Dk Magufuli: TZ kama Ulaya inawezekana
Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema Tanzania inaweza kuwa kama nchi za Ulaya iwapo tu wananchi wataridhia aongoze Serikali ya Awamu ya Tano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote
Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]
The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6
Wanasema gari ni mtu mwenyewe, katika utafiti wa harakaharaka wa macho nimegundua miongoni mwa magari mengi yanayotumika na Watanzania sasa hivi ni pamoja na Passo ambayo inasifika kwa kuwa na nafasi nzuri ndani lakini pia utumiaji wa mafuta ni mdogo, vilevile spea kupatikana ni rahisi. Pamoja na kwamba unaweza kufurahi umepata gari ambalo halitumii sana […]
The post Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6 appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo514 Nov
Country Boy ajiandaa kuachia mixtape mpya, ‘Kama Ulaya’
![12237581_957038871035116_68731880_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12237581_957038871035116_68731880_n-300x194.jpg)
Rapper Country Boy amesema ataachia mixtape mpya hivi karibuni.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa mixtape hiyo ameipa jina, Kama Ulaya.
“Idea ya kuita mixtape ‘Kama Ulaya’ imekuja baada ya kuona mimi ni mtu ambaye nilikuwa nafanya mixtape za mbele yaani ngoma za wasanii wa mbele na zime-hit,” alisema. “Mimi nina uwezo wa kubadilisha ngoma yoyote na unaweza kuona kama mixtape ya Bobby Shmurda, Hot Nigga na Kendrick Lamar ambayo nilifanya kwa style zao zile zile na...
5 years ago
BBCSwahili01 Apr
Coronavirus: Spika Ndugai asema 'Hatuwezi kuchukua hatua kama za Ulaya'
10 years ago
Bongo524 Nov
Kama ingefeli, ‘Pesa’ ingekuwa ngoma ya mwisho ya Mr Blue, alipanga kutimkia Ulaya
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U-IaA1Y4LC0/VheFLDLJx8I/AAAAAAAEAJM/41FbScVmxKI/s72-c/78947cf4ea467980b4a946141b4118a9.jpg)
JAYDEN KAMA MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-U-IaA1Y4LC0/VheFLDLJx8I/AAAAAAAEAJM/41FbScVmxKI/s640/78947cf4ea467980b4a946141b4118a9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nCRw5EPVLcw/VheFghXWW-I/AAAAAAAEAJU/VeggpofpIrY/s640/ca24935532f6121741cd5384859fbe11.jpg)
10 years ago
Mwananchi05 Mar
Magufuli: Mbowe kama malaika
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Shivji: Magufuli kama Sokoine
SIKU 50 tangu Rais John Magufuli aingie madarakani, kuna mambo aliyafanya kwa vitendo ambayo bila
Issa Shivji
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Rais Magufuli Apokea Utambulisho wa Mabalozi Korea, Ulaya na Parestina
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipokea Hati za Utambulisho za Mhe. Song Geum-young, Balozi wa Jamhuri ya Korea Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 5, 2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Mhe. Song Geum-young, Balozi wa Jamhuri ya Korea Ikulu jijini Dar es salaam leo baada ya kupokea hati zake za utambulisho.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipokea...