8/4/2014 kampuni ya utengenezaji wa mitambo endeshi ya kompyuta (Operating Systems) ya Microsoft ilisitisha utoaji wa huduma za muda mrefu kwa mitambo ya XP, ni moja ya mitambo endeshi inayotumika na watu wengi sana.Tangu kutoka kwa taarifa hizo, kumekuwa na maneno na mikanganyiko mingi mno kwa wateja hususan hapa Tanzania.
Kwakuwa ni mitambo inayotumika kwa weingi kwenye kompyuta nyingi zinazotumika kwenye mabenki na maofisini, hivyo watu walifika mbali hata kusema eti pesa...
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
RIPOTI ZA MOJA KWA MOJA ZA MECHI ZA LIGI KUU YA UINGEREZA
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja
Siku ya alhamisi December 10 2015 tulishuhudia kwa mara nyingine Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kuipanga timu yake itakayoongoza jahazi la Serikali ya Tanzania kwa awamu wa tano. Tunajua kwamba kuna Wizara ambazo hazijapata Mawaziri bado lakini Rais Magufuli alituhakikishia kwamba Wizara zitakuwa 18 na Mawaziri watakuwa 19… Wale Mawaziri na […]
The post Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja appeared first on...
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
RIPOTI ZA MOJA KWA MOJA ZA LIGI YA UINGEREZA