Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtandao wa Twitter kuongeza kikomo cha idadi maneno kwenye tweet moja kufikia 10,000 – ripoti

tweet limit

Mtandao wa kijamii wa Twitter inasemekana una mpango wa Kuongeza kikomo cha idadi ya maneno wakati wa Ku-tweet ‘character limit’ na kufikia maneno 10,000 kwa tweet moja.

tweet limit

Ripoti zinasema mpango huo mpya utatumika pia na kwenye ujumbe wa moja kwa moja – DM (Direct Message) ambapo sasa mtumiaji wa Twitter atakuwa na uwezo wa kutuma DM yenye maneno elfu kumi kwenye ujumbe mmoja.

kwa sasa Twitter inaruhusu mtu kuandika maneno yasiyozidi 140 kwenye kila tweet moja.

Inasemekana mpango huo...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wajipanga kuongeza idadi ya watalii kufikia milioni 3.3

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna TarishiKATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi amesema Serikali imejipanga kuongeza idadi ya watalii wanaoingia nchini kufikia milioni 3.3 baada ya miaka mitatu .

 

10 years ago

Michuzi

TIPER kuongeza uwezo wa kuhifadhi mafuta kufikia mita za ujazo 213,000

 Mafundi wa kampuni ya kuhifadhi mafuta ya Tanzania International Petroleum Reserves Limited (TIPER), wakitengeneza paa katika moja ya matanki mapya ya kampuni hiyo, wakati kampuni hiyo ikitaraji kuongeza uwezo wa kuhifadhi mafuta maradufu baada ya kukamirika kwa ukarabati wa matanki yake wawili ya mita za ujazo 36,600 kila moja ifikapo machi mwaka huu.Miongoni mwa matanki ya kampuni ya ya kuhifadhi mafuta ya Tanzania International Petroleum Reserves Limited (TIPER) yanayofanyiwa ...

 

5 years ago

The Verge

Twitter won’t remove irresponsible Elon Musk tweet about coronavirus

Twitter won’t remove irresponsible Elon Musk tweet about coronavirus  The VergeElon Musk Says on Twitter That His Factories Will Make Ventilators if Coronavirus Causes a Shortage  EntrepreneurTesla will take temperatures of Fremont factory employees and hand out masks, internal email says  CNBCTesla to temporarily suspend production at Fremont factory  KRON4Here’s what it will take for Tesla’s stock to recover from the coronavirus selloff  MarketWatchView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Jamtz.Com

HIKI NDO KILICHOSABABISHA BALOTELLI KUTIBUANA NA MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED KWENYE MTANDAO WA TWITTER

Tweet
Balotelli Aleta Kasheshe Dhidi Ya Mashabiki Wa Man Utd Katika Mtandao wa Kijamii
Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi kutoka nchini Italia na klabu ya Liverpool Super Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia kwa mtandao wa kijamii wa Twitter.
Polisi katika mji wa Merseyside wameanzisha uchunguzi kufuatia matusi hayo yaliyotokea baada ya mshambulizi huyo wa Liverpool kutuma ujumbe akiicheka kichapo cha Manchester United mikononi mwa timu ndogo ya Leicester siku ya jumapili.
Baloteli aliandika ''Man...

 

9 years ago

Michuzi

EFM YAKABIDHI KITITA CHA SH. MILIONI MOJA KWA SHINDI WA SHINDANO LA KUBUNI MANENO YA KANGA

 Meneja  wa Mawasiliano  Efm, Denis Ssebo akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya kumpata mshindi wa  shindano la kubuni maneno ya Kanga kupitia kipindi cha UHONDO ambacho huruka hewani kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa sita mchana hadi saa tisa alasiri, kikiwa na Matangazaji mahiri Dina Marios, kikao hicho kimefanika leo jijini Dar es Salaam, katikati ni mshindi wa shindano hilo Sekela Richard na wakulia ni Matangazaji wa Efm  Radio Dina Marios. Matangazaji...

 

11 years ago

Michuzi

Kufikia kikomo kwa Windows XP, nini athari zake kwa mtumiaji?


Mnamo tarehe 8/4/2014 kampuni ya utengenezaji wa mitambo endeshi ya kompyuta (Operating Systems) ya Microsoft ilisitisha utoaji wa huduma za muda mrefu kwa mitambo ya XP, ni moja ya mitambo endeshi inayotumika na watu wengi sana.Tangu kutoka kwa taarifa hizo, kumekuwa na maneno na mikanganyiko mingi mno kwa wateja hususan hapa Tanzania.
Kwakuwa ni mitambo inayotumika kwa weingi kwenye kompyuta nyingi zinazotumika kwenye mabenki na maofisini, hivyo watu walifika mbali hata kusema eti pesa...

 

9 years ago

BBCSwahili

RIPOTI ZA MOJA KWA MOJA ZA MECHI ZA LIGI KUU YA UINGEREZA

Idhaa yako ya bbcswahili inakuletea ripoti za moja kwa moja za mechi za ligi kuu ya Uingereza Wkiendi hii

 

9 years ago

MillardAyo

Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja

Siku ya alhamisi December 10 2015 tulishuhudia kwa mara nyingine Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kuipanga timu yake itakayoongoza jahazi la Serikali ya Tanzania kwa awamu wa tano. Tunajua kwamba kuna Wizara ambazo hazijapata Mawaziri bado lakini Rais Magufuli alituhakikishia kwamba Wizara zitakuwa 18 na Mawaziri watakuwa 19… Wale Mawaziri na […]

The post Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

RIPOTI ZA MOJA KWA MOJA ZA LIGI YA UINGEREZA

Ripoti za moja kwa moja za mechi za ligi kuu nchini Uingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani