Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6
Wanasema gari ni mtu mwenyewe, katika utafiti wa harakaharaka wa macho nimegundua miongoni mwa magari mengi yanayotumika na Watanzania sasa hivi ni pamoja na Passo ambayo inasifika kwa kuwa na nafasi nzuri ndani lakini pia utumiaji wa mafuta ni mdogo, vilevile spea kupatikana ni rahisi. Pamoja na kwamba unaweza kufurahi umepata gari ambalo halitumii sana […]
The post Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6 appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote
Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]
The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAKABIDHI PASSO KWA MSHINDI WA SHINDANO LA "TUMA PESA NA SIMBANKING SHINDA PASSO
![](http://2.bp.blogspot.com/-k1rzw1vOgYU/VYPFtNkFMHI/AAAAAAABcBo/AAfAQXxsEGQ/s640/20150616_100636.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vh-3rx4t0eU/U6XgjRydMAI/AAAAAAAFsM0/G1yUlRLHHKs/s72-c/article-2664390-1EF91EAA00000578-51_636x382.jpg)
FAIDA YA URAIA PACHA - DUGU MOJA, LAKINI NCHI TAFAUTI INAWEZEKANA KABISA.....
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vh-3rx4t0eU/U6XgjRydMAI/AAAAAAAFsM0/G1yUlRLHHKs/s1600/article-2664390-1EF91EAA00000578-51_636x382.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sAsW2ezq-LI/U6XhkWhomlI/AAAAAAAFsNA/RqpJN3djCuM/s1600/boatengs_2679756b.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun2nmbh*P8lvofFre0T0nRA4P0URYriGBmeVm6izJTGdmZuDXilR0omKuloJzP9XrON*M9qqOfuEd2ImhCwFTcUP/LOVE2.jpg)
SHOGA, GARI LAKO LEO UNAOMBA LIFTI?
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/WASTARA.jpg)
YOTE HAYA UTAYAPATA KATIKA GAZETI LAKO LA IJUMAA WIKIENDA
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Dk Magufuli: TZ kama Ulaya inawezekana
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
Bongo Movies03 Aug
Shilole Azumgumza Mengine Haya Kuhusu Rungu la Basata
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) July 30 walimkabidhi barua ya kumsimamisha Shilole kufanya kazi za muziki kwa muda wa mwaka mmoja,taarifa ambayo iliwashtua wadau wengi wa muziki kuhoji zaidi kuhusu hukumu hiyo namna ilivyofanywa.
Kama unakumbuka miezi 3 iliyopita Shilole alienda kufanya show nchini Ubelgiji wakati akitumbuiza jukwaani kwa bahati mbaya sehemu ya kifua chake(TITI) ilijitokeza kwa nje baadae picha zikapigwa na kusambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Baada ya hukumu hiyo...
10 years ago
Bongo Movies10 Aug
Wema Sepetu Afunguka Mengine Haya kuhusu Magufuli na Lowassa..
Wakati wagombea mbalimbali wa vyama vya Siasa nchini Tanzania wakiwa na wafuasi wao wakiendelea kuingia kwenye headlines mbalimbali Aug 10 nakukutanisha na hii post ya Mrembo Wema Sepetu.
Kama unamfatilia Wema Sepetu kwenye mitandao yake ya kijamii leo kupitia mtandao wa Instagram kapost picha inayomuonyesha Waziri wa ujenzi John Magufuli akisalimiana na Steve Nyerere pamoja na Rais Jakaya Kikwete.
Kwenye post yake ameipa maneno haya “Wamoja havai Mbili…. Alafu nina msg to Team Wema …...