JAYDEN KAMA MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-U-IaA1Y4LC0/VheFLDLJx8I/AAAAAAAEAJM/41FbScVmxKI/s72-c/78947cf4ea467980b4a946141b4118a9.jpg)
Mtoto Jayden (mtoto wa Halima Ally) akifanya push-up kama anavyofanya mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Mhe. John Pombe Joseph Magufuli, Jayden ni mkaazi wa Maryland nchini Marekani.
Jayden akifuata nyayo za mama yake Halima Ally ambaye ni muumini wa CCM
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Dk Magufuli: TZ kama Ulaya inawezekana
10 years ago
Mwananchi05 Mar
Magufuli: Mbowe kama malaika
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Shivji: Magufuli kama Sokoine
SIKU 50 tangu Rais John Magufuli aingie madarakani, kuna mambo aliyafanya kwa vitendo ambayo bila
Issa Shivji
9 years ago
Habarileo24 Aug
Hakuna kama Dk Magufuli, asema Mkapa
WATANZANIA wameelezwa kuwa katika wagombea wote ambao wameidhinishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), mgombea pekee ambaye anafaa kuiongoza Tanzania ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Magufuli aahidi Tanzania mpya kama atachaguliwa
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Dk. Magufuli: Kama kungekuwa na mashindano ya ilani, CCM ingeshinda
Na Bakari Kimwanga
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama kungekuwa na mashindao ya ilani bora ya uchaguzi, chama chake kingeongoza kwani kina ilani nzuri kuliko vyama vingine.
Alisema vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), havina ilani inayoweza kutatua matatizo ya Watanzani hivyo ni vyema wananchi wasihadaike nao.
Ukawa inayoundwa na vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, walizindua kampeni na ilani yao juzi jijini Dar es Salaam na...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/S3fB1lsSZak/default.jpg)
MAGUFULI KAMA AKICHAGULIWA KUPAMBANA NA MAFISADI NDANI YA CCM
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema mafisadi wamo hadi ndani ya chama chake na ndiyo maana baada ya kuteuliwa kuwa mgombea urais wengi wao wameanza kuweweseka kutokana na hofu kubwa waliyo nayo dhidi yake.
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika mikutano ya kampeni ya chama chake mjini Kisarawe, Pwani na baadaye Ukonga, jijini Dar es Salaam jana, Magufuli alikiri kuwa chama chake kiliwalea walarushwa na mafisadi kwa muda mrefu na ndiyo maana baadhi ya watu...
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Kama akiwa Rais Nani atamfunga ‘gavana’ Magufuli?
NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wangu kwa kutoweka ghafla, na kwa muda mrefu katika safu hii.
Johnson Mbwambo
9 years ago
Mwananchi22 Aug
UCHAMBUZI: Kwa Kikwete, Magufuli ni kama rais mteule