Kufikia kikomo kwa Windows XP, nini athari zake kwa mtumiaji?
Mnamo tarehe 8/4/2014 kampuni ya utengenezaji wa mitambo endeshi ya kompyuta (Operating Systems) ya Microsoft ilisitisha utoaji wa huduma za muda mrefu kwa mitambo ya XP, ni moja ya mitambo endeshi inayotumika na watu wengi sana.Tangu kutoka kwa taarifa hizo, kumekuwa na maneno na mikanganyiko mingi mno kwa wateja hususan hapa Tanzania.
Kwakuwa ni mitambo inayotumika kwa weingi kwenye kompyuta nyingi zinazotumika kwenye mabenki na maofisini, hivyo watu walifika mbali hata kusema eti pesa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMada ya mwenendo wa bei za mafuta katika soko la dunia na athari zake kwa nchi yawasilishwa kwa maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje
10 years ago
Vijimambo08 Jan
Mada kuhusu mwenendo wa bei za mafuta katika soko la dunia na athari zake kwa nchi yawasilishwa kwa maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje
Bw. Allan William mtaalamu wa sekta za kibenki nchini, akizungumza katika mhadhara na Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa juu ya Mwenendo wa bei za mafuta duniani na athari zake kwa nchi yetu, mhadhara huo umefanyika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa JNICC uliopo jijini Dar es Salaam mapema leo Asubuhi.
Balozi Simba Yahaya, Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati (wa kwanza kulia), Balozi Mbelwa Kairuki (wa pili kutoka kulia), Mkurugenzi wa Idara ya Asia na...
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Je kwa nini Afrika imeshindwa kufikia Malengo ya milenia?
11 years ago
CloudsFM02 Jun
RAY C AENDELEA NA HARAKATI ZAKE,ATOA ELIMU JUU YA ATHARI ZA MADAWA YA KULEVYA KWA WANAFUNZI WA MAKONGO
STAA wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ameendelea na harakati zake za kutoa elimu juu ya athari za madawa ya kulevya kwenye jamii. Hivi karibuni msanii huyo kupitia Ray C Faundatiaon alitembelea shule ya sekondari ya Makongo na kutoa elimu juu ya athari za madawa hayo kwa wanafunzi wa shule hiyo.
Kupitia account yake ya Instagram aliandika hivi…Ray C Foundation ikitoa Elimu Juu ya athari za madawa ya kulevya katika shule ya secondary Makongo......na Ina mpango wa kuzunguka shule zote za...
11 years ago
GPL
KWA NINI UKUBALI MPENZI AKUDHALILISHE KISA PESA ZAKE?
9 years ago
Bongo506 Jan
Mtandao wa Twitter kuongeza kikomo cha idadi maneno kwenye tweet moja kufikia 10,000 – ripoti

Mtandao wa kijamii wa Twitter inasemekana una mpango wa Kuongeza kikomo cha idadi ya maneno wakati wa Ku-tweet ‘character limit’ na kufikia maneno 10,000 kwa tweet moja.
Ripoti zinasema mpango huo mpya utatumika pia na kwenye ujumbe wa moja kwa moja – DM (Direct Message) ambapo sasa mtumiaji wa Twitter atakuwa na uwezo wa kutuma DM yenye maneno elfu kumi kwenye ujumbe mmoja.
kwa sasa Twitter inaruhusu mtu kuandika maneno yasiyozidi 140 kwenye kila tweet moja.
Inasemekana mpango huo...
5 years ago
Michuzi
SOKO LA MABIBO CORONA BASI, LANUFAIKA, KUTENGEENEZEWA VIZIMBA VYA KUNAWIA MIKONO KWA KILA MTUMIAJI.
Akiongea mwakilishi wa taasisi ya Vijana Think Tank (VTT) @vijanathinktank Bi....
10 years ago
Vijimambo26 Apr
NesiWangu: HUDUMA YA MENO KWA 50% OFF INAFIKA KIKOMO.
10 years ago
GPLKWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?